Kwanini naunga mkono Urusi kuchukua hatua za kijeshi Ukraine?

Kwanini naunga mkono Urusi kuchukua hatua za kijeshi Ukraine?

Unaongea upopo gani wew jama amaeeleza sababu za msingi kwa nn urkraen avamiwe wew unaleta hbr za watu wasio na hatia kupigwa..babu utapigwa ukizingua unakujaje kumrhusu adui wangu namba moja kukujengea manuary ya kijeshi mpkan mwangu babu hata mm ningekupiga tu uwe kuallied na mpizani wangu alfu nikuangaliee
Akili mbovu
 
Mkuu uko sawa mm sioni kosa wew kutoa wazo lako na nn unakiona ni vile chama chako inakuwa ya kidemocrasia ndio ikuzuie wew kutoa mtazamo wako hapna uko sahih na hoja zako mnk hta ukiwauliza humu ndani sababu Ni zipi russian kuivamia urkraen hawana watishia kulaumu tu

Back to cdm .cdm mko very bias saan leo twiter nimeona msigwa Peter akilalamika kulaumiwa kwa kutoa mtazamo wake dhid ya ngoro ngoro hiki kichama nashindwa kukielewa kina mtqzamo gani ktk Uhuru wa mtu binafsi kutoa maoni yake
 
Kwa Yerico anaye jitanabaisha kuwa ni mpenda haki na demokrasia, kusikia anaunga mkono mambo yasiyo ya kidemokrasia kama hivi, inatia shaka.
Bila shaka alikuwa anamuunga mkono jiwe, ila walipishana maslahi binafsi
 
Sijui ni nani alisema, ila huu uzi umethibitisha kuwa ni kweli siku hizi "common sense is not common".
 
Watanzania wengi wanapenda ushabiki, hawapendi kusoma. Hawajui hata makubaliano kati ya urusi na marekani ambayo pia yalimlazimisha mrusi kuondoa silaha zake cuba.
Putin anatakiwa kuwalinda urusi tena alitakiwa kumpa ukraine kipigo cha maana ili nato na un wafikirie mara mbilimbili wanachotaka kuwafanyia urusi.
Hatukusikia chochote irak, libya. Syria . Yemen, ethiopia na kwingineko ambako raia wasio na hatia wanauawa. Ila sasa tunaona mpaka uefa na fifa wamekuja juu.
 
Picha ya kwanza juu ni kiongozi wa Jamhuri ya Watu wa Donetsk bwana Denis Pushilin, Na picha ya chini ni kiongozi wa Jamhuri ya Watu wa Luhansk bwana Leonid Pasechnik, Jamhuri hizo ni majimbo yaliyojitenga toka Ukraine.

Naomba nianze utangulize wa makala yangu kwakusema, Dunia ili iwe salama inatakiwa kuwa na wakubwa wawili au zaidi (balance of power), sio mmoja tu anaamua yeye kwaajili ya dunia na hapingwi, Mbele ya Urusi sasa hatutaona vita vya holela vya Marekani na washirika wake.

Sababu ya kwanza ya kuunga mkono Urusi ni kwamba ni hatua muhimu ya kukomesha mauaji ya miaka karibu kumi sasa yanayofanywa na Ukraine dhidi ya Wananchi wa Majimbo ya Luhansk na Donetsk. Kwa msiojua Mtangulizi wa Rais Zelensk wa Ukraine, bwana Petro Poroshenko tangu ashike madaraka 2014 aliendesha mauaji ya wapinzani wengi katika majimbo ya DPR na LPR yaliyotaka kujitenga hadi alipoondoka tu vita havikumalizika.

Alipoingia Zelensk nae akafuata nyayo za mtangulizi wakw, akaigeuza Ukraine kuwa jehanamu kwa aliowaita waasi, aliendesha mauaji makubwa sana hasahasa 2021 dhidi ya raia kule katika miji ya Donbass katika kile alichokiita kudhibiti waasi wanaotaka kujitenga. Dunia hii ilikaa kimya, Urusi ikawa ndio pango la kupokea wakimbizi zaidi la laki tatu,

Kiongozi Jimbo la Donetsk Bwana Denis Pushilin amenusurika mauaji zaidi ya marakumi hadi alipoomba ulinzi wa kimataifa kutoka Moscow, na mwisho akaongoza mapambano na kufanikiwa kujitangazia Uhuru.

Vile vile kiongozi wa jimbo la Luhansk bwana Leonid Pasechnik nae ilimlazimu kutafuta hifadhi ya kisiasa Moscow kwa lengo la kunusuru maisha yake dhidi ya Rais wa Ukraine bwana Zelensk aliyeapa kufuta uasi katika majimbo hayo, Aliongoza mapambano kwa ushirika wa Kiongozi wa jimbo la Donetsk bwana Pushilin na hatimaye wiki jana wamefanikiwa kumshinda Zelensk na Kujitangazia Uhuru.Urusi imeyatambua majimbo hayo kama nchi huru, Belarus na nchi nyingine tano yayari zimetambua. Ukraine imepinga uhuru huo ikaapa kuendesha vita nzito zaidi dhidi ya waliojitenga, Hatua hiyo ikawalazimu viongozi wa mapinduzi waombe msaada wa kijeshi kutoka Urusi. Na wameupata. Oparesheni ya Urusi ndio mwarobaini wa kukomesha mauaji ya miaka zaidi ya kumi sasa, kinyume na hapo miji itaendelea kuvuja damu kila kukicha.

Sababu ya pili ya kuunga mkono Urusi ni kitendo cha Marekani kutaka kujenga ngome ya kijeshi Ukraine, na katika kutimiza hilo Marekani kwakutumia washirika wake wa Nato wakamshawishi avunje Mkataba wa Minsk wa 2015 pamoja na mambo mengine, ulisema Ukanda wa Kaskazini Magharibi mwa Urusi (Ukraine) uliokuwa Umoja wa Kisoviet ya zamani Hautaruhusiwa kujiunga na Umoj wa Ulaya. Katika kibri cha Zelensk akaomba kujiunga NATO. Moscow akajibu kwa moto.

Sababu ya tatu ya kuunga mkono Urusi ni kitendo cha Marekani kupitia shirika lake la kijasusi la CIA kuvuruga dili la Urusi la kujenga bomba la awamu ya pili la gesi maarufu kama NORD STREAM II, ambalo lingelisha gesi Ulaya yote kwa 90% tofauti na sasa mbapo Ulaya inategemea gesi ya Urusi kwa 40% tu, Marekani ameitumia Ukraine kukwamisha mradi huu na baadhi ya nchi za Nato. Kitendo hiki ilikuwa ni uchokozi wa kiuchumi na kijasusi, Jibu la Urusi limeanzia kwa Ukraine kwanza.

Mtazamo wangu vita hivi ni kati ya Urusi na Marekani, na vitaisha kwa nchi hizi mbili kukaa chini na kukubaliana terms and conditions kama mihimili miwili mikuu duniani. Na sio vinginvyo, Ukraine kwa sasa ni uwanja wa biashara ya Silaha ya ulaya na Marekani.

Baada ya vita hii Urusi ataheshimiwa na kuogopwa sana, na vikwazo hivi amini ni geresha tu, havitachukua miezi 18 vitaondolewa, Rejea vikwazo vya 1990 alivyowekewa Urusi alipoivami Afghanustan vilimwathiri nani na viliishia wapi zaidi ya Afghanistan kusambaratishwa? Haya vikwazo vya Urusi vya 2008 alipoivamia Georgia viliishia wapi na vilimwathiri nani zaidi ya Georgia kuwa eneo muhimu la Urusi hadi leo? Vikwazo vya Urusi vya juzi tu baada ya kuivamia Cremia vimefiki wapi?.

Kikwazo ambacho kilikuwa tishio kwa uchumi wa Urusi alichowekewa na EU ni hiki cha kuzuia huduma ya kibenki ya SWIFT, Lakini ndani ya saa 24 tu, Rais wa Urusi Vlamir Putin ametangaza hatua za dharula kukabili vikwazo vya kiuchumi, na haraka Urusi na China wamekubaliana kutumia huduma ya kibenki ya China ya Cross-Border Interbank Payment System, or CIPS. Kwa tafrisi hiyo nikuwa kikwazo cha uchumi hakitaiathiri Urusi moj kwa moja.

Ukweli ni kuwa Nchi nyingi duniani haziwezi kuendesha chumi zao, katika nyanja nyingi kama za kijeshi na mengineyo bila Urusi. Dunia inaihitaji Urusi kuliko Urusi inavyo ihitaji dunia yenyewe. Japo wanategemeana. Mataifa ya Umoja wa Ulaya (EU) yapo 27, ukijumlisha na Marekani jumla ni nchi 28 tu, haya mataifa sio yote yanaipinga Urusi, Dunia ina nchi 195 + Donetsk na Luhansk, ni 197, Sasa jiulize nchi 164+ ziko upande upi?. Bado mtu anasema Urusi imetengwa na dunia? Basi huyo mtu haijui dunia sawasawa.

Ni wazi kwamba, Dunia leo iko mapande matatu, kuna Urusi, Kuna Uchina na kuna Marekani... Kwenye nchi 28 Uchina hayuko huko, zingatia kuna nchi za kati zenye uchuki mkubwa ambazo ni India hayuko na Ukraine, huko Brazil hayuko huko na Ukraine... Na hawa wanamuunga mkono Mrusi.... Dunia sasa inastawi na hii ndio balance ya dunia na inapumua vizuri sasa.

Na Yericko Nyerere
View attachment 2136291View attachment 2136292
Uchambuzi Mzuri sana huu,hongera kamanda.
 
Wakati Iraq, Afghanistan, Iran, Syria na Libya wakiachwa yatima wajane/wagane na magofu tulikuwa kimya tukimshabikia baba wa demokrasia.

Alivyoingilia uhuru na uchumi wa Cuba na Venezuela kisa tu Russia alikuwa na interests huko, tulikuwa tukimsifu kama super power!!

Leo hii Russia anafanya kutetea interests zake na kuondoa mianya ya adui kuweka silaha za maangamizi mpakani mwake, tunamuona mwendawazimu.

Binafsi naunga Russia mkono kwenye ku-neutralise Ukraine na kuharibu military infrastructure, lakini sio kuua civilians.
 
Umewaza kama mimi, unapingaje matendo ya jiwe na kuunga mkono ya Putin ?
Kwa Yerico anaye jitanabaisha kuwa ni mpenda haki na demokrasia, kusikia anaunga mkono mambo yasiyo ya kidemokrasia kama hivi, inatia shaka.
Bila shaka alikuwa anamuunga mkono jiwe, ila walipishana maslahi binafsi
 
Hata Mmarekani huyo huyo na 'Washirika' wake wakati wanaivamia Iraqi mwaka 2002/2003, kwa kisingizio cha kumuondoa Saddam Hussein! Aliua maelfu ya raia. Na mpaka leo hii Iraqi haina kabisa utulivu wa kisiasa.

Amefanya uonevu kama huo Afghanstan, Vietnam, Syria, Libya, na maeneo mengi tu ya dunia kwa kushirikiana na Washirika wake wa NATO. So haya mambo ni bora tukayaacha tu. Unaweza ukamlaumu na kumlaani huyo Putin, kumbe chanzo cha matatizo yote ni Marekani na NATO.

Balance of power, ndiyo inayo sababisha watu kuheshimiana duniani. Hivyo katika hili, Urusi hana namna. Lazima amuwajibishe kibaraka Zelensky.
Safi sana mchango Mzuri sana huu.
Kwa kifupi USA ana wivu na Urusi,hivyo akamwekea mitego miwili kuuza gesi ulaya lakini Ukraine ajiunge NATO,ama apoteze soko la gesi lakini Ukraine Asijiunge NATO.
Urusi na Putin ni clever wameamua kujenga heshima,Ukraine hajiungi NATO.
Hii imewapa hofu USA hawakutegemea maamuzi ya confidences namna hii,maana walidhani atakua mnyonge kuokoa soko la gesi kwa kuogopa kuigusa Ukraine na kuiacha ifanye inavyotaka hata kujiunga na NATO.
Kwa Hali hiyo Putin amechagua kulinda Mipaka na usalama wa Russia.hayo ndio maamuzi ya kiongozi mzalendo.
 
Dunia haijawahi kuwa na wababe wawili au zaidi. Kila mara anakuwepo mbabe na wengine wanajitahidi kumshusha. Kwa Sasa USA Hana mpinzani.
 
PUTIN ana Point....,

NATO / America ni Wanafiki...

War is the Last Resort ambayo sidhani kama ilikuwa imeshafikiwa..., Kwahio ni vigumu sana kwangu kuunga mkono Vita ila Putin has a Point, na Raia wengi wa Pande zote hawana Hatia (caught in crossfires)

I am a believer everything can be sorted Diplomatically na as People we are Civilized enough to resort to barbaric measures (but that's human nature)...,
 


Mpaka retired US senior army officer and former national security advisor anadhani Ukraine mwenyewe amejitafutia hiko kichapo aachiwe mziki wake apate akili.

Kama ilivyo kwa US aitokubali nchi nyingine iweke kambi ya kijeshi ndani ya CUBA, so is Russia with Ukraine.

US na NATO ni wachokozi na Ukraine scapegoat wakujitakia.
 
Picha ya kwanza juu ni kiongozi wa Jamhuri ya Watu wa Donetsk bwana Denis Pushilin, Na picha ya chini ni kiongozi wa Jamhuri ya Watu wa Luhansk bwana Leonid Pasechnik, Jamhuri hizo ni majimbo yaliyojitenga toka Ukraine.

Naomba nianze utangulize wa makala yangu kwakusema, Dunia ili iwe salama inatakiwa kuwa na wakubwa wawili au zaidi (balance of power), sio mmoja tu anaamua yeye kwaajili ya dunia na hapingwi, Mbele ya Urusi sasa hatutaona vita vya holela vya Marekani na washirika wake.

Sababu ya kwanza ya kuunga mkono Urusi ni kwamba ni hatua muhimu ya kukomesha mauaji ya miaka karibu kumi sasa yanayofanywa na Ukraine dhidi ya Wananchi wa Majimbo ya Luhansk na Donetsk. Kwa msiojua Mtangulizi wa Rais Zelensk wa Ukraine, bwana Petro Poroshenko tangu ashike madaraka 2014 aliendesha mauaji ya wapinzani wengi katika majimbo ya DPR na LPR yaliyotaka kujitenga hadi alipoondoka tu vita havikumalizika.

Alipoingia Zelensk nae akafuata nyayo za mtangulizi wakw, akaigeuza Ukraine kuwa jehanamu kwa aliowaita waasi, aliendesha mauaji makubwa sana hasahasa 2021 dhidi ya raia kule katika miji ya Donbass katika kile alichokiita kudhibiti waasi wanaotaka kujitenga. Dunia hii ilikaa kimya, Urusi ikawa ndio pango la kupokea wakimbizi zaidi la laki tatu,

Kiongozi Jimbo la Donetsk Bwana Denis Pushilin amenusurika mauaji zaidi ya marakumi hadi alipoomba ulinzi wa kimataifa kutoka Moscow, na mwisho akaongoza mapambano na kufanikiwa kujitangazia Uhuru.

Vile vile kiongozi wa jimbo la Luhansk bwana Leonid Pasechnik nae ilimlazimu kutafuta hifadhi ya kisiasa Moscow kwa lengo la kunusuru maisha yake dhidi ya Rais wa Ukraine bwana Zelensk aliyeapa kufuta uasi katika majimbo hayo, Aliongoza mapambano kwa ushirika wa Kiongozi wa jimbo la Donetsk bwana Pushilin na hatimaye wiki jana wamefanikiwa kumshinda Zelensk na Kujitangazia Uhuru.Urusi imeyatambua majimbo hayo kama nchi huru, Belarus na nchi nyingine tano yayari zimetambua. Ukraine imepinga uhuru huo ikaapa kuendesha vita nzito zaidi dhidi ya waliojitenga, Hatua hiyo ikawalazimu viongozi wa mapinduzi waombe msaada wa kijeshi kutoka Urusi. Na wameupata. Oparesheni ya Urusi ndio mwarobaini wa kukomesha mauaji ya miaka zaidi ya kumi sasa, kinyume na hapo miji itaendelea kuvuja damu kila kukicha.

Sababu ya pili ya kuunga mkono Urusi ni kitendo cha Marekani kutaka kujenga ngome ya kijeshi Ukraine, na katika kutimiza hilo Marekani kwakutumia washirika wake wa Nato wakamshawishi avunje Mkataba wa Minsk wa 2015 pamoja na mambo mengine, ulisema Ukanda wa Kaskazini Magharibi mwa Urusi (Ukraine) uliokuwa Umoja wa Kisoviet ya zamani Hautaruhusiwa kujiunga na Umoj wa Ulaya. Katika kibri cha Zelensk akaomba kujiunga NATO. Moscow akajibu kwa moto.

Sababu ya tatu ya kuunga mkono Urusi ni kitendo cha Marekani kupitia shirika lake la kijasusi la CIA kuvuruga dili la Urusi la kujenga bomba la awamu ya pili la gesi maarufu kama NORD STREAM II, ambalo lingelisha gesi Ulaya yote kwa 90% tofauti na sasa mbapo Ulaya inategemea gesi ya Urusi kwa 40% tu, Marekani ameitumia Ukraine kukwamisha mradi huu na baadhi ya nchi za Nato. Kitendo hiki ilikuwa ni uchokozi wa kiuchumi na kijasusi, Jibu la Urusi limeanzia kwa Ukraine kwanza.

Mtazamo wangu vita hivi ni kati ya Urusi na Marekani, na vitaisha kwa nchi hizi mbili kukaa chini na kukubaliana terms and conditions kama mihimili miwili mikuu duniani. Na sio vinginvyo, Ukraine kwa sasa ni uwanja wa biashara ya Silaha ya ulaya na Marekani.

Baada ya vita hii Urusi ataheshimiwa na kuogopwa sana, na vikwazo hivi amini ni geresha tu, havitachukua miezi 18 vitaondolewa, Rejea vikwazo vya 1990 alivyowekewa Urusi alipoivami Afghanustan vilimwathiri nani na viliishia wapi zaidi ya Afghanistan kusambaratishwa? Haya vikwazo vya Urusi vya 2008 alipoivamia Georgia viliishia wapi na vilimwathiri nani zaidi ya Georgia kuwa eneo muhimu la Urusi hadi leo? Vikwazo vya Urusi vya juzi tu baada ya kuivamia Cremia vimefiki wapi?.

Kikwazo ambacho kilikuwa tishio kwa uchumi wa Urusi alichowekewa na EU ni hiki cha kuzuia huduma ya kibenki ya SWIFT, Lakini ndani ya saa 24 tu, Rais wa Urusi Vlamir Putin ametangaza hatua za dharula kukabili vikwazo vya kiuchumi, na haraka Urusi na China wamekubaliana kutumia huduma ya kibenki ya China ya Cross-Border Interbank Payment System, or CIPS. Kwa tafrisi hiyo nikuwa kikwazo cha uchumi hakitaiathiri Urusi moj kwa moja.

Ukweli ni kuwa Nchi nyingi duniani haziwezi kuendesha chumi zao, katika nyanja nyingi kama za kijeshi na mengineyo bila Urusi. Dunia inaihitaji Urusi kuliko Urusi inavyo ihitaji dunia yenyewe. Japo wanategemeana. Mataifa ya Umoja wa Ulaya (EU) yapo 27, ukijumlisha na Marekani jumla ni nchi 28 tu, haya mataifa sio yote yanaipinga Urusi, Dunia ina nchi 195 + Donetsk na Luhansk, ni 197, Sasa jiulize nchi 164+ ziko upande upi?. Bado mtu anasema Urusi imetengwa na dunia? Basi huyo mtu haijui dunia sawasawa.

Ni wazi kwamba, Dunia leo iko mapande matatu, kuna Urusi, Kuna Uchina na kuna Marekani... Kwenye nchi 28 Uchina hayuko huko, zingatia kuna nchi za kati zenye uchuki mkubwa ambazo ni India hayuko na Ukraine, huko Brazil hayuko huko na Ukraine... Na hawa wanamuunga mkono Mrusi.... Dunia sasa inastawi na hii ndio balance ya dunia na inapumua vizuri sasa.

Na Yericko Nyerere
View attachment 2136291View attachment 2136292
Kama hoja ni nato au marekani kwa "makosa" yake huko syria au iraq au libya , au kama shida ni nato au marekani kwa wanayotaka kuyafanya na ukraine, basi uamuzi sahihi kwa putin na nyie mnaomuunga mkono ilikuwa ni kuwavamia hao nato na marekani kuua watu wao na kuharibu nchi zao, sio ukraine, kwanini chuki zenu kwa nato na marekani mnazipeleka kwa wanyonge ukraine, kila sababu mnazotoa mnahusisha matendo ya marekani , kamvamie sasa huyo marekani ili apate haki yake. Hamma hoja team putin ubabe wa ki hitler huo
 
Hivi mmesoma vizuri UZI wa Yeriko au umeishai kusoma kichwa cha habari? Mbona jamaa kafafanua kwamba huyo rais wa Ukraine kaua sana na alikua anaendelea kuua sana na Urusi akawa anabeba mzigo wa wakimbizi??? Nashawishika kuamini kwamba hamjasoma UZI. Kwa maana ya upande unao unga mkono ni upi kati ya Ukrein na Urusi hilo sina tatizo nalo, kila mtu anaweza kubakia na mtazamo wake, nina shida na the way ulivyo weka maelezo yako maanake kama ni kutetea mauaji, ungeanza kumlaumu rais wa Ukrain kwanza
Safi sana hii inaonesha kuwa watu wenye akili Afrika bado wapo.
Huu mchango wako ni WA akili sana.
 
Back
Top Bottom