Kwanini naupenda mti huu

Kuna raia moja wa Kilimanjaro anapenda kuingia jf kwa ajili yako.
Jamaa anakukubali haina mfano.
Ukiitaja jf yeye anataja Bujibuji halafu anacheeeka.

Cc Maxell Remy [emoji1787][emoji1787]
Let him be blessed by my Lord Jesus Christ
 
Shukrani kaka Bujibuji Simba Nyamaume nimepata faraja kubwa na ukomavu katika uvumilivu
 
Kumbe wewe mtoto wa kishua?

Ethiopian restaurant, Jacaranda, knight support, Mezaruna, 40/40 lounge...Impala?
Kuna Watanzania wa kawaida kabisa tunaishi maeneo hayo mkuu,inategemea eneo lilinunuliwa lini.
 
Ni jamaa flani muungwana na hana makuu kabisa.
Huyu mtu unaweza kumchukukia poa lakini sivyo.
Ana kitu cha tofauti sana
True aisee. Unaweza kumuona kama comedian fulani hivi, lakini ndani ya mistari yake kuna hekima kubwa sana bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…