Kwanini nawapa 100% Yanga SC kufuzu Robo Fainali CAFCC na Simba SC 200% kutofuzu Robo Fainali CAFCL?

Kwanini nawapa 100% Yanga SC kufuzu Robo Fainali CAFCC na Simba SC 200% kutofuzu Robo Fainali CAFCL?

Nilijua tu msio na Akili ( Fools ) hamtanielewa na mtakurupuka kunijibu hasa hapo niliposema 200%

Kwa wenye Akili Kubwa wameshanielewa kuwa kwa Kuandika Kwangu hivyo 200% hapo nimeonyesha tu Msisitizo kwa Lugha Fikirishi ambayo bahati mbaya Wewe na huyo Dunduka Mwenzako aliyekupa Like hapo mmeshindwa Kunielewa.

Mimi ndiyo MINOCYCLINE ( alias ) Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person sawa?

Kazi Kwako / Kwenu.

Cc: SAGAI GALGANO
Charismatic fella
 

1677266072580.png
1677266072580.png
1677266072580.png
 
Mkuu unachanganya mambo, mara Raja na Horoya, mara Yanga na TP Mazembe. Kumbuka hizo ni mechi za michuano miwili tofauti. Horoya na Raja zinashiriki na Simba na Vipers katika Champions League, Yanga na Mazembe zilishashindwa kabisa huko, zipo Shirikisho
Umesoma mada tajwa hapo juu??? Au umeamua kutumia matako kuquote?
 
Nilijua tu msio na Akili ( Fools ) hamtanielewa na mtakurupuka kunijibu hasa hapo niliposema 200%

Kwa wenye Akili Kubwa wameshanielewa kuwa kwa Kuandika Kwangu hivyo 200% hapo nimeonyesha tu Msisitizo kwa Lugha Fikirishi ambayo bahati mbaya Wewe na huyo Dunduka Mwenzako aliyekupa Like hapo mmeshindwa Kunielewa.

Mimi ndiyo MINOCYCLINE ( alias ) Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person sawa?

Kazi Kwako / Kwenu.

Cc: SAGAI GALGANO
Acha kuharibu hesabu Kwa vitu ambavyo Kwanza huna uhakika navyo ndo maana unasema 6 then unalud 5 hesabu inajibu Moja tu Kama 5 ni hyo hyo Duniani kote
 
Yaani point 6 ukacheze robo fainali? Labda ya mpogole.

Yanga hawezi kuvuka hii hatua. Anaenda kufa mali. Bongo anaweza shinda mechi moja tu. Ndo hizo 6 unazosema.
Naomba tuitunze hii comment yako kwa matumizi ya badae
 
Case ya Al Ahly inalingana kiasi na ya Simba, ila pia zinapishana mbali sana. Al Ahly anavikombe lukuki vya CAFCL ilhali Simba hana hata kimoja. Kama wakitolewa wote kwenye hatua hii anayepaswa kuumia sana hapa ni Simba ambaye hajawahi kubeba hiyo ndoo.
Atakayeumia zaidi ni Al Ahly. Hivi kati ya FC Porto na Real Madridi ni yupi ataumia zaidi akitolewa katika hatua ya group stages kwenye UCL ?
 
Acha kuharibu hesabu Kwa vitu ambavyo Kwanza huna uhakika navyo ndo maana unasema 6 then unalud 5 hesabu inajibu Moja tu Kama 5 ni hyo hyo Duniani kote
Empty Set. Wakijitokeza Mathematicians na Moron kama Wewe utathubutu Kujitokeza?
 
Case ya Al Ahly inalingana kiasi na ya Simba, ila pia zinapishana mbali sana. Al Ahly anavikombe lukuki vya CAFCL ilhali Simba hana hata kimoja. Kama wakitolewa wote kwenye hatua hii anayepaswa kuumia sana hapa ni Simba ambaye hajawahi kubeba hiyo ndoo.
Simba halitakuwa jambo la kushangaza kutolewa kwenye group stages kwa sababu timu ndiyo kwanza inajitafuta kwenye michuano hiyo.

Kitakachowaumiza ni kukosa hela ya Quaterfinals tu lakini siyo kingine kwa sababu hata malengo yao siyo kubeba kombe ni kuingia Quaoterfinal tu.
 
Huyo Al ahly anashiriki hii michuano kwa upendeleo alitakiwa awepo shirikisho
Upendeleo kivipi kwani hakushinda mechi yake ya kuingia hatua ya makundi ?

Kwahiyo kama anashiriki kwa upendo anastahili kutolewa mapema ?
 
Upendeleo kivipi kwani hakushinda mechi yake ya kuingia hatua ya makundi ?

Kwahiyo kama anashiriki kwa upendo anastahili kutolewa mapema ?
Ligi ya misri timu 2 za juu zinaenda champion league na namba 3 na 4 wanaenda shirikisho.
Sasa Al ahly alikua nafasi ya 3 lakini akaenda champion league na Pyramids aliekua nafasi ya 2 akapelekwa shirikisho.
 
Ligi ya misri timu 2 za juu zinaenda champion league na namba 3 na 4 wanaenda shirikisho.
Sasa Al ahly alikua nafasi ya 3 lakini akaenda champion league na Pyramids aliekua nafasi ya 2 akapelekwa shirikisho.
Walifanya hivyo kwa sababu wakati wa kuwasilisha majina ya timu zinazoshiriki mashindano ya CAF ligi ya misiri ilikuwa haijaisha hivyo walitumia msimamo wa round ya kwanza ya ligi kipindi hicho Al Ahly alikuwa juu ya Pyramids
 
1. Hakuna watu wajinga wajinga duniani kama wale ambao wanataka mitazamo (opinions) yao iwe facts. MINOCYCLINE ni moja ya wajinga wajinga hao.

2. Huwa napata ukakasi sana uwezo wa akili zao wale wote wenye kujisifu kuhusu uwezo wa akili zao, kwa kujiita majina mengi yenye kuonesha wao wajuzi wa mambo. Mara nyingi huwa hamna kitu kichwani, Kwenye hii list MINOCYCLINE ya watu wa namna hiyo upo pia.

I'm not a prophet but sometimes I may have prophetic visions: Sijawahi kutana na MINOCYCLINE in person, but I am sure Listening Skills ni changamoto kwako Mkuu.

Nitarudi kujibu mada yako Mkuu.
1. Hakuna watu wajinga wajinga duniani kama wale ambao wanataka mitazamo (opinions) yao iwe facts. MINOCYCLINE ni moja ya wajinga wajinga hao.

2. Huwa napata ukakasi sana uwezo wa akili zao wale wote wenye kujisifu kuhusu uwezo wa akili zao, kwa kujiita majina mengi yenye kuonesha wao wajuzi wa mambo. Mara nyingi huwa hamna kitu kichwani, Kwenye hii list MINOCYCLINE ya watu wa namna hiyo upo pia.

I'm not a prophet but sometimes I may have prophetic visions: Sijawahi kutana na MINOCYCLINE in person, but I am sure Listening Skills ni changamoto kwako Mkuu.

Nitarudi kujibu mada yako Mkuu.
Huyu mshamba anajiona yeye ana akili kuliko watu wote humu. Jana kaniawakia na kuniita majina mabaya kwa vile tu nili like post ya mtu aliyemkosoa. Huyu mtu aidha ni kichaa au ana mtindio wa ubongo, ndiyo maana Tate Mkuu anamshauri aende kutibiwa Lutindi
 
Huyu mshamba anajiona yeye ana akili kuliko watu wote humu. Jana kaniawakia na kuniita majina mabaya kwa vile tu nili like post ya mtu aliyemkosoa. Huyu mtu aidha ni kichaa au ana mtindio wa ubongo, ndiyo maana Tate Mkuu anamshauri aende kutibiwa Lutindi
Ningekuwa sina Akili ungehangaika Kunifuatilia hapa JamiiForums na Sura zangu zote Mbili za The CITIZEN na MWANANCHI? Najua unanikubali mno na Taarifa zote za Kimpira huwa unazipatia Kwangu Kudadadeki.
 
Back
Top Bottom