Kwanini nawapa 100% Yanga SC kufuzu Robo Fainali CAFCC na Simba SC 200% kutofuzu Robo Fainali CAFCL?

Kwanini nawapa 100% Yanga SC kufuzu Robo Fainali CAFCC na Simba SC 200% kutofuzu Robo Fainali CAFCL?

Ningekuwa sina Akili ungehangaika Kunifuatilia hapa JamiiForums na Sura zangu zote Mbili za The CITIZEN na MWANANCHI? Najua unanikubali mno na Taarifa zote za Kimpira huwa unazipatia Kwangu Kudadadeki.
Tuondolee ushamba wako wa kujisifia sifia kama mwanamke kahaba. Mpira naujua kabla hujaja hapa mjini toka kwenu Manyovu nakuona fala tu.
 
Huyu mshamba anajiona yeye ana akili kuliko watu wote humu. Jana kaniawakia na kuniita majina mabaya kwa vile tu nili like post ya mtu aliyemkosoa. Huyu mtu aidha ni kichaa au ana mtindio wa ubongo, ndiyo maana Tate Mkuu anamshauri aende kutibiwa Lutindi
Pole sana Mkuu.

Huyu jamaa ni wa kumuonea huruma tu, Kuna jambo halipo sawa kichwani mwake.

Ni kweli ingependeza sana atafute hata mwanasaikolojia tu anaweza tatua tatizo lake. Ikishindikana aende Lutindi kabisa.

Ushauri: Ndugu MINOCYCLINE hii anonymity isikufanye ujichetue akili (isikufanye uonekane mjinga mjinga). Tuliza akili yako. Kuna kitu hakipo sawa kwako.
 
Kwahiyo CAF wanaangalia matokeo ya mwisho wa ligi au msimamo kabla ligi haijaisha
Anayewajibika kuwasilisha majina ya timu shiriki ni shirikisho la soka nchi husika..

CAF anapelekewa majina tu
 
Anayewajibika kuwasilisha majina ya timu shiriki ni shirikisho la soka nchi husika..

CAF anapelekewa majina tu
Kwahiyo siku wakipelekewa Polisi Tanzania anayekaribia kushuka daraja Nako ni sawa tu?
 
Sawa lakini bado haiondoi ukweli kua Al ahly alipendelewa.
Alitakiwa aende shirikisho, caf ktk kumbeba ndo wakaja na kigezo cha kuangalia rankings. Ndo mna simba akaanza raundi ya awali wkt mwanzo kbs ratiba yao walisema ataanzia second rounds. Yote ili al ahly acheze klabu bingwa
 
Yanga kufungwa na TP Mazembe pale Lubumbashi ni kazi kubwa sana. Nafasi ya TP Mazembe kumfunga Yanga ni ngumu sana.
Yani mumfunge mazembe nje ndani????we unajua unachoongea kweli???[emoji1787][emoji1787]uchawi hauvuki maji ujue ohooooo
 
1. Hakuna watu wajinga wajinga duniani kama wale ambao wanataka mitazamo (opinions) yao iwe facts. MINOCYCLINE ni moja ya wajinga wajinga hao.

2. Huwa napata ukakasi sana uwezo wa akili zao wale wote wenye kujisifu kuhusu uwezo wa akili zao, kwa kujiita majina mengi yenye kuonesha wao wajuzi wa mambo. Mara nyingi huwa hamna kitu kichwani, Kwenye hii list MINOCYCLINE ya watu wa namna hiyo upo pia.

I'm not a prophet but sometimes I may have prophetic visions: Sijawahi kutana na MINOCYCLINE in person, but I am sure Listening Skills ni changamoto kwako Mkuu.

Nitarudi kujibu mada yako Mkuu.
Ushamba na ulimbukeni unamsumbua huyu bwege
 
Kwahiyo Simba wao hawawezi kujiandaa kikamilifu wakapata matokeo nyumbani.
 
Yanga ashinde mechi zake mbili za nyumbani afu asifungwe zingi kwa chache na Mazembe anafuzu
 
Huyu mshamba anajiona yeye ana akili kuliko watu wote humu. Jana kaniawakia na kuniita majina mabaya kwa vile tu nili like post ya mtu aliyemkosoa. Huyu mtu aidha ni kichaa au ana mtindio wa ubongo, ndiyo maana Tate Mkuu anamshauri aende kutibiwa Lutindi


Pole sana Mkuu watu wengi humu jukwaani wameisha mpuuza.

Anaonekana kama Huwa kinampanda mala kwa mala.

Mtindio wa ubongo ni ugonjwa hatari sana.
 
Horoya atamfunga Raja casablanca guinea.

Horoyaa atacheza na raja muda ambao jua bado halijazama.. raja casablanca hana makali kwenye jua.. horoya atashinda hata kwa 1 - 0 na kufikisha point 7. Kisha vipers nae atafungwa na horoya guinea na kumfanya horoya afikishe 10 points ambazo simba hawezi kuzifikia hata apange kikosi cha waganga tupu

Kikosi hiki hiki cha raja casablanca kilifungwa na horoya msimu uliopita. Na kitafungwa tena guinea msimu huu

Simba hawezi kupita. Horoya point zake 4 alizozipata mapema zitamvusha
Sidhani kama hata ushawai kutabiri mvua kunyesha kulingana na hali ya hewa ikawa ni kweli maana umechochora vibaya mkuu
 
Back
Top Bottom