Kwanini nawapa 100% Yanga SC kufuzu Robo Fainali CAFCC na Simba SC 200% kutofuzu Robo Fainali CAFCL?

Charismatic fella
 
Umesoma mada tajwa hapo juu??? Au umeamua kutumia matako kuquote?
 
Acha kuharibu hesabu Kwa vitu ambavyo Kwanza huna uhakika navyo ndo maana unasema 6 then unalud 5 hesabu inajibu Moja tu Kama 5 ni hyo hyo Duniani kote
 
Yaani point 6 ukacheze robo fainali? Labda ya mpogole.

Yanga hawezi kuvuka hii hatua. Anaenda kufa mali. Bongo anaweza shinda mechi moja tu. Ndo hizo 6 unazosema.
Naomba tuitunze hii comment yako kwa matumizi ya badae
 
Atakayeumia zaidi ni Al Ahly. Hivi kati ya FC Porto na Real Madridi ni yupi ataumia zaidi akitolewa katika hatua ya group stages kwenye UCL ?
 
Acha kuharibu hesabu Kwa vitu ambavyo Kwanza huna uhakika navyo ndo maana unasema 6 then unalud 5 hesabu inajibu Moja tu Kama 5 ni hyo hyo Duniani kote
Empty Set. Wakijitokeza Mathematicians na Moron kama Wewe utathubutu Kujitokeza?
 
Simba halitakuwa jambo la kushangaza kutolewa kwenye group stages kwa sababu timu ndiyo kwanza inajitafuta kwenye michuano hiyo.

Kitakachowaumiza ni kukosa hela ya Quaterfinals tu lakini siyo kingine kwa sababu hata malengo yao siyo kubeba kombe ni kuingia Quaoterfinal tu.
 
Huyo Al ahly anashiriki hii michuano kwa upendeleo alitakiwa awepo shirikisho
Upendeleo kivipi kwani hakushinda mechi yake ya kuingia hatua ya makundi ?

Kwahiyo kama anashiriki kwa upendo anastahili kutolewa mapema ?
 
Upendeleo kivipi kwani hakushinda mechi yake ya kuingia hatua ya makundi ?

Kwahiyo kama anashiriki kwa upendo anastahili kutolewa mapema ?
Ligi ya misri timu 2 za juu zinaenda champion league na namba 3 na 4 wanaenda shirikisho.
Sasa Al ahly alikua nafasi ya 3 lakini akaenda champion league na Pyramids aliekua nafasi ya 2 akapelekwa shirikisho.
 
Ligi ya misri timu 2 za juu zinaenda champion league na namba 3 na 4 wanaenda shirikisho.
Sasa Al ahly alikua nafasi ya 3 lakini akaenda champion league na Pyramids aliekua nafasi ya 2 akapelekwa shirikisho.
Walifanya hivyo kwa sababu wakati wa kuwasilisha majina ya timu zinazoshiriki mashindano ya CAF ligi ya misiri ilikuwa haijaisha hivyo walitumia msimamo wa round ya kwanza ya ligi kipindi hicho Al Ahly alikuwa juu ya Pyramids
 
Huyu mshamba anajiona yeye ana akili kuliko watu wote humu. Jana kaniawakia na kuniita majina mabaya kwa vile tu nili like post ya mtu aliyemkosoa. Huyu mtu aidha ni kichaa au ana mtindio wa ubongo, ndiyo maana Tate Mkuu anamshauri aende kutibiwa Lutindi
 
Ningekuwa sina Akili ungehangaika Kunifuatilia hapa JamiiForums na Sura zangu zote Mbili za The CITIZEN na MWANANCHI? Najua unanikubali mno na Taarifa zote za Kimpira huwa unazipatia Kwangu Kudadadeki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…