SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Tuondolee ushamba wako wa kujisifia sifia kama mwanamke kahaba. Mpira naujua kabla hujaja hapa mjini toka kwenu Manyovu nakuona fala tu.Ningekuwa sina Akili ungehangaika Kunifuatilia hapa JamiiForums na Sura zangu zote Mbili za The CITIZEN na MWANANCHI? Najua unanikubali mno na Taarifa zote za Kimpira huwa unazipatia Kwangu Kudadadeki.
Pole sana Mkuu.Huyu mshamba anajiona yeye ana akili kuliko watu wote humu. Jana kaniawakia na kuniita majina mabaya kwa vile tu nili like post ya mtu aliyemkosoa. Huyu mtu aidha ni kichaa au ana mtindio wa ubongo, ndiyo maana Tate Mkuu anamshauri aende kutibiwa Lutindi
Anayewajibika kuwasilisha majina ya timu shiriki ni shirikisho la soka nchi husika..Kwahiyo CAF wanaangalia matokeo ya mwisho wa ligi au msimamo kabla ligi haijaisha
Kwahiyo siku wakipelekewa Polisi Tanzania anayekaribia kushuka daraja Nako ni sawa tu?Anayewajibika kuwasilisha majina ya timu shiriki ni shirikisho la soka nchi husika..
CAF anapelekewa majina tu
Alitakiwa aende shirikisho, caf ktk kumbeba ndo wakaja na kigezo cha kuangalia rankings. Ndo mna simba akaanza raundi ya awali wkt mwanzo kbs ratiba yao walisema ataanzia second rounds. Yote ili al ahly acheze klabu bingwaSawa lakini bado haiondoi ukweli kua Al ahly alipendelewa.
Yani mumfunge mazembe nje ndani????we unajua unachoongea kweli???[emoji1787][emoji1787]uchawi hauvuki maji ujue ohoooooYanga kufungwa na TP Mazembe pale Lubumbashi ni kazi kubwa sana. Nafasi ya TP Mazembe kumfunga Yanga ni ngumu sana.
Vp umeinjoy??Mimi natamani sana makolo watolewe kwenye makundi bila kupata point hata moja nitaenjoy sana!
Ushamba na ulimbukeni unamsumbua huyu bwege1. Hakuna watu wajinga wajinga duniani kama wale ambao wanataka mitazamo (opinions) yao iwe facts. MINOCYCLINE ni moja ya wajinga wajinga hao.
2. Huwa napata ukakasi sana uwezo wa akili zao wale wote wenye kujisifu kuhusu uwezo wa akili zao, kwa kujiita majina mengi yenye kuonesha wao wajuzi wa mambo. Mara nyingi huwa hamna kitu kichwani, Kwenye hii list MINOCYCLINE ya watu wa namna hiyo upo pia.
I'm not a prophet but sometimes I may have prophetic visions: Sijawahi kutana na MINOCYCLINE in person, but I am sure Listening Skills ni changamoto kwako Mkuu.
Nitarudi kujibu mada yako Mkuu.
Jana makolo mmeniuzi sana, mimi nilitamani sana mtolewe kwenye makundi bila kupata point ingependeza sana.Vp umeinjoy??
Saga chupa umeze itapendeza zaidiJana makolo mmeniuzi sana, mimi nilitamani sana mtolewe kwenye makundi bila kupata point ingependeza sana.
Huyu mshamba anajiona yeye ana akili kuliko watu wote humu. Jana kaniawakia na kuniita majina mabaya kwa vile tu nili like post ya mtu aliyemkosoa. Huyu mtu aidha ni kichaa au ana mtindio wa ubongo, ndiyo maana Tate Mkuu anamshauri aende kutibiwa Lutindi
Tusubiri tuoneSimba hawezi kupita. Horoya point zake 4 alizozipata mapema zitamvusha
Sidhani kama hata ushawai kutabiri mvua kunyesha kulingana na hali ya hewa ikawa ni kweli maana umechochora vibaya mkuuHoroya atamfunga Raja casablanca guinea.
Horoyaa atacheza na raja muda ambao jua bado halijazama.. raja casablanca hana makali kwenye jua.. horoya atashinda hata kwa 1 - 0 na kufikisha point 7. Kisha vipers nae atafungwa na horoya guinea na kumfanya horoya afikishe 10 points ambazo simba hawezi kuzifikia hata apange kikosi cha waganga tupu
Kikosi hiki hiki cha raja casablanca kilifungwa na horoya msimu uliopita. Na kitafungwa tena guinea msimu huu
Simba hawezi kupita. Horoya point zake 4 alizozipata mapema zitamvusha