Kwanini nchi haina Kitengo cha Intelijensia ya Uchumi?

Kwanini nchi haina Kitengo cha Intelijensia ya Uchumi?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Muundo wa Serikali ulivyo ni wazi hatuna kitengo kinachoratibu na kusimamia intelijensia ya uchumi.

Kama mipango yetu ingeongozwa na intelijensia ya uchumi maana yake sera zetu zingeeleweka hadi ngazi ya mtaa ila kwa sasa hata mawaziri hakuna ajuaye tuna threat na opportunity gani kisekta.

Kwanini kitengo hiki kisiundwe ndani ya wizara mpya ya mipango kikichukua majasusi kutoka vyombo vya dola, vyuoni, taasisi binafsi na wizara ya fedha! Kitengo hiki kikiwepo hata mwanasheria mkuu wa serikali hataruhusiwa kwenda kuingia mikataba ya DP world coz watakuwa wanafanya uchambuzi wa kila sekta, kuainisha intervention za kisekta pamoja na kucontrol kiu ya mwanasiasa.

Hiki kitengo ni muhimu sana kwa ulinzi wa uchumi wetu lakini pia kitatusaidia kuwabaini wanaotuhujum na kuwaweka wazi au kuwadhibiti.

Intelijensia ya jinai siyo kipaombele cha Dunia tena; Dunia inalindwa zaidi na economic power. Leo tunapoona kila dili likifeli means hatuna jicho la majasusi wenye business mind. Tuna majasusi wa jinai ambao ni consumers wa public funds kuliko kuimarisha vyanzo vya mkwamuo wa kiuchumi.

Let us invest kwenye ujasusi wa kiuchumi
 
Ipo na inafanya kazi vizuri sana labda tu haifanyi kulingana na ambavyo ungependa wewe.

Hiyo idara ipo kila sector, mathalani katika bajeti ya serikali kuu lakini pia hata katika halmashauri intelijensia huashiria watakusanya kiasi gani katika mwaka wa fedha husika.

Lakini pia mfumuko wa bei, Bei ya mafuta, thamani ya sarafu na dola, hali ya hewani, ukiaji wa uchumi, njaa, ukame na hali za maisha ya watu na makazi intelijensia huonyesha ishara ya kukua, kuzorota au kuhatarisha hali za kisekta na hivyo tahadhari ya jumla katika sekta husika hutolewa.
 
Tena ilitakiwa kuwa active kama ile ya police kwenye kunusa njama za kigaidi kwenye maeneo ambayo wapinzani wanakusudia kufanya mikutano. Hapa tungekuwa tunanusa hadi upungufu wa dola miaka hata sitini mbele na kujiwekea akiba.

Bei ya mafuta na tozo zisizojulikana mwelekeo wake zisingekuwa za kushtukiza kama ilivyo sasa. Wategemea nyongeza ya mishahara pia tungekuwa tunapewa hali ya miaka hata 20 huko mbele kama ipo au la
 
Ipo na inafanya kazi vizuri sana labda tu haifanyi kulingana na ambavyo ungependa wewe.

hiyo idara ipo kila sector, mathalani katika bajeti ya serikali kuu lakini pia hata katika halmashauri intelijensia huashiria watakusanya kiasi gani katika mwaka wa fedha husika.

Lakini pia mfumuko wa bei, Bei ya mafuta, thamani ya sarafu na dola, hali ya hewani, ukiaji wa uchumi, njaa, ukame na hali za maisha ya watu na makazi intelijensia huonyesha ishara ya kukua, kuzorota au kuhatarisha hali za kisekta na hivyo tahadhari ya jumla katika sekta husika hutolewa.
Kama intelijensia ndio hii bas tuna safar ndefu san!! Imagine linakuja tatizo linalohusu uchumi kila kiongoz anakuja na ufafanuzi wake 🤣🤣🤣 kibaya zaid fafanuzi zinakinzana!! Kudos intelijensia ya uchumi ya CCM!!
 
Muundo wa Serikali ulivyo ni wazi hatuna kitengo kinachoratibu na kusimamia intelijensia ya uchumi.

Kama mipango yetu ingeongozwa na intelijensia ya uchumi maana yake sera zetu zingeeleweka hadi ngazi ya mtaa ila kwa sasa hata mawaziri hakuna ajuaye tuna threat na opportunity gani kisekta

Kwanini kitengo hiki kisiundwe ndani ya wizara mpya ya mipango kikichukua majasusi kutoka vyombo vya dola, vyuoni, taasisi binafsi na wizara ya fedha! Kitengo hiki kikiwepo hata mwanasheria mkuu wa serikali hataruhusiwa kwenda kuingia mikataba ya DP world coz watakuwa wanafanya uchambuzi wa kila sekta, kuainisha intervention za kisekta pamoja na kucontrol kiu ya mwanasiasa.

Hiki kitengo ni muhimu sana kwa ulinzi wa uchumi wetu lakini pia kitatusaidia kuwabaini wanaotuhujum na kuwaweka wazi au kuwadhibiti.

Intelijensia ya jinai siyo kipaombele cha Dunia tena; Dunia inalindwa zaidi na economic power. Leo tunapoona kila dili likifeli means hatuna jicho la majasusi wenye business mind.....tuna majasusi wa jinai ambao ni consumers wa public funds kuliko kuimarisha vyanzo vya mkwamuo wa kiuchumi.

Let us invest kwenye ujasusi wa kiuchumi
Nchi za Kijamaa na mambo ya uchumi wapi na wapi? Wao wanajali mambo ya Utawala na madaraja.

Hawataki watu binafsi Kumiliki uchumi maana watashindwa kuwatawala.
 
Muundo wa Serikali ulivyo ni wazi hatuna kitengo kinachoratibu na kusimamia intelijensia ya uchumi.

Kama mipango yetu ingeongozwa na intelijensia ya uchumi maana yake sera zetu zingeeleweka hadi ngazi ya mtaa ila kwa sasa hata mawaziri hakuna ajuaye tuna threat na opportunity gani kisekta

Kwanini kitengo hiki kisiundwe ndani ya wizara mpya ya mipango kikichukua majasusi kutoka vyombo vya dola, vyuoni, taasisi binafsi na wizara ya fedha! Kitengo hiki kikiwepo hata mwanasheria mkuu wa serikali hataruhusiwa kwenda kuingia mikataba ya DP world coz watakuwa wanafanya uchambuzi wa kila sekta, kuainisha intervention za kisekta pamoja na kucontrol kiu ya mwanasiasa.

Hiki kitengo ni muhimu sana kwa ulinzi wa uchumi wetu lakini pia kitatusaidia kuwabaini wanaotuhujum na kuwaweka wazi au kuwadhibiti.

Intelijensia ya jinai siyo kipaombele cha Dunia tena; Dunia inalindwa zaidi na economic power. Leo tunapoona kila dili likifeli means hatuna jicho la majasusi wenye business mind.....tuna majasusi wa jinai ambao ni consumers wa public funds kuliko kuimarisha vyanzo vya mkwamuo wa kiuchumi.

Let us invest kwenye ujasusi wa kiuchumi
Chukua 50m alafu kafungue account bank uweke zote ukiondoka bank bila kuwaona hao mabwana nakuongezea 50m nyingine
 
Kama mipango yetu ingeongozwa na intelijensia ya uchumi maana yake sera zetu zingeeleweka
Uleule ujuaji wa kishamba! Mkishaangalia series za Kimarekani basi mnajiona na nyie ni majasusi! Nenda TISS kawaulize kama kitengo hiki hakipo?

Ninyi ndiyo bado mnaamini kuwa MOSSAD, CIA, MI6 ndiyo mashirika bora ya kijasusi! Nenda kawaulize wenye taaluma yao wakwambie ukweli!
 
Screenshot_20230919-075250.png
Screenshot_20230919-075226.png
 
Kama intelijensia ndio hii bas tuna safar ndefu san!! Imagine linakuja tatizo linalohusu uchumi kila kiongoz anakuja na ufafanuzi wake 🤣🤣🤣 kibaya zaid fafanuzi zinakinzana!! Kudos intelijensia ya uchumi ya CCM!!
utofauti uko upande gani kwa mfano?
kisekta, kisera au kitakwimu?
 
Kipo mkuu FIU. Kipo chini ya wizara ya fedha kinashirikiana na BOT, Takukuru pamoja na TISS.

Mambo yanayofanyika mengi yapo chini ya kapeti, kama haujakiskia haimaanishi hakipo (Huwa hakitangazi ajira, staff wanakua recruited direct vyuoni au silence kama TISS)

 
Tena ilitakiwa kuwa active kama ile ya police kwenye kunusa njama za kigaidi kwenye maeneo ambayo wapinzani wanakusudia kufanya mikutano. Hapa tungekuwa tunanusa hadi upungufu wa dola miaka hata sitini mbele na kujiwekea akiba. Bei ya mafuta na tozo zisizojulikana mwelekeo wake zisingekuwa za kushtukiza kama ilivyo sasa. Wategemea nyongeza ya mishahara pia tungekuwa tunapewa hali ya miaka hata 20 huko mbele kama ipo au la
intelijensia huonyesha ishara kamili kwamba haiwezekani kuongeza mishahara na ndio maana haiongezeki mara kwa mara.

au wew unadhani ukiongeza mishahara ndio intelijensia imefanya kazi?
kutikuongeza pia ni intelijensia.

Kwan kuhusu dola si tayari zipo taarifa za kiintelijensia zinaoonyesha tunazo dola za kutosha hadi lini,

Bei ya mafuta pia husemwa na kutolewa taarifa ashiria kua lini inaweza kupanda au kushuka.
na hili la mafuta ni rahisi kulifuatilia hadi huko duniani yanapouzwa bei hupanda na kushuka lini na kwanin
 
Muundo wa Serikali ulivyo ni wazi hatuna kitengo kinachoratibu na kusimamia intelijensia ya uchumi.

Kama mipango yetu ingeongozwa na intelijensia ya uchumi maana yake sera zetu zingeeleweka hadi ngazi ya mtaa ila kwa sasa hata mawaziri hakuna ajuaye tuna threat na opportunity gani kisekta

Kwanini kitengo hiki kisiundwe ndani ya wizara mpya ya mipango kikichukua majasusi kutoka vyombo vya dola, vyuoni, taasisi binafsi na wizara ya fedha! Kitengo hiki kikiwepo hata mwanasheria mkuu wa serikali hataruhusiwa kwenda kuingia mikataba ya DP world coz watakuwa wanafanya uchambuzi wa kila sekta, kuainisha intervention za kisekta pamoja na kucontrol kiu ya mwanasiasa.

Hiki kitengo ni muhimu sana kwa ulinzi wa uchumi wetu lakini pia kitatusaidia kuwabaini wanaotuhujum na kuwaweka wazi au kuwadhibiti.

Intelijensia ya jinai siyo kipaombele cha Dunia tena; Dunia inalindwa zaidi na economic power. Leo tunapoona kila dili likifeli means hatuna jicho la majasusi wenye business mind.....tuna majasusi wa jinai ambao ni consumers wa public funds kuliko kuimarisha vyanzo vya mkwamuo wa kiuchumi.

Let us invest kwenye ujasusi wa kiuchumi
Wapo hawasikilizwi
 
Muundo wa Serikali ulivyo ni wazi hatuna kitengo kinachoratibu na kusimamia intelijensia ya uchumi.

Kama mipango yetu ingeongozwa na intelijensia ya uchumi maana yake sera zetu zingeeleweka hadi ngazi ya mtaa ila kwa sasa hata mawaziri hakuna ajuaye tuna threat na opportunity gani kisekta

Kwanini kitengo hiki kisiundwe ndani ya wizara mpya ya mipango kikichukua majasusi kutoka vyombo vya dola, vyuoni, taasisi binafsi na wizara ya fedha! Kitengo hiki kikiwepo hata mwanasheria mkuu wa serikali hataruhusiwa kwenda kuingia mikataba ya DP world coz watakuwa wanafanya uchambuzi wa kila sekta, kuainisha intervention za kisekta pamoja na kucontrol kiu ya mwanasiasa.

Hiki kitengo ni muhimu sana kwa ulinzi wa uchumi wetu lakini pia kitatusaidia kuwabaini wanaotuhujum na kuwaweka wazi au kuwadhibiti.

Intelijensia ya jinai siyo kipaombele cha Dunia tena; Dunia inalindwa zaidi na economic power. Leo tunapoona kila dili likifeli means hatuna jicho la majasusi wenye business mind.....tuna majasusi wa jinai ambao ni consumers wa public funds kuliko kuimarisha vyanzo vya mkwamuo wa kiuchumi.

Let us invest kwenye ujasusi wa kiuchumi
Sidhani kama hicho kitengo hakipo. Labda tuseme akina ufanisi au matokeo chanya. Baada ya Nyerere kunusurika kupinduliwa kwa mara pili aliingiza makada wengi sana TISS ili kujiweka salama. Hii ilichangia kuifungamanisha TISS na siasa ndio maana unaona hawa TISS ni kama wapo siriaz zaidi na kulinda madaraka ya watawala kuliko masuala yanayoigusa nchi kiuchumi na kijamii.
 
Back
Top Bottom