Tumaineli alitoa hizi forecast mapema sana, kiashirio kuwa hicho kitengo kipo. Tatizo letu kama kawaida ni hayo haya pewi kipaumbele na Wanasiasa. Nchi yetu the dominant system ni politics kama ilivyo nchi nyingi za mrengo wa kushoto. Nadhani tulikosea tangu mwanzo kwakua ideology yetu ilikuwa siasa kushika hatamu badala ya uchumi kushika hatamu...Tena ilitakiwa kuwa active kama ile ya police kwenye kunusa njama za kigaidi kwenye maeneo ambayo wapinzani wanakusudia kufanya mikutano. Hapa tungekuwa tunanusa hadi upungufu wa dola miaka hata sitini mbele na kujiwekea akiba.
Bei ya mafuta na tozo zisizojulikana mwelekeo wake zisingekuwa za kushtukiza kama ilivyo sasa. Wategemea nyongeza ya mishahara pia tungekuwa tunapewa hali ya miaka hata 20 huko mbele kama ipo au la
Kila kitu hakitokei ki miujiza ni conceptualization kwanza inayounda mfumo, kwahiyo mfumo mzima upo anchored kwenye siasa ndiyo sababu unaona Kuna protection ya hali ya juu kwenye siasa kuliko ilivyo kwenye uchumi....
Training pia ya hao imeegemea zaidi kwenye siasa. Katika sekta ambayo training yake ni very poor ni uchumi, wachumi wetu wengi sana hawajawa trained effectively na consistently, hii ni weakness ya Idara ya uchumi the so called "The University" kwa hiyo miguu na mikono ya kiutendaji Kwa maana ya serikali, haiwezi kufanya kazi vizuri kama kichwa hakifikiri sawasawa