Kwanini nchi nyingi za Afrika wanatumia lugha za wakoloni kama lugha za taifa, hivi hawaoni aibu?

Hii sasa shule🤔🤔🤔
 

Nime enjoy kupata elimu hii adhimu [emoji4]
 
Bajeti nikubwa Sana mkuu ,kuwapa wataalamu walugha zandani watutaftie misamiati ,kwann tuhangaikie lugha na hospitalini hakuna dawa ,bwashee
 
Nadhani hakuna aliyebisha juu ya uliyoyaandika. Sasa nenda uingereza halafu zungumza kiswahili, maana kwa maelezo yako wao ndio wamekitunga. Halafu tupe mrejesho.
Mkuu .... kuna point kubwa hujai-cuptcher. Bila mkoloni Kiswahili kisingekuwa lugha ya Taifa. Na kama mkoloni angeendelea, kiswahili kingekuwa ni lugha ya Africa. Tulipoachiwa baraza la kiswahili, mambo yakaanza kwenda kombo. Kwanza baraza lenyewe lilivunjika na kila nchi ya Africa mashariki na kati ikawa na baraza lake. Kiswahili kikaanza kuchukua njia anuwai. By the way, hakuna mahali nimeandika wakoloni wametunga Kiswahi. Labda kama kuna kamusi mpya inafasiri neno kurasimisha kama kutunga.
Mkuu....kuna proganda nyingi sana juu ya chimbuko la kiswahili. Na hiyo ndo hupelekea uelewa kama wa kwako na kuanzisha mazungumzo ya mrengo potofu kama huu. Ndio maana kwaufupi nikajaribu kuhadidhia mapito ya kiswahili.
 
Mbona nimeshakwambia hayo hakuna aliyebisha, au we umeona kuna mtu amekubishia? Kikubwa umekiri hawakutunga kiswahili, basi tuendelee kujivunia kiswahili chetu na ifike mahali tuone aibu hasa nchi za waafrika wenzetu, kutumia kugha za wakoloni kwenye mambo hata yasiyo ya kisayansi. Hoja ni hiyo tu, mtu akitoa hoja mjitahidi kulegeza ubongo kidogo na kuichukua at face value badala ya kuanza kumwaga data nyingi sana irrelevant.
 
Umesahau kuwa kiswahili kina asili ya uarabuni
Sio kweli kiswahili hakina asili ya uarabuni Bali kina asili ya mwambao ilikua lugha ya biashara ambayo iliweza kuunganisha watu wengi wafanyabiashara wa utumwa, pembe za ndovu n k walikua wanatumia kiswahili kwenye kuwasiliana

Mjeruman ndo alikipa kipaumbele sana kipindi Cha utawala wake sababu alivutiwa na jinsi ilivyokua inaunganisha watu,
 
Hujui
 

we jamaa nimekukubali bure
“Kim Jom Un aliwai sema pale tu wafrica watavoanza kufuata Tamaduni zao ndyo wataendelea”
 

Bora hata rwanda inatumia Kinyarwanda

nchi kama DRC
camerroon
bukina faso
na zingine francophone

yaan aibu naona mm!!
hafu zinawasomi !! naonaga n nchi za matahira
 
Hata Marekani (USA) wanatumia lugha ya kikoloni. Btw Kiswahili nacho asili yake ni utumwa/ukoloni. Hili si suala, muhimu ni kuwa na lingua franca inayowezesha ushirikiano katika nyanja zote.

Marekani wote wahamiaji Native in red indian so wale hawakua na indigenous language

lakin wa USA English !! ambayo inatambulika dunian kuliko hata Uk english
 

huna hoja !!! Ni rahisi sana kuwa na lugha moja kumbuka n maneno mengi yanaingiliana kuna option nyingi za kuja na lugha moja!!
hoja yako iko weak sana!!
 

Kiswahili s lugha ya mkoloni kwaiyo
kama unaona Aibu ona mwenyewe
 
Umesahau kuwa kiswahili kina asili ya uarabuni

kiswahili n bantu language ebu tutajie nchi za kiarabu zinazoongea kiswahili
oman yenyewe wanaongea kiarabu n kiswahili cha kuibia coz waliishi pwan ya africa mashariki
 

English ukiacha kua n Lugha ya mkolon bali n lugha ya biashara international
 

mkoloni gan ww !! kuna mkoloni alikua naongea kiswahili zaidi ya wafanya biashara wa asia n wabantu??
 
kiswahili n bantu language ebu tutajie nchi za kiarabu zinazoongea kiswahili
oman yenyewe wanaongea kiarabu n kiswahili cha kuibia coz waliishi pwan ya africa mashariki
Safi sana, kama mimi nikivyomwambia jamaa anianbie ni waingereza wangapi huko UK wanazungumza kiswahili, maana alitaka kudai wao ndio wamekipangilia na wanahaki nacho 😂😂
 
Mbona unatumia teknolojia ya kikoloni? Na umevaa nguo za kikoloni?

hamna teknologia ya mkoloni ww ebu kasafishe akili yako!!
science n technology havina mwenyewe ndo maana saizi unakuta china imeyapiku mataifa yote ya ulaya kwene hyo nyanja
 
kiswahili n bantu language ebu tutajie nchi za kiarabu zinazoongea kiswahili
oman yenyewe wanaongea kiarabu n kiswahili cha kuibia coz waliishi pwan ya africa mashariki
Maneno mengi ya Kiswahili yana asili ya kiarabu, huo ndio ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…