Kwanini nchi nyingi za Kiislamu huwa kwenye migogoro?

Kwanini nchi nyingi za Kiislamu huwa kwenye migogoro?

Nchi nyingi za Kiislamu hazina furaha na zimenaswa katika vita kwa sababu ya Uislamu. Lakini hawakubali.

1. Hakuna mgawanyiko wa dini na serikali. Dini inakuwa serikali katika nchi nyingi za Kiislamu.

2. Hakuna uhuru wa kusema, uhuru wa dini na uhuru wa vyombo vya habari katika nchi za Kiislamu.

3. Uislamu unawafanya wanawake kuwa duni kuliko wanaume. Wanawake wa Kiislamu hawana fursa yoyote isipokuwa kulea watoto. Wanawake wengi wa Kiislamu hawafanyi kazi na hawajawezeshwa kiuchumi. Wanawake wa Kiislamu wanabaguliwa sana. Wanawake wa Kiislamu wanapaswa kujifunika niqab au burqa.

4. Dini ndogo huteswa katika nchi za Kiislamu. Wasio Waislamu wanachukuliwa kama raia wa daraja la pili katika nchi nyingi za Kiislamu. Asilimia ya Wahindu imepungua nchini Pakistan na Bangladesh. Idadi ya Wakristo imepungua katika Iraq, Syria, Misri, Palestina na Uturuki.

5. Nchi za Kiislamu ni za kiimla. Wanakuwa wanatawaliwa na dikteta na hakuna demokrasia.

6. Maandiko ya dini ya Kiislamu (Qur'an na Hadith) yamejaa vifungu vya vurugu. Qur'ani inaunga mkono kupigana na wasio Waislamu, mitala, kulipiza kisasi. Kwa hivyo nchi za Kiislamu zinakabiliwa na vurugu na ugaidi.

7. Nchi za Kiislamu haziwekezi katika elimu, sayansi na teknolojia vya kutosha bali huwekeza katika ujenzi wa misikiti na shule za kidini.

8. Waislamu huswali mara 5 kwa siku na kufunga mwezi mmoja wakati wa Ramadhani. Maombi ya lazima ni upotevu wa muda. Tija hupungua kutokana na maombi ya lazima na kufunga. Zanzibar tu ukila kipindi hicho, unachapwa fimbo, hata kama wewe si wa imani yao.

9. Uislamu haukubali usasa. Uislamu hauendi na wakati. Waislamu bado wamekwama katika fikra za karne ya 7 na wanadhani kuwa Uislamu ni kamili.

10. Waislamu wana viwango vya juu vya kuzaliwa. Idadi ya Waislamu inaongezeka lakini vile vile tija haiendani na ukuaji wa idadi ya watu.

11. Waislamu hawajatoa wasomi wazuri, wanasayansi, wasomi katika karne nyingi. Waislamu wameshinda takriban tuzo 10 za Nobel zikilinganishwa na tuzo 120 za Nobel zilizonyakuliwa na Wayahudi ingawa idadi ya Waislamu ni mara kumi (bilioni 1.5) ikilinganishwa na idadi ya Wayahudi.

12. Wanachofanya wao huwa sawa, ila wakifanya wengine huwa shida. Mfano mwaka 2020, Rais wa Uturuki Tayyip Erdogan aliamuru kanisa la kale la Orthodox, jumba la makumbusho la Kariye, kubadilishwa kuwa msikiti. Yaani aliamua tu hilo jumba ligeuzwe kuwa mahali pa ibada ya Waislamu. Kirahisi tu, wakifanyiwa wao hivyo, wataandamana Dunia nzima.

Uislam ni kama dini ya Vurugu
Wazungu wamefanikiwa kukudanganyeni na hakuna namna Ili muendelee kuwa wakristo ni lazima mdanganywe kuhusu uislam

Wazungu wametengeneza makundi ya kigaidi Kongo Ili waibe madini na Sasa mnadanganywa Ile kundi ni Islamic state

Sasa sijui wanataka kuanzisha Dora ya kiislam pale Goma au DRC wagalatia mnadanywa kirahisi sana

Libya ilikuwa ni nchi ya kiislam na ilikuwa inaongozwa na Gaddafi mliodanywa na Wazungu kuwa ni dikteta

Sasa nenda ukawaulize Walibya kipindi nchi inaongozwa kiislam na dikteta Gaddafi na Sasa hivi nchi inaongozwa kikafiri na kidemoklasia ni kipindi gani walikuwa na maisha mazuri

Tambua kuwa ISLAM ni neno la kiarabu na maana yake ni Amani
 
Kuna nchi ambayo inaongoza kuhusika kwenye vurugu kama Marekani??

Wao wanayo hayo uliyoyataja?

NB: Waislamu hawataki kupelekeshwa na agenda zenu za kufumuliwa marinda

Uislamu unaenda tofauti na agenda nyingi za kipumbavu za nchi za magharibi.


Nyinyi na papa wenu endeleeni kusapoti kuliwa vinyeo ili mpendwe na watu.
Unapigia debe ushoga Kwa kipunjo [emoji38][emoji38][emoji38]
Huo ni mchezo wa kisilamu!
Ukiniwekea ushahidi wa aya adhabu aliyotoa mungu wako kwa mashoga Walahi nitasilimu!
Mungu wako ameagiza mashoga waacheni yeye ni Mwingi wa Huruma na msamaha!
[emoji116][emoji116]
وَاللَّذَانِ يَأْتِيَانِهَا مِنكُمْ فَآذُوهُمَا ۖ فَإِن تَابَا وَأَصْلَحَا فَأَعْرِضُوا عَنْهُمَا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ تَوَّابًا رَّحِيمًا

(AN-NISAAI - 16)
Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.

Ushahidi mwingine Huu hapa! Haram ni kuwa na uchu Mara umeingiza dubuli umetoa na kuingiza kubuliha.....
[emoji116][emoji116]
وأخرج الحسن سفيان مسنده
والطبراني الأوسط والحاكم وأبو نعيم المستخرج بسند حسن عن عمر قال‏:‏ ‏{‏نساؤكم حرث لكم‏.‏‏.‏‏.‏‏}‏ الآية‏.‏ رخصة إتيان الدبر‏.‏

Hasan bin Sufiyan katika Musnad yake, Tabarani katika Al-Awsat, Hakim na Abu Naiym katika Al-Mastakhraj pamoja na mlolongo wa riwaya ya Hasan kutoka kwa Ibn Umar ambaye amesema: “Aya hii iliteremshwa juu ya Mtume kwa ajili ya kuruhusiwa. kufanya mapenzi kwenye njia ya haja kubwa ya mwanamke.” (Ibid., Juzuu 1, uk. 638)

Tena kawapa Wepesi ukishughulikiwa/shughulikia!; Maiti, mnyama, kuntha, mtoto, kifisifisi, ni kuoga Kata.3
[emoji116][emoji116]
فصل في أسباب الغسل

Kipambanuzi katika kubainisha sababu za kuoga
يَجِبُ الْعُسْلُ عَلَى الرَّجُل
ِ بِحُرُوحِ الْمَنِي مِنْ طَرِيقِهِ الْمُعْتَادِ أو غَيْر غَيْرِهِ،

Inawajibika kuoga kwa mwanamme kwa kutokwa na manii katika njia yake ya kawaida au nyingine.

وَبِتَيْبِ حَسْقَةٍ أَوْ قَدْرِهَا فِي أَي فَرْجِ كَانَ سَوَاءٌ غَيْبَ فِي قُبَلِ امْرَأَةِ أَوْ بَهِيمَةِ أَوْ دُبُرِهِمَا أَوْ ذُبُر الرَّجُل أو الْحُتَى صَغِيرًا كَانَ أَوْ كَبِيرًا

حيا أو مينا وعلى الرّجُلِ الْمُؤلج في دبره،

Na kwa kuzamisha tene (kichwa cha dhakari) au kiasi chake katika tupu yoyote iwayo, ni mamoja ikiwa amezamisha katika tupu ya mbele ya mwanamke au ya mnyama, au tupu zao za nyuma, au tupa ya nyuma ya mwanamme au ya khuntha, akiwa (aliyezamisha ni) mtoto mdogo au mkubwa, hai au maiti. Na ni wajibu kuoga kwa mwanamme mwenye kutiwa katika tupu yake ya nyuma.

LAANATULAHI[emoji35]
IMG_20220331_111946.jpg
 
Nchi nyingi za Kiislamu hazina furaha na zimenaswa katika vita kwa sababu ya Uislamu. Lakini hawakubali.

1. Hakuna mgawanyiko wa dini na serikali. Dini inakuwa serikali katika nchi nyingi za Kiislamu.

2. Hakuna uhuru wa kusema, uhuru wa dini na uhuru wa vyombo vya habari katika nchi za Kiislamu.

3. Uislamu unawafanya wanawake kuwa duni kuliko wanaume. Wanawake wa Kiislamu hawana fursa yoyote isipokuwa kulea watoto. Wanawake wengi wa Kiislamu hawafanyi kazi na hawajawezeshwa kiuchumi. Wanawake wa Kiislamu wanabaguliwa sana. Wanawake wa Kiislamu wanapaswa kujifunika niqab au burqa.

4. Dini ndogo huteswa katika nchi za Kiislamu. Wasio Waislamu wanachukuliwa kama raia wa daraja la pili katika nchi nyingi za Kiislamu. Asilimia ya Wahindu imepungua nchini Pakistan na Bangladesh. Idadi ya Wakristo imepungua katika Iraq, Syria, Misri, Palestina na Uturuki.

5. Nchi za Kiislamu ni za kiimla. Wanakuwa wanatawaliwa na dikteta na hakuna demokrasia.

6. Maandiko ya dini ya Kiislamu (Qur'an na Hadith) yamejaa vifungu vya vurugu. Qur'ani inaunga mkono kupigana na wasio Waislamu, mitala, kulipiza kisasi. Kwa hivyo nchi za Kiislamu zinakabiliwa na vurugu na ugaidi.

7. Nchi za Kiislamu haziwekezi katika elimu, sayansi na teknolojia vya kutosha bali huwekeza katika ujenzi wa misikiti na shule za kidini.

8. Waislamu huswali mara 5 kwa siku na kufunga mwezi mmoja wakati wa Ramadhani. Maombi ya lazima ni upotevu wa muda. Tija hupungua kutokana na maombi ya lazima na kufunga. Zanzibar tu ukila kipindi hicho, unachapwa fimbo, hata kama wewe si wa imani yao.

9. Uislamu haukubali usasa. Uislamu hauendi na wakati. Waislamu bado wamekwama katika fikra za karne ya 7 na wanadhani kuwa Uislamu ni kamili.

10. Waislamu wana viwango vya juu vya kuzaliwa. Idadi ya Waislamu inaongezeka lakini vile vile tija haiendani na ukuaji wa idadi ya watu.

11. Waislamu hawajatoa wasomi wazuri, wanasayansi, wasomi katika karne nyingi. Waislamu wameshinda takriban tuzo 10 za Nobel zikilinganishwa na tuzo 120 za Nobel zilizonyakuliwa na Wayahudi ingawa idadi ya Waislamu ni mara kumi (bilioni 1.5) ikilinganishwa na idadi ya Wayahudi.

12. Wanachofanya wao huwa sawa, ila wakifanya wengine huwa shida. Mfano mwaka 2020, Rais wa Uturuki Tayyip Erdogan aliamuru kanisa la kale la Orthodox, jumba la makumbusho la Kariye, kubadilishwa kuwa msikiti. Yaani aliamua tu hilo jumba ligeuzwe kuwa mahali pa ibada ya Waislamu. Kirahisi tu, wakifanyiwa wao hivyo, wataandamana Dunia nzima.

Uislam ni kama dini ya Vurugu
Waislam ni magaidi
 
Yaani wewe hujui kinacho endelea Duniani
Marekani ni moja ya Nchi inayo ongoza kwa uhalifu wa wananchi wao kuuana kwa kutumia silaha (ndani ya nchi) Uliza wanaokaa pale, ikipita muda bila mtu au watu kupiwa risasi na kufa shukuru Mungu. Pale marekani, mtu anaingia darasani anaua wanafunzi 10 baada ya siku mbili wala hutajua kuna kitu kilifanyika. OBama akajitahidi wabadilishe sheria ya umilikaji wa Silaha kupunguza mauaji ikamshinda
Marekani hawatangazi habari zao Mbaya; wameaminisha WAJINGA kuwa, ile ni Nchi ya Amani kitu ambacho sio kweli.

Vita nyingi kwenye hizi Nchi za Kiarabu ni propaganga za Marekani
Unaongelea Libya? Waliopropagate pale ni Marekani na hatimaye kuua Gadafi, wameiba mafuta wakaona mambo yameharibika/wameshindwa kuwaunganisha wamekimbia; Kwa ujinga wetu tunafikiri ni vita ya Waislamu/waafrica???
Kuuana kila nchi ipo.
  • Vipi kuhusu Boko Haram Nigeria?
  • Vipi kihusu Somalia na Al Shabab?
  • Hapa Tanzania watu wanauliwa Azory, Ben Saanane.
Kama Tanzania hakuna maduka yanayouzwa bunduki lkn wanauana je, yakiweka maduka km Marekani unafikiri nini kitatokea?
- Kama nchi za waarabu hawauzi silaha dukani, kungekuwa na utaratibu wa kuuza bunduki km Marekani unafikiri nini kingetokea?
  • Gadhafi na wanalibya wote ni wapuuzi tu. Sasa wamepata nini?
  • Hamas nao ni wapuuzi tu, sasa wamepata nini kufanya tukio la octoba 7? Nchi imekuwa magofu wapalestina wanakufa ovyo tu. Mtu anatengeneza mabomu kwa teknolojia ya kutengenezea koroboi unafikiri ataweza kushindana na Israel mwenye teknolojia kubwa?
 
Qatar na UAR uislam wao umebaki kama symbolic tu includibg Dubai. Hapo kumejaa wamagharibi tupu na ndio wanamwaga pesa na uchumi humo.
Si Kweli mkuu,

1. UAE hakujajaa wa Magharibi kuna diverse population na Wengi ni hawa.
-Wahindi asilimia 27
-Wapakistan asilimia 12
- Wa Emirati wenyewe kama 10
-Bangladesh 7
-Iran 4
-Egpty 4
-wachina 2
-Sri Lanka, Urusi Na wengineo pia wapo wa kutosha.

2. Walichofanya UAE ni kutengeneza mazingira ambayo watu waende pale, Kodi ndogo, Mazingira rafiki kwa matajiri, Hakuna Wezi, nyumba za kutosha etc. Na sio kwamba eti Wamagharibi wamejaza pesa, Ingekua rahisi tu hivyo kungekua na Dubai kibao duniani.

3. Vitu vinavyofanya hizo Nchi za kiarabu zisifike ni Uisilamu, mfano Hapo Qatar unaweza wacha mlango wazi hata wiki nzima usiibiwe, Anasema Xavi Hernandez mchezaji wa zamani wa Barcelona
“I do not live in a democratic country,” he said during an interview with Ara after having settled in Qatar, “but I believe that the system here works better than there,” referring to his homeland of Spain, which had a general election coming up.

“I will have to vote, of course. I want the best for my future and that of my children. And unfortunately, I see that Spain does not work in the best way.”

Again he repeated his support of life for those in Qatar.

“Here we have peace of mind, security...we have no house key, you leave the car running... Núria [his wife] even tells me that if we can continue here it will also be better for our children. Both were born here. In Qatar people are happy."

Kwanini Majiji mengi Duniani wana Hela chafu ila Wizi na vurugu haziishi? Sababu Kunakuwa na Income inequality kubwa na watu kukosa imani na kuhurumiana vyote hivi vinakuwa solved na Uisilamu. Sio Coincidence nchi zote za kiisilamu kuwa na Mali kidogo na Nchi nzima kuwa na neema na utajiri.
 
Kuna nchi ambayo inaongoza kuhusika kwenye vurugu kama Marekani??

Wao wanayo hayo uliyoyataja?

NB: Waislamu hawataki kupelekeshwa na agenda zenu za kufumuliwa marinda

Uislamu unaenda tofauti na agenda nyingi za kipumbavu za nchi za magharibi.


Nyinyi na papa wenu endeleeni kusapoti kuliwa vinyeo ili mpendwe na watu.
Afande rama alikua nani kwani. Na zile ndoa za zanziba sio waislam acha zako. Ushoga auna dini mzeee kaa ukijua ilo ni janga la dunia nzima mnapinga wakat kote duniani umejaa ushoga ni swala ambalo lipo kila maala na. Amna dini ishawai kulea uo upuuzi
 
Unapigia debe ushoga Kwa kipunjo [emoji38][emoji38][emoji38]
Huo ni mchezo wa kisilamu!
Ukiniwekea ushahidi wa aya adhabu aliyotoa mungu wako kwa mashoga Walahi nitasilimu!
Mungu wako ameagiza mashoga waacheni yeye ni Mwingi wa Huruma na msamaha!
[emoji116][emoji116]
وَاللَّذَانِ يَأْتِيَانِهَا مِنكُمْ فَآذُوهُمَا ۖ فَإِن تَابَا وَأَصْلَحَا فَأَعْرِضُوا عَنْهُمَا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ تَوَّابًا رَّحِيمًا

(AN-NISAAI - 16)
Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.

Ushahidi mwingine Huu hapa! Haram ni kuwa na uchu Mara umeingiza dubuli umetoa na kuingiza kubuliha.....
[emoji116][emoji116]
وأخرج الحسن سفيان مسنده
والطبراني الأوسط والحاكم وأبو نعيم المستخرج بسند حسن عن عمر قال‏:‏ ‏{‏نساؤكم حرث لكم‏.‏‏.‏‏.‏‏}‏ الآية‏.‏ رخصة إتيان الدبر‏.‏

Hasan bin Sufiyan katika Musnad yake, Tabarani katika Al-Awsat, Hakim na Abu Naiym katika Al-Mastakhraj pamoja na mlolongo wa riwaya ya Hasan kutoka kwa Ibn Umar ambaye amesema: “Aya hii iliteremshwa juu ya Mtume kwa ajili ya kuruhusiwa. kufanya mapenzi kwenye njia ya haja kubwa ya mwanamke.” (Ibid., Juzuu 1, uk. 638)

Tena kawapa Wepesi ukishughulikiwa/shughulikia!; Maiti, mnyama, kuntha, mtoto, kifisifisi, ni kuoga Kata.3
[emoji116][emoji116]
فصل في أسباب الغسل

Kipambanuzi katika kubainisha sababu za kuoga
يَجِبُ الْعُسْلُ عَلَى الرَّجُل
ِ بِحُرُوحِ الْمَنِي مِنْ طَرِيقِهِ الْمُعْتَادِ أو غَيْر غَيْرِهِ،

Inawajibika kuoga kwa mwanamme kwa kutokwa na manii katika njia yake ya kawaida au nyingine.

وَبِتَيْبِ حَسْقَةٍ أَوْ قَدْرِهَا فِي أَي فَرْجِ كَانَ سَوَاءٌ غَيْبَ فِي قُبَلِ امْرَأَةِ أَوْ بَهِيمَةِ أَوْ دُبُرِهِمَا أَوْ ذُبُر الرَّجُل أو الْحُتَى صَغِيرًا كَانَ أَوْ كَبِيرًا

حيا أو مينا وعلى الرّجُلِ الْمُؤلج في دبره،

Na kwa kuzamisha tene (kichwa cha dhakari) au kiasi chake katika tupu yoyote iwayo, ni mamoja ikiwa amezamisha katika tupu ya mbele ya mwanamke au ya mnyama, au tupu zao za nyuma, au tupa ya nyuma ya mwanamme au ya khuntha, akiwa (aliyezamisha ni) mtoto mdogo au mkubwa, hai au maiti. Na ni wajibu kuoga kwa mwanamme mwenye kutiwa katika tupu yake ya nyuma.

LAANATULAHI[emoji35]View attachment 2821458
Mbona kwenye Aya inasema waadhibiwe wakati wewe umeuliza ikiwa Mungu katoa adhabu na Kama katoa utasilimu,silimu kwa hiyo aya
 
Nchi nyingi za Kiislamu hazina furaha na zimenaswa katika vita kwa sababu ya Uislamu. Lakini hawakubali.

1. Hakuna mgawanyiko wa dini na serikali. Dini inakuwa serikali katika nchi nyingi za Kiislamu.

2. Hakuna uhuru wa kusema, uhuru wa dini na uhuru wa vyombo vya habari katika nchi za Kiislamu.

3. Uislamu unawafanya wanawake kuwa duni kuliko wanaume. Wanawake wa Kiislamu hawana fursa yoyote isipokuwa kulea watoto. Wanawake wengi wa Kiislamu hawafanyi kazi na hawajawezeshwa kiuchumi. Wanawake wa Kiislamu wanabaguliwa sana. Wanawake wa Kiislamu wanapaswa kujifunika niqab au burqa.

4. Dini ndogo huteswa katika nchi za Kiislamu. Wasio Waislamu wanachukuliwa kama raia wa daraja la pili katika nchi nyingi za Kiislamu. Asilimia ya Wahindu imepungua nchini Pakistan na Bangladesh. Idadi ya Wakristo imepungua katika Iraq, Syria, Misri, Palestina na Uturuki.

5. Nchi za Kiislamu ni za kiimla. Wanakuwa wanatawaliwa na dikteta na hakuna demokrasia.

6. Maandiko ya dini ya Kiislamu (Qur'an na Hadith) yamejaa vifungu vya vurugu. Qur'ani inaunga mkono kupigana na wasio Waislamu, mitala, kulipiza kisasi. Kwa hivyo nchi za Kiislamu zinakabiliwa na vurugu na ugaidi.

7. Nchi za Kiislamu haziwekezi katika elimu, sayansi na teknolojia vya kutosha bali huwekeza katika ujenzi wa misikiti na shule za kidini.

8. Waislamu huswali mara 5 kwa siku na kufunga mwezi mmoja wakati wa Ramadhani. Maombi ya lazima ni upotevu wa muda. Tija hupungua kutokana na maombi ya lazima na kufunga. Zanzibar tu ukila kipindi hicho, unachapwa fimbo, hata kama wewe si wa imani yao.

9. Uislamu haukubali usasa. Uislamu hauendi na wakati. Waislamu bado wamekwama katika fikra za karne ya 7 na wanadhani kuwa Uislamu ni kamili.

10. Waislamu wana viwango vya juu vya kuzaliwa. Idadi ya Waislamu inaongezeka lakini vile vile tija haiendani na ukuaji wa idadi ya watu.

11. Waislamu hawajatoa wasomi wazuri, wanasayansi, wasomi katika karne nyingi. Waislamu wameshinda takriban tuzo 10 za Nobel zikilinganishwa na tuzo 120 za Nobel zilizonyakuliwa na Wayahudi ingawa idadi ya Waislamu ni mara kumi (bilioni 1.5) ikilinganishwa na idadi ya Wayahudi.

12. Wanachofanya wao huwa sawa, ila wakifanya wengine huwa shida. Mfano mwaka 2020, Rais wa Uturuki Tayyip Erdogan aliamuru kanisa la kale la Orthodox, jumba la makumbusho la Kariye, kubadilishwa kuwa msikiti. Yaani aliamua tu hilo jumba ligeuzwe kuwa mahali pa ibada ya Waislamu. Kirahisi tu, wakifanyiwa wao hivyo, wataandamana Dunia nzima.

Uislam ni kama dini ya Vurugu
Cha ajabu hizo nchi unazoziita zimeendelea haziwezi kusurvive bila ya hizo nchi za kiislamu wanahangaika kwa kila namna kuzivuruga na kutaka kutumia rasilimali zao, mfano mdogo tu walivyomuua gafafi nchi ambayo ilikuwa ina high living standard kuliko europe, sadam aliuliwa bila ya sababu na hao wazungu wako , na wamejaribu kumtoa assad bila ya mafanikio.
Kama hao wazungu wako wanapigania haki mbona kashogi kauliwa na saudia ila marekani kajifanya kama hajaona?
Ila cha ajabu hizo nchi za kiislamu watu wake wana maisha mazuri na matajiri kuliko nchi nyingi za ulaya
 
Afande rama alikua nani kwani. Na zile ndoa za zanziba sio waislam acha zako. Ushoga auna dini mzeee kaa ukijua ilo ni janga la dunia nzima mnapinga wakat kote duniani umejaa ushoga ni swala ambalo lipo kila maala na. Amna dini ishawai kulea uo upuuzi
ni kweli kabisa unayosema ila sio kwa kupewa baraka mbarikiwa
 
Vitu vinavyofanya hizo Nchi za kiarabu zisifike ni Uisilamu, mfano Hapo Qatar unaweza wacha mlango wazi hata wiki nzima usiibiwe, Anasema Xavi Hernandez mchezaji wa zamani wa Barcelona
“I do not live in a democratic country,” he said during an interview with Ara after having settled in Qatar, “but I believe that the system here works better than there,” referring to his homeland of Spain, which had a general election coming up.
Bado hoja yangu iko pale pale. Tajiri Mmoja wa Magharibi ana influence Kubwa sana kuliko Wahindi na Wa Emirate 10,000.
Tazama Barcelona ndiye anapasifia kwa umaarufu wake kuliko Angefanya hivyo mwenyeji? Do you know Why? Ili kuongeza Influx ya matajiri wengine kuongezeka.
 
Bado hoja yangu iko pale pale. Tajiri Mmoja wa Magharibi ana influence Kubwa sana kuliko Wahindi na Wa Emirate 10,000.
Tazama Barcelona ndiye anapasifia kwa umaarufu wake kuliko Angefanya hivyo mwenyeji? Do you know Why? Ili kuongeza Influx ya matajiri wengine kuongezeka.
You are kidding right?

Usikae ukasikia eti wahindi wanafanyishwa kazi za ndani ukafikiri ni wote wapo hivyo,

Middle East ni Nyumbani kwa Millionaires wa Kihindi, kwa mwaka inakadiriwa Miilionaire 6000-7000 wanaondoka India kwenda Dubai ama Singapore.

Dubai inakadiriwa kuwa na Miilionaire 450,000 ambao ni wageni.

Source

Sasa nikuulize wewe unafanya kazi ya Real Estate umejenga maghorofa kibao una Mijengo unauza Bilioni 1 ipo kwa Maelfu, Utahangaika na Elon Musk mwenye Utajiri wa Matrilion ama utaweka Policy za kuvutia Malaki ya watu wenye potential ya Kuwa Elon Musk wa Baadae?
 
Hakuna uhuru wa kusema, uhuru wa dini na uhuru wa vyombo vya habari katika nchi za Kiislamu.
Hayo mambo ya uhuru ndio yalomfanya Papa aseme wakristo mko huru wanaume kuolewa na kanisa litabariki ndia zenu.
 
na wale waliofanya mauaji ya kiimbari kanisani huko rwanda walikuwa waislam ama mapadiri
Binafsi nilitaka kumsaidia mleta mada alisema WAARABU Waislamu, nikamkumbusha angesema Waislamu tu maana Boko Haramu siyo waarabu.

Yes wale walioua kule Rwanda kanisani hawakuwa mapadri wala wenye dini, bali ni kabila lililowafuata watu waliojificha makanisani na kuwaua. Plae hakukuwa na Dhehebu/Dini.
 
Back
Top Bottom