Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?


Na ndio nchi zinazoongoza kutokua na magonjwa ya ajabu ajabu, tofauti na nchi za kikafiri.

Vita, chanzo ni wamagharibi+Taifa haramu bila ya wamagharibi na Taifa haramu dunia ingelikua sehemu salama.
 
Huyo imhotep yuko sahihi, sema wewe hauna hiyo knowledge ya lini waarab walianza kuua ndugu zetu na hutaki tu kujuwa. Kama unataka kujuwa mbona vitabu na kumbukumbu ziko nyingi tu hata mitandaoni utapata.
Waarabu hawakuja Afrika, Mwafrika ndio alikwenda Asia.

Unaonesha uko finyu sana na historia ya ukweli.
 
Tuendelee kupeana Darasa kiroho safi na Ndugu zetu at the end of the day sisi sote ni Waafrika na ni Ndugu.

Tueleweshane pale mwenzetu anapotaka kueleweshwa bila matusi au kudharauliana.
 
Naona upo finyu sana. "aliyesema" Uislam dini ni mkweo.

Sikushangai.
 
Tuendelee kupeana Darasa kiroho safi na Ndugu zetu at the end of the day sisi sote ni Waafrika na ni Ndugu.

Tueleweshane pale mwenzetu anapotaka kueleweshwa bila matusi au kudharauliana.
Narudia, hawa wenzetu hawataki kuelimishwa na hakuna anayewatukana ila wao ukiwaambia ukweli kuwaelimisha wanahisi unawatukana. Aisee, kwa kweli elimu ni msingi wa maendeleo ya mwanadamu, sijuwi hawa wenzetu wanajichanganya vipi.....yaani kitu simple tu mtu anarukia kuwa anakashifiwa kisa hataki ukweli
 
Na ndio nchi zinazoongoza kutokua na magonjwa ya ajabu ajabu, tofauti na nchi za kikafiri.

Vita, chanzo ni wamagharibi+Taifa haramu bila ya wamagharibi na Taifa haramu dunia ingelikua sehemu salama.
Fighting is obligatory for you, much as you dislike it. - 2:216
 
Again, hizi dini za watu (dini za kuletewa) ni laana kwetu Waafrika.......na ndiyo maana waumini wengi wa hizi dini haswa Waislam bado wanaishi gizani kwa kujiaminisha upuuzi.
 

Watumwa walipelekwa arabuni kufanya nini na wakihitajika kufanya kazi kwenye mashamba? Wanunuzi ndio hawa walipokuja kuifanyia na walianza wareno?Au hutaki kukubali kuwa kanisa ndiyo ilikuwa mbele kuifanyia hiyo biashara?
 
Again, hizi dini za watu (dini za kuletewa) ni laana kwetu Waafrika.......na ndiyo maana waumini wengi wa hizi dini haswa Waislam bado wanaishi gizani kwa kujiaminisha upuuzi.
Nyinyi wakristo si mnaishi kwenye mwanga kwa wanaume kuolewa na wachungaji au vipi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…