Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Ndugu zangu waislam tususie na Tuacheni kutumia bidhaa za makafir mashia kama mo Energy. Tutumie Azam energy na bidhaa zake.

Haiwezekani Iran na mashia kuwatukana na kuwadhalilisha maswahaba. Haiji kabisa akilini rafiki mkubwa wa karibu wa Mtume swahaba Abubakar Caliph atukanwe na mashia halafu tumekaa kimya.

Inauma na kuhuzunisha hawa makafir Iran na mashia wamdhalilishe na kumtukana mke wa kipenzi chetu bi Ayesha eti alikuwa kahaba na anaoga uchi mbele ya wanaume.

Wanatuletea maulid ya hovyo wanaqufr, kweli kuna maulid ya Ali na Fatima kweli? Maulid ni moja tu ya Mtume Muhammad SAW.

Ndo maana siku ya Aaashuurah wanajipiga kujidhuru na majambia usoni utosini na mgongoni siyo wanahuzuni bali ni laana na majitu kutoka kwa maswahaba.

Tusikae kimya ndugu zangu waislam tuutetee uislam hata kwa nafs. Tukicheza tutakosa Janah na firdaus siku ya qyamah.


adriz Mrs Besyige Jagina
nimecheka.hadi.kupaliwa
 
Unao muda wa kujibadilisha id na kukopi vibonzo 😛😛

Msingi wa Ukristo ni kifo cha msalaba cha bwana Yesu a.s. Mayahudi na Wakristo wanadhani kwamba Bwana Yesu alifariki juu ya msalaba, kifo cha laana.

A. Mayahudi walidhani hivi kwa sababu ya kupata nafasi ya kumkataa Bwana Yesu, kuwa wa kweli, maana Torati inasema kwamba “Aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu, (Kumbukumbu la Torati 21:23).

Kwahiyo Mayahudi walitaka sana kumfisha Yesu msalabani ili athibitike kuwa mlaaniwa na mlaaniwa hawezi kuwa Nabii wa Mungu.

B. Wakristo walikubali kwamba Yesu alikufa msalabani kwa sababu waliambiwa kwamba Yesu amebeba dhambi za watu kwa kufa msalabani. Hivi wavivu wote ambao hawataki kufuata sheria ya Mungu, mara moja walikubali kwamba damu ya Yesu imetuokoa. (Wagalatia 3:13).

Wakati tunasoma Biblia tunaona kwamba Biblia pia inasadikisha kwamba Bwana Yesu hakufa msalabani. Nitaeleza hapa hoja za Biblia moja baada ya moja, zinazothibitisha kwamba Bwana Yesu hakufa msalabani kabisa.

1. Kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu. (Kumb. 21:23, Wagalatia 3:13). Basi mtu ambaye anafariki
juu ya mti wa msalaba ndiye maluuni na maluuni anakuwa mbali na Mungu hawezi kuwa karibu na Mungu. Na mtu ambaye yu mbali na Mungu hawezi kuwa Nabii wa Mwenyezi Mungu

2. Bwana Yesu mwenyewe katika uhai wake alitabiri kwamba atapata matatizo, lakini hatakufa kwa matatizo yale, bali atasalimika.

Alieleza habari kwa mfano. Bwana Yesu akajibu, akawaambia, kizazi kibaya na cha zinaa chataka ishara, wala hakitapata ishara, ila ishara ya Nabii Yona. Kwani kama vile Yona alivyokaa siku tatu mchana na usiku katika tumbo la nyangumi, hivyo ndivyo mwana wa Adamu atakavyokuwa siku tatu mchana na usiku katika moyo wa nchi. (Mathayo 12:39-40).

Aya hizi za Biblia zinaonesha kwamba Bwana Yesu hakuleta miujiza mingi bali wakati aliombwa kuonesha miujiza, aliwatayarisha watu na aliahidi kuwaonesha muujiza mmoja tu.

Aliahidi kuonesha mujiza sawa na mujiza wa Nabii Yona. Muujiza wa Nabii Yona ni huu kwamba aliingia katika tumbo la nyangumi akiwa hai, alibaki ndani ya tumbo la nyangumi siku tatu akiwa hai, na wakati alipotoka tumboni mwa nyangumi alikuwa hai.

Yaani kuingia katika tumbo la nyangumi na kukaa kwa siku tatu ndani na kutoka humo akiwa mzima, si kawaida bali mtu anakufa katika hali hii.

Lakini Nabii Yona alijaaliwa kubaki hai katika muda huu wote kwa msaada wa Mwenyezi Mungu. Maana katika tukio hili la kukaa katika tumbo la nyangumi kwa siku tatu usiku na mchana siyo muujiza bali muujiza ni kuendelea na
uzima na uhai katika hali ile ngumu.

Hivyo ndivyo Bwana Yesu alitabiri kwamba atakuwa hai wakati akiingia na kukaa na kutoka katika tumbo ardhi / nchi.

Sasa tuchunguze kwamba Bwana Yesu aliwahi kutimiza ahadi yake au hapana. Wakristo mnasema kwamba Bwana Yesu hakuweza kuonesha muujiza wake huu wa pekee. Kwa sababu wakati wa kuingia katika tumbo la radhi na muda wa kukaa humo alikufa. Kwahiyo hakuweza kutimiza ahadi yake.

Na wakati hakuweza kuonesha muujiza wake wa pekee basi akaondoka bila muujiza wowote.

Lakini sisi Waislamu tunaamini kwamba BwanaYesu Kristo alionesha mujiza ule aliowaahidi kuonesha. Maana aliingia katika tumbo la ardhi akiwa hai na alikaa huko siku tatu nzima. Sawa kabisa na hali ya Yona Nabii.
Wewe ni kuwapuuza sababu tunavyokujibu ndo tunakupa kichwa unaendelea kutuma hayo matakataka yako uliyo copy na kupaste
 
Wewe ni kuwapuuza sababu tunavyokujibu ndo tunakupa kichwa unaendelea kutuma hayo matakataka yako uliyo copy na kupaste


Unaipuuza biblia yako ??

The Jesus Christ of the gospels is a patently artificial construct. This Prince of Peace also preaches discord and strife:


"Think not that I am come to send peace on earth: I came not to send peace, but a sword." – Matthew 10.34.


Having told his fans to love their enemies, alarmingly, Jesus also tells them to turn families into enemies!


"For I am come to set a man at variance against his father, and the daughter against her mother, and the daughter in law against her mother in law. And a man's foes shall be they of his own household."Matthew 10.35,36.

" If any man come to me, and hate not his father, and mother, and wife, and children, and brethren, and sisters, yea, and his own life also, he cannot be my disciple." – Luke 14.26.


How far does Jesus go with this malevolent (and plainly ridiculous) dictum? Matthew provides the answer:


"And the brother shall deliver up the brother to death, and the father the child: and the children shall rise up against their parents, and cause them to be put to death." – Matthew 10.21.


Having alienated his followers from their families with this murderous nonsense Jesus advises his adoring groupies on how to deal with their own body parts that lead them into sin – amputation! They are to mutilate themselves by cutting off hands and plucking out eyes. He says it's better to be "maimed" than to suffer the "everlasting fire" of hell.


"And if thy hand offend thee, cut it off: it is better for thee to enter into life maimed, than having two hands to go into hell, into the fire that never shall be quenched ... And if thy foot offend thee, cut it off: it is better for thee to enter halt into life, than having two feet to be cast into hell ... And if thine eye offend thee, pluck it out: it is better for thee to enter into the kingdom of God with one eye, than having two eyes to be cast into hell fire." – Mark 9.43,47.

According to the malefic sage, merely looking at a woman "with lust" was a sin. 3rd century Origen was one young and impressionable Christian fanatic who took the words of his Lord a tad literally and castrated himself.

He was neither the first nor the last Jesus-follower to glory in self-abasement and abuse.

In the hair-shirted centuries that lay ahead tens of thousands of the brethren would mortify their own flesh in accordance with the pathetic dictates of the godman.

In times of acute social hardship and plague, despairing believers, taking upon themselves guilt for general misfortune and personal tragedy, submitted voluntarily to half-naked frenzies of public lamentations and floggings. Indeed, punishing the body for the good of the soul remains a main tenet of the Christian psychosis.


Jesus Christ is the chief honcho of a physically dangerous, family-threatening, mind-warping cult! Still want to live next door to the superstar?
 
nimecheka.hadi.kupaliwa


Cheka zaidi hapa




The calling of Peter
Was it in Galilee and after John was imprisoned?


"Now after John was put in prison, Jesus came into Galilee ...

As he walked by the Sea of Galilee, he saw Simon and Andrew his brother casting a net into the sea: for they were fishers. And Jesus said unto them, Come ye after me, and I will make you to become fishers of men."

– Mark 1.14-17.
Or was it across the Jordan and before John was imprisoned?

"This all happened at Bethany on the other side of the Jordan, where John was baptizing ...

When the two disciples heard him say this, they followed Jesus ... The first thing Andrew did was to find his brother Simon and tell him, "We have found the Messiah" (that is, the Christ). And he brought him to Jesus.

Jesus looked at him and said, "You are Simon son of John. You will be called Cephas, which, when translated, is Peter. The next day Jesus decided to leave for Galilee."

– John 1.28-43.


"After this, Jesus and his disciples went out into the Judean countryside ... This was before John was put in prison."

– John 3.22-24.
 
Unaipuuza biblia yako ??

The Jesus Christ of the gospels is a patently artificial construct. This Prince of Peace also preaches discord and strife:





Having told his fans to love their enemies, alarmingly, Jesus also tells them to turn families into enemies!





How far does Jesus go with this malevolent (and plainly ridiculous) dictum? Matthew provides the answer:





Having alienated his followers from their families with this murderous nonsense Jesus advises his adoring groupies on how to deal with their own body parts that lead them into sin – amputation! They are to mutilate themselves by cutting off hands and plucking out eyes. He says it's better to be "maimed" than to suffer the "everlasting fire" of hell.




According to the malefic sage, merely looking at a woman "with lust" was a sin. 3rd century Origen was one young and impressionable Christian fanatic who took the words of his Lord a tad literally and castrated himself.

He was neither the first nor the last Jesus-follower to glory in self-abasement and abuse.

In the hair-shirted centuries that lay ahead tens of thousands of the brethren would mortify their own flesh in accordance with the pathetic dictates of the godman.

In times of acute social hardship and plague, despairing believers, taking upon themselves guilt for general misfortune and personal tragedy, submitted voluntarily to half-naked frenzies of public lamentations and floggings. Indeed, punishing the body for the good of the soul remains a main tenet of the Christian psychosis.


Jesus Christ is the chief honcho of a physically dangerous, family-threatening, mind-warping cult! Still want to live next door to the superstar?
Mtu ambaye hawezi kujenga hoja mpaka aende acopy and paste siwezi jadiliana naye chochote
 
  • Thanks
Reactions: 511
Mtu ambaye hawezi kujenga hoja mpaka aende acopy and paste siwezi jadiliana naye chochote

Mimi hujadiliana na mtu anayejibadilisha id na kukopy vibonzo vya matusi


TheBirth of Jesus Christ Competing mythologies
Bethlehem:Matthew

Mary/Joseph already live in Bethlehem
Luke

Mary/Joseph live in Nazareth

"Worldwide" Census (pretext for birthing in Bethlehem)
Angelic announcements: to Joseph in dreamsto Mary in visions
Birth:Birth in houseBirth in manger
Celestial sign:Star in the EastChorus of angels above a sheep pasture
Genealogy:"42" generations back to Abraham (actually 41 names) 42 generations back to David.
Then another 14 generations back to Abraham, and another 21 generations back to God himself.
Royal ancestry:Lineage accentuates JewishnessExtended ancestry now inclusive of Gentiles
Adoration:from Magi

Dream-inspired flight to Egypt

Herod's murder of the innocents

Move to (new home) Nazareth

from Shepherds

Presentation in the Temple; recognised as a "light to the Gentiles" by prophets; Prodigy in the temple at aged 12.

Return to (hometown) Nazareth
 
haichekeshi


Labda hii utacheka , kama haichekeshi utapata zaidi

Oops! A failed "prophecy"


"Yet the number of the children of Israel shall be as the sands of the sea, which cannot be measured nor numbered." – Hosea 1.10.


Population of Israel (2011) 7,798,600 of which Jews about 5,865,300.


Jews worldwide (2009/10) 13,421,000.


(Wikipedia)
 
haichekeshi

Kama ile haichekeshi ongeza na hii

"Shame" of long hair says St Paul

1711539805768.jpeg





"Doth not even nature itself teach you, that, if a man have long hair, it is a shame unto him?"
– 1 Corinthians 11.14.
 
Mimi hujadiliana na mtu anayejibadilisha id na kukopy vibonzo vya matusi


TheBirth of Jesus Christ Competing mythologies
Bethlehem:Matthew

Mary/Joseph already live in Bethlehem
Luke

Mary/Joseph live in Nazareth

"Worldwide" Census (pretext for birthing in Bethlehem)
Angelic announcements:to Joseph in dreamsto Mary in visions
Birth:Birth in houseBirth in manger
Celestial sign:Star in the EastChorus of angels above a sheep pasture
Genealogy:"42" generations back to Abraham (actually 41 names)42 generations back to David.
Then another 14 generations back to Abraham, and another 21 generations back to God himself.
Royal ancestry:Lineage accentuates JewishnessExtended ancestry now inclusive of Gentiles
Adoration:from Magi

Dream-inspired flight to Egypt

Herod's murder of the innocents

Move to (new home) Nazareth
from Shepherds

Presentation in the Temple; recognised as a "light to the Gentiles" by prophets; Prodigy in the temple at aged 12.

Return to (hometown) Nazareth
Hakuna mtu anayengaika na wewe
Wewe endelea kucopy and kupaste in short huna uwezo wa kujenga hoja
 
Nchi nyingi zenye mlengo wa uislamu au majimbo mengi ya nchi yenye mlengo wa uislamu uwa ni kitovu cha ugaidi na maeneo hayo usifika kwa kuzalisha makundi mengi ya Kigaidi.

Sisemi tu kwa sababu nasema bali nasema kwa sababu zipo nadharia nyingi zinazoonesha kuwa ni kweli maeneo hayo ukumbwa na matukio ya kigaidi ama Vita.

Hata Tanzania miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na tetesi za matukio ya kigaidi maeneo ya Kibiti na jirani na maeneo hayo ambayo kwa wingi ukaliwa na watu wa Dini ya uislamu kitendo kilichopelekea Jeshi la Tanzania kuwekeza nguvu huko Kibiti na kutokomeza ugaidi huo ambao ulikuwa umeanza kumea katika maeneo hayo ya pwani ya Tanzania. Hata kijana mmoja wa kitanzania mwenye mlengo wa Dini ya kiislamu aliwahi kukamatwa Kenya akitumikia kikundi cha kigaidi cha Al-Shabab.

Ukiachilia mbali hayo, Duniani ukitamka neno ugaidi alafu ukasema tutajie dini yenye kuhusishwa na ugaidi moja kwa moja hata mtoto atakutajia Uislamu. Na hii ni kwa sababu Watu wote wanaokamatwa katika matukio hayo basi ujinasibu kama wanapigania Dini ama maslahi yao ya kidini. Ukiachilia mbali kupigania Dini au Maslahi ya Kidini. Nchi hizo hizo au maeneo hayo hayo yamekuwa yakikumbwa na Mapinduzi ya kijeshi na watu hao wakitaka kusimika dola la kiislamu.

Alikadharika maeneo hayo uwa yanakumbwa na vurugu za kivita za mara kwa mara.

Hapa Afrika ukitoa Congo DRC tu ambayo haina waislamu wengi, nchi nyingi zilizobaki zenye vita za mara kwa mara maeneo hayo yenye vita ukaliwa na waislamu kwa idadi kubwa.

Ukanda wote wa Sahel, yani kusini mwa mpaka wa jangwa la Sahara, nchi kama Sudan, Niger, Mali, Burkinafaso, Chad na nyinginezo na nchi zinazokumbwa na vikundi vya kigaidi mara kwa mara. Na ni nchi zenye uislamu mwingi na kama unavyoona zinapakana na nchi za waarabu wa kiafrika ambazo kwa asilimia 90 raia wa nchi hizo ni waislamu.
View attachment 2943395
Nigeria pia ni miongoni mwa nchi inayokumbwa na matukio ya kigaidi sana hususani Maeneo ya kaskazini ya nchi hiyo ambayo ukaliwa na waislamu wengi. Nchini Nigeria wakristo wengi wanapatikana Kusini katika majiji kama Lagos, na Abuja, na waislamu wengi upatikana maeneo ya Kaskazini mwa nchi ambayo mara nyingi majimbo ya Maeneo hayo uongozwa kwa Sheria za kiislamu, pia nadhani juzi kati katika mfungo wa ramadhani watu wa maeneo hayo walikamatwa kwa kutokufunga Mfungo wa Ramadhani na waliadhibiwa. Maeneo hayo hayo ndio kituo cha Kundi la Boko Haram na vikundi vingine vya namna hiyo.

Tukiama barani Afrika tukaamia bara la Asia ukanda ya Middle East (Mashariki ya Kati) ambapo ndiko uislamu umeanzia huko ndiko kuna vikundi vingi vya kigaidi, na karibia kila nchi ina vikundi vyake. Nadhani wengi mnavifahamu vikundi kama Hamas kilichoishambulia Israel na kuteka na kuua watu katika tamasha la mziki, na kupeleka vita ambayo imeigharimu ardhi ya Palestina ukanda wa Gaza. Vilevile haikupita miezi mingi kuna kikundi kutoka Yemen nacho kinaitwa Hauthi kikaanza kulipa mashambulizi kwa kupiga meli zinazopita ukanda wa bahari ya sham bila kujali kuwa anaepigwa ni raia wa nchi gani.

Ukiachilia mzozo huo wa Israel na maadui zake, hakuna asiyejua kundi la kigaidi lenye mlengo wa kiislamu lililotikisa Dunia kwa matukio ya kutisha kwa kuchinja, kupiga risasi au kujitoa Mhanga. Hii ya kujitoa mhanga ikapelekea Waislamu hasa waliojifunika mwili mzima kuogopwa sana kuhisi labda wamebeba mabomu ya kujitoa mhanga. Chini ya Osama Bin Laden, kundi hili liliisumbua Dunia hasa Marekani kwa kuipa Jeraha lisilosahaulika la Septemba 11.

Kwa kifupi huko Middle East (Mashariki ya Kati) kuna vikundi vingi sana vya kigaidi, vingine vinakuwaga vimelala tu, vinakuwa (Inactive) lakini viko tayari kwa mashambulizi. Na vikundi hivi ndivyo vinafanya Dola za kiislamu zinaendelea kusimama na sheria kali za kiislamu zifatwe, mfano moja wapo ni Kundi la Taliban kutokea pale Afghanistan ambalo baada ya kushika dola tu likaweka sheria kali za kiislamu ikiwemo wanafunzi kusoma madarasa kwa kuzingatia jinsia mpaka chuo kikuu yani mtoto wa kike na wakiume kila mtu darasa lake.

Kundi jingine la Kigaidi ni kundi la ISIS yani Islamic State. Kundi hili juzi kati limekiri kupiga Tukio pale Russia kwa kumimina Risasi katika Mall moja pale Moscow kwenye tamasha la mziki na kuua watu zaidi ya 150 na kuchoma jengo kwa vilipuzi. Lakini Rais wa Russia Vladimir Putin hajawaacha salama, kawadaka watu kadhaa ambao wanahusika na tukio hilo ambao wengi wao wanasema wamekodiwa kutokea nchi ya Uturuki ambayo ni yenye mlengo wa kiislamu.

Kwa ufupi makundi haya ni mengi sana na yana uhusiano wa moja kwa moja, kwa sababu mengi yanakuwa na link au uhusiano.

Kwani ndugu zetu waislamu mnapokuwa mnafundishwa Dini uwa mnapewa maelezo gani yanayowatia baadhi yenu mioyo ya kikatili, kutaka kumwaga Damu?
Kwa sababu mungu wao wanayemwamini hawezi kujitetea hadi wampiganie
 
  • Nzuri
Reactions: 511
Waislam wanaamini ukipigana vita kwa ajili ya Allah basi unaenda mbinguni.

Ukristu unaamini kuwa Mungu anaweza pigana vita vyake mwenyewe
Vita zingine sio jihad, vita zingine nikwaajiri yadhurma wanazofanyiwa waislam.
Mf mdogo dhurma alizofanya Nyerere kipindi chautawala wake alivyowanyima elimu waislam. Aliyekuja kuweka usawa ni profesa Kighoma Malima.
 
Kwa sababu mungu wao wanayemwamini hawezi kujitetea hadi wampiganie

 
Back
Top Bottom