Jugado
JF-Expert Member
- Oct 28, 2021
- 1,446
- 3,184
Kama kichwa cha thread kinavyoonesha, sishabikii vita ila inaonekana nchi za Magharibi na Marekani ni tishio sana kila anaemsaidia Urusi hufanya hivyo kisiri siri!. West hujiona wapo sahihi kwa Kila kitu na wanataka mtazamo/maadili yao uwe mtazamo wa dunia yote.
Hivi dunia haiwezi kuwepo bila vita Kila kona? Huyu anapigana na yule hawa wanapigana wenyewe Kwa wenyewe ili mradi tafrani.
Hivi dunia haiwezi kuwepo bila vita Kila kona? Huyu anapigana na yule hawa wanapigana wenyewe Kwa wenyewe ili mradi tafrani.