Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Mpaka sasa, Jambo lilo wazi katika vita ya Ethiopia ni mkono wa nchi za magharibi katika mgogoro huo.
Baadhi ya viashiria vinavyoonyesha mkono wa nchi za magharibi katika vita hiyo:
Wachambuzi wengi wa mambo ya Afrika wanaamini nchi nyingi za Afrika zitagawanywa ndani ya miaka 5 ijayo, je ni nini haswa lengo kuu la nchi za magharibi katika hili??
Baadhi ya viashiria vinavyoonyesha mkono wa nchi za magharibi katika vita hiyo:
- matumizi ya magari ya FAO yaliyopeleka msaada wa vyakula na waasi wa TPLF.
- Ushahidi wa Marekani na washirika wake kuwapa taarifa za kisatelite waasi , zinazo onyesha mahali walipo wanajeshi wa Ethiopia.
- Social media ku ban akaunti za viongozi wa Ethiopia pamoja na wanaharakati wanaotetea nchi hiyo
- Kuzidi kwa propaganda dhidi ya serikali Ethiopia kutoka vyombo vya habari vya magharibi
- Uungaji mkono wa wazi, maadai ya kikundi cha waasi wa Tigray na nchi za magharibi
Wachambuzi wengi wa mambo ya Afrika wanaamini nchi nyingi za Afrika zitagawanywa ndani ya miaka 5 ijayo, je ni nini haswa lengo kuu la nchi za magharibi katika hili??