Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafiki wa Waafrika mpaka lini???
Wakati wa Tigray wanauawa nchi zote za kiafrika zilikaa kimya. UN ilishindwa hata kupeleka madawa na vyakula. Sudan ikabebe mzigo wa wakimbizi Afrika kimyaa!
Leo Waziri mkuu analia kichapo, ndo nchi za Afrika na wachangiaji wenzetu wanajitokeza. Mbona walikaa kimya wakati watu wanafia njiani kukimbia kichapo cha majeshi ya serikali?
Jimbo lile lina serikali yake hivyo wangeachwa wajiendeshe pia ni eneo ambalo historia ya wahabeshi ilipo na utajiri wa kihistoria wote upo kule. Hii ndo sababu Addis haitaki kupoteza. Siongei kwa udini lakini ikumbukwe ile nchi ni ya ki Orthodox ila mtawala aliyepo ni Mislam na ndo sababu wakamaliza vita na Eletria sababu wale wote wana imani moja.
Kuhusu bwawa la mto nile, nadhani wote tunajua kuwa kupata nishati ya kujitosheleza ni haki ya kila nchi ndo maana Tanzania tumeweza kutiririsha maji ya ziwa Victoria kwenda mpaka Tabora bila kibali cha waarabu. Kasoro ni kwamba mikoa inayolinda vyanzo vya mto Nile kama Kagera, mara na Mwanza, maji imekuwa ni ndoto tangu tupate uhuru lakini Tabora na Shinyanga walishapeta. Vitu kama hivi ndo vinavyochochea kupiga kelele mpaka kujitoa muhanga kupigania haki zao. Kwa TZ haitatokea sababu sisi ni makondoo na tunaaminishwa kuwa ni kisiwa cha amani.
DIVIDE AND RULEMpaka sasa, Jambo lilo wazi katika vita ya Ethiopia ni mkono wa nchi za magharibi katika mgogoro huo.
Baadhi ya viashiria vinavyoonyesha mkono wa nchi za magharibi katika vita hiyo:
Swali ni je, kwa nini nchi za magharibi zimewekeza sana katika kupindua utawala wa Ethiopia , na kuunga mkono vikundi vyengine vya waasi vilivyo na lengo la kujitenga barani Afrika??.
- matumizi ya magari ya FAO yaliyopeleka msaada wa vyakula na waasi wa TPLF.
- Ushahidi wa Marekani na washirika wake kuwapa taarifa za kisatelite waasi , zinazo onyesha mahali walipo wanajeshi wa Ethiopia.
- Social media ku ban akaunti za viongozi wa Ethiopia pamoja na wanaharakati wanaotetea nchi hiyo
- Kuzidi kwa propaganda dhidi ya serikali Ethiopia kutoka vyombo vya habari vya magharibi
- Uungaji mkono wa wazi, maadai ya kikundi cha waasi wa Tigray na nchi za magharibi
Wachambuzi wengi wa mambo ya Afrika wanaamini nchi nyingi za Afrika zitagawanywa ndani ya miaka 5 ijayo, je ni nini haswa lengo kuu la nchi za magharibi katika hili??
Abiy Ahmed sio Muislam n mkristo wa madhehebu ya kilokoleUnafiki wa Waafrika mpaka lini???
Wakati wa Tigray wanauawa nchi zote za kiafrika zilikaa kimya. UN ilishindwa hata kupeleka madawa na vyakula. Sudan ikabebe mzigo wa wakimbizi Afrika kimyaa!
Leo Waziri mkuu analia kichapo, ndo nchi za Afrika na wachangiaji wenzetu wanajitokeza. Mbona walikaa kimya wakati watu wanafia njiani kukimbia kichapo cha majeshi ya serikali?
Jimbo lile lina serikali yake hivyo wangeachwa wajiendeshe pia ni eneo ambalo historia ya wahabeshi ilipo na utajiri wa kihistoria wote upo kule. Hii ndo sababu Addis haitaki kupoteza. Siongei kwa udini lakini ikumbukwe ile nchi ni ya ki Orthodox ila mtawala aliyepo ni Mislam na ndo sababu wakamaliza vita na Eletria sababu wale wote wana imani moja.
Kuhusu bwawa la mto nile, nadhani wote tunajua kuwa kupata nishati ya kujitosheleza ni haki ya kila nchi ndo maana Tanzania tumeweza kutiririsha maji ya ziwa Victoria kwenda mpaka Tabora bila kibali cha waarabu. Kasoro ni kwamba mikoa inayolinda vyanzo vya mto Nile kama Kagera, mara na Mwanza, maji imekuwa ni ndoto tangu tupate uhuru lakini Tabora na Shinyanga walishapeta. Vitu kama hivi ndo vinavyochochea kupiga kelele mpaka kujitoa muhanga kupigania haki zao. Kwa TZ haitatokea sababu sisi ni makondoo na tunaaminishwa kuwa ni kisiwa cha amani.
Wakenya hawana adabu ndio maana tuwafanyia figisu. Wanakujaga humu na maneno ya dharau kuwa sisi hatuwezi fanya lolote kuwazidi wao wapo vema zaidi.Sio rahisi Afrika na waafrika kuwa wamoja, tusiwasingizie wazungu sisi tumeumbwa na vinasaba vya kuchukiana. Ebu angalia tz tuko tyr bidhaa za china ziingie nchini lkn hatuko tyr bidhaa za kenya kuingia nchini, tunafanyiana figisu,sasa unajiuliza hivi Uchumi wa nchi zetu utakua vipi wakati nchi zetu zinachukiana? Yaani kwetu bora Mchina kuliko Mkenya, Mganda nk. Tunakuza chumi za Mashariki ya Mbali na Ulaya kuliko kukuza uchumi wa kikanda. Mwafrika ni mchawi wa kuzaliwa tusimsingizie mzungu.
Huu ni Ukosefu wa akili kudhani na kulaumu nchi za Magharibi!!Usiwe na dhana potofu kudhani kila kitu unahujumiwa!Jiulize kwanza!!Tusiwe kana nchi za kiarabu kudhani kila changamoto yao basi Israel inahusika!!Mchawi wa mwafrika ni mwafrika mwenzake tuache visingizio visivyokuwa na maana.Mpaka sasa, Jambo lilo wazi katika vita ya Ethiopia ni mkono wa nchi za magharibi katika mgogoro huo.
Baadhi ya viashiria vinavyoonyesha mkono wa nchi za magharibi katika vita hiyo:
Swali ni je, kwa nini nchi za magharibi zimewekeza sana katika kupindua utawala wa Ethiopia , na kuunga mkono vikundi vyengine vya waasi vilivyo na lengo la kujitenga barani Afrika??.
- matumizi ya magari ya FAO yaliyopeleka msaada wa vyakula na waasi wa TPLF.
- Ushahidi wa Marekani na washirika wake kuwapa taarifa za kisatelite waasi , zinazo onyesha mahali walipo wanajeshi wa Ethiopia.
- Social media ku ban akaunti za viongozi wa Ethiopia pamoja na wanaharakati wanaotetea nchi hiyo
- Kuzidi kwa propaganda dhidi ya serikali Ethiopia kutoka vyombo vya habari vya magharibi
- Uungaji mkono wa wazi, maadai ya kikundi cha waasi wa Tigray na nchi za magharibi
Wachambuzi wengi wa mambo ya Afrika wanaamini nchi nyingi za Afrika zitagawanywa ndani ya miaka 5 ijayo, je ni nini haswa lengo kuu la nchi za magharibi katika hili??
Na kwa nini kila anayeipinga serikali aitwe muasi, kwani lazima ukubaliane na serikali kwa kila kitu?Mpaka sasa, Jambo lilo wazi katika vita ya Ethiopia ni mkono wa nchi za magharibi katika mgogoro huo.
Baadhi ya viashiria vinavyoonyesha mkono wa nchi za magharibi katika vita hiyo:
Swali ni je, kwa nini nchi za magharibi zimewekeza sana katika kupindua utawala wa Ethiopia , na kuunga mkono vikundi vyengine vya waasi vilivyo na lengo la kujitenga barani Afrika??.
- matumizi ya magari ya FAO yaliyopeleka msaada wa vyakula na waasi wa TPLF.
- Ushahidi wa Marekani na washirika wake kuwapa taarifa za kisatelite waasi , zinazo onyesha mahali walipo wanajeshi wa Ethiopia.
- Social media ku ban akaunti za viongozi wa Ethiopia pamoja na wanaharakati wanaotetea nchi hiyo
- Kuzidi kwa propaganda dhidi ya serikali Ethiopia kutoka vyombo vya habari vya magharibi
- Uungaji mkono wa wazi, maadai ya kikundi cha waasi wa Tigray na nchi za magharibi
Wachambuzi wengi wa mambo ya Afrika wanaamini nchi nyingi za Afrika zitagawanywa ndani ya miaka 5 ijayo, je ni nini haswa lengo kuu la nchi za magharibi katika hili??
Kuwa na akili ni kuamini kwamba hakuna mkono wa nchi za magharibi kwenye mzozo wa Ethiopia.Huu ni Ukosefu wa akili kudhani na kulaumu nchi za Magharibi!!Usiwe na dhana potofu kudhani kila kitu unahujumiwa!Jiulize kwanza!!Tusiwe kana nchi za kiarabu kudhani kila changamoto yao basi Israel inahusika!!Mchawi wa mwafrika ni mwafrika mwenzake tuache visingizio visivyokuwa na maana.
Kwa Ethiopia shida ni bwawa la umeme ambalo Egypt (chawa wa mabeberu) hataki lijengwe kwa hofu ya kupungua kwa kiwango cha maji huko kwako. Kwa maeneo mengine ya Afrika jibu liko wazi - ukitaka kuendelea kuwatawala watu au kuchukua rasilimali zao wagombanishe, watenge, wavuruge.
Mpaka sasa, Jambo lilo wazi katika vita ya Ethiopia ni mkono wa nchi za magharibi katika mgogoro huo.
Baadhi ya viashiria vinavyoonyesha mkono wa nchi za magharibi katika vita hiyo:
Swali ni je, kwa nini nchi za magharibi zimewekeza sana katika kupindua utawala wa Ethiopia , na kuunga mkono vikundi vyengine vya waasi vilivyo na lengo la kujitenga barani Afrika??.
- matumizi ya magari ya FAO yaliyopeleka msaada wa vyakula na waasi wa TPLF.
- Ushahidi wa Marekani na washirika wake kuwapa taarifa za kisatelite waasi , zinazo onyesha mahali walipo wanajeshi wa Ethiopia.
- Social media ku ban akaunti za viongozi wa Ethiopia pamoja na wanaharakati wanaotetea nchi hiyo
- Kuzidi kwa propaganda dhidi ya serikali Ethiopia kutoka vyombo vya habari vya magharibi
- Uungaji mkono wa wazi, maadai ya kikundi cha waasi wa Tigray na nchi za magharibi
Wachambuzi wengi wa mambo ya Afrika wanaamini nchi nyingi za Afrika zitagawanywa ndani ya miaka 5 ijayo, je ni nini haswa lengo kuu la nchi za magharibi katika hili??
Tatizo lilianza walipo gawa mipaka ya Nchi na kuweka Nchi za kiarabu kuwa pamoja na Nchi za Kiafrika asili.chochote kitakachofanyika na nchi za kiafrika jua fika Algeria,Egypt, Morocco, Libya na Tunisia watakuwa wanawachora.Hivi kweli kabisa kama waafrika hatuwezi kukubali kuungana? tuwe na sauti 1, tuwe na soko 1, tuwe na uhuru wetu wakujipangia mambo yetu bila kuamuliwa? maana rasilimali tunazo sasa wapi tumeshindwa kujikwamua?
Kwnye huu mgogoro ukiangalia vizuri kbisa utaona sisi waafrika wenyewe hatujitambui wapi tunataka kwenda wapi tulipoko, inakuwaje Egypt badala ya kutafuta njia yakupatanisha yeye aseme ofisi zihamishiwe kwake? hakika kuna mahala hatupo sawa na hatujui tutatokaje hapo mahala.