Nikwambie kitu, jifunze ku- agree to disagree without offending anyone hilo LA kwanza, la pili ambalo ni very crucial usitukane watu ovyo,we leta hoja mbadala zenye substance - don't think tunashindwa kutumia abrasive languages za vijiweni - bottom line,is: jifunze kuheshimu binadamu wenzako hata kama mna maoni tofauti.
Kwa taarifa yako Trump na like mind wenzake, notably: Pompeo na John Bolton ni binadamu ambao walikuwa driven na inbuilt rabid hatred ya everything Chinese, mara ngapi Bolton alikuwa anatumwa na Trump barani Africa ku-preach viongozi wa Afrika kuhusu ubaya wa ujio wa Wachina barani Africa, mpaka sasa wazungu specifically Uncle SAM wako overly obsessed na Wachina!!
Now back to the main point - binafsi niliwahi kumsikia Donald Trump kwenye forum fulani hivi, akizungumzia ubaya wa ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme la Ethiopia linalo tokana na msaada wa Wachina kiufundi, kifedha na ujenzi, alisema/tishia kwa kusema anaweza kuisadia Misri kwa kuvurumisha cruise missiles za kubomoa bwawa la kuzalisha umeme nchini Ethiopia, sasa sijui kama alikuwa anatania au alikuwa serious, si unajua tena mtu mwenye alikuwa unpredictable kama Tsunami tidal waves.
Kusisitiza maoni yangu, sina shaka jana uliona kwenye TV maelfu ya waandamanaji katika mji mkuu wa Ethiopia yaani Adis Ababa, je, walikuwa wanashutumu Taifa gani kwamba ndilo linalo chochea na ku-finance vurugu zinazo endelea nchini Ethiopia - ni wazi tunashuhudia kwa maranyingine tena yaliyo tokea Ukraine ndio yanajirudia hivi sasa huko Ethiopia - na kusema kweli huo ndio mwanzo kwa kile kitakacho kuja kutokea hapo mbeleni barani Afrika kama Viongozi wa Kiafrika wasipo lishtukia hilo nchi nyingi za Kiafrika zitakubwa na migogoro ya kupandikizwa na kutumia mwanya/vurugu hizo kusimika madarakani viongozi ma puppet watakao support bara la Afrika kuwa recolonised kwa mara nyingine tena kwa kutumia mbinu mpya ie plan "B" ya kutisha tisha viongozi wa Afrika kuhusu ujio wa Wachina Barani Afrika.
Look - binafsi sikulazimishi ukubaliane na maoni yangu,we toa maoni mbadala na sio unaishia ku-trade inept tirade. CHEERS.