wambagusta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 2,825
- 2,292
Nini kilisababisha wachinjwe Kama siyo uasi walioanzisha?MCHAWI WA WAAFRIKA NI WAAFRIKA WENYEWE.
KAMA MMEJUA ADUI YENU ANAYEWAGOMBANISHA NI MZUNGU KWANINI MSIUNGANE NA KUSIMAMA IMARA KULIKO KUENDELEA KUUANA KAMA KUKU?
HUYO WAZIRI MKUU ALIPOKUWA ANAWACHINJA WATIGRAY KWA KUSHIRIKIANA NA MAJESHI YA ERITREA MBONA MLIKAA KIMYA?
HAO WATIGRAY WALICHEZEA KICHAPO CHA MBWA KOKO KUTOKA MAJESHI YA ETHIOPIA NA ERITREA SASA HIVI NDIO WAMEJITUTUMUA LIWALO NA LIWE.
Wakati huo wazungu hawakuona mpaka wakampa ahmed abiy tunzo ya amani ya nobel !!?Mchawi wa waafrika ni waafrika wenyewe
.
Kama mmejua adui yenu anayewagombanisha ni mzungu kwanini msiungane na kusimama imara kuliko kuendelea kuuana kama kuku?
Huyo waziri mkuu alipokuwa anawachinja watigray kwa kushirikiana na majeshi ya eritrea mbona mlikaa kimya?
Hao watigray walichezea kichapo cha mbwa koko kutoka majeshi ya ethiopia na eritrea sasa hivi ndio wamejitutumua liwalo na liwe.
Kwasababu hata haoWACHINA wenyewe nao hawajasalimika na GHILBA UNYAMA na UADUI unaofanywa na hao wapuuzi WAZUNGUWaafrika Wana tabia ya kuwasema vibaya wazungu,ila hawataki kuzamia kwenda China, wanataka kwenda Kwa wazungu
Unafiki wa Waafrika mpaka lini?Mchawi wa waafrika ni waafrika wenyewe
.
KamUa mmejua adui yenu anayewagombanisha ni mzungu kwanini msiungane na kusimama imara kuliko kuendelea kuuana kama kuku?
Huyo waziri mkuu alipokuwa anawachinja watigray kwa kushirikiana na majeshi ya eritrea mbona mlikaa kimya?
Hao watigray walichezea kichapo cha mbwa koko kutoka majeshi ya ethiopia na eritrea sasa hivi ndio wamejitutumua liwalo na liwe.
Umenena point tupu mkuu.Unafiki wa Waafrika mpaka lini?
Wakati wa Tigray wanauawa nchi zote za kiafrika zilikaa kimya. UN ilishindwa hata kupeleka madawa na vyakula. Sudan ikabebe mzigo wa wakimbizi Afrika kimyaa!
Leo Waziri mkuu analia kichapo, ndo nchi za Afrika na wachangiaji wenzetu wanajitokeza. Mbona walikaa kimya wakati watu wanafia njiani kukimbia kichapo cha majeshi ya serikali?
Jimbo lile lina serikali yake hivyo wangeachwa wajiendeshe pia ni eneo ambalo historia ya wahabeshi ilipo na utajiri wa kihistoria wote upo kule. Hii ndo sababu Addis haitaki kupoteza. Siongei kwa udini lakini ikumbukwe ile nchi ni ya ki Orthodox ila mtawala aliyepo ni Mislam na ndo sababu wakamaliza vita na Eletria sababu wale wote wana imani moja.
Kuhusu bwawa la mto nile, nadhani wote tunajua kuwa kupata nishati ya kujitosheleza ni haki ya kila nchi ndo maana Tanzania tumeweza kutiririsha maji ya ziwa Victoria kwenda mpaka Tabora bila kibali cha waarabu. Kasoro ni kwamba mikoa inayolinda vyanzo vya mto Nile kama Kagera, mara na Mwanza, maji imekuwa ni ndoto tangu tupate uhuru lakini Tabora na Shinyanga walishapeta. Vitu kama hivi ndo vinavyochochea kupiga kelele mpaka kujitoa muhanga kupigania haki zao. Kwa TZ haitatokea sababu sisi ni makondoo na tunaaminishwa kuwa ni kisiwa cha amani.
Wewe uwa ni propagandist, hakuna koment ya ukweli itatoka kinywani mwako.Ninacho kiona mimi huu ni mwendelezo wa nchi za magharibi kupiga vita vya chini chini dhidi ya ujio was Wachina barani Afrika - Wamerika suala hili wamelivalia njuga sana, hawapendi ukaribu wa Utawala wa Ethiopia na Uchina, kumbuka Wachina wamewekeza sana Ethiopia kiviwanda na miundo mbinu, Wachina vile vile ndio wanaojenga bwawa kubwa la kuzalisha Umeme barani Afrika nchini humo, kumbukeni Rais Trump aliwahi kuitishia Ethiopia kwamba atatuma ndege za kivita akishirikiana na Misri kubomoa Bwana hilo linalo jengwa na Wachina.
Jaribuni kufatilia mwenendo wa viongozi wa USA wanapo tembelea baadhi ya nchi za Kiafrika mara nyingi kauli zao ukijita zaidi kuwatisha tisha viongozi wa Afrika kuhusu ujio wa Wachina barani Afrika wanawashutumu kwa mambo mengi ikiwemu wizi wa mali asili pamoja na kutwisha nchi za Kiafrika mzigo wa madeni - cha ajabu wazungu hao hawasemi chochote kuhusu jinsi nchi za magharibi ( Ulaya na Amerika) walivyo pora Mali asili lukuki barani Afrika wakati wa utawaka wa kikoloni na kwenda kujenga/endeleza kwao giving nothing in return kuendeleza bara la Afrika, tofauti kabisa na Wachina ambao wanawasaidia Mataifa mengi ya Kiafrika kujiendeleza wenyewe - wazungu hilo hawalipendi kabisa.
Serikali ya Adis Ababa hisipo omba msaada wa kusaidiwa kijeshi na Uchina au Urusi basi Uongozi wa Taifa hilo utaondolewa madarakani kama yaliyo tokea huko Ukraine under guise of colour revolution hiki ndicho kinacho endelea huko Ethiopian kwa kuchochewa na vyombo vya kijasusi vya nchi za magharibi.
We jamaa ama unaandika uongo makusudi au hujui kinachoendelea Ethiopia.Unafiki wa Waafrika mpaka lini?
Wakati wa Tigray wanauawa nchi zote za kiafrika zilikaa kimya. UN ilishindwa hata kupeleka madawa na vyakula. Sudan ikabebe mzigo wa wakimbizi Afrika kimyaa!
Leo Waziri mkuu analia kichapo, ndo nchi za Afrika na wachangiaji wenzetu wanajitokeza. Mbona walikaa kimya wakati watu wanafia njiani kukimbia kichapo cha majeshi ya serikali?
Jimbo lile lina serikali yake hivyo wangeachwa wajiendeshe pia ni eneo ambalo historia ya wahabeshi ilipo na utajiri wa kihistoria wote upo kule. Hii ndo sababu Addis haitaki kupoteza. Siongei kwa udini lakini ikumbukwe ile nchi ni ya ki Orthodox ila mtawala aliyepo ni Mislam na ndo sababu wakamaliza vita na Eletria sababu wale wote wana imani moja.
Kuhusu bwawa la mto nile, nadhani wote tunajua kuwa kupata nishati ya kujitosheleza ni haki ya kila nchi ndo maana Tanzania tumeweza kutiririsha maji ya ziwa Victoria kwenda mpaka Tabora bila kibali cha waarabu. Kasoro ni kwamba mikoa inayolinda vyanzo vya mto Nile kama Kagera, mara na Mwanza, maji imekuwa ni ndoto tangu tupate uhuru lakini Tabora na Shinyanga walishapeta. Vitu kama hivi ndo vinavyochochea kupiga kelele mpaka kujitoa muhanga kupigania haki zao. Kwa TZ haitatokea sababu sisi ni makondoo na tunaaminishwa kuwa ni kisiwa cha amani.
Mkuu nipe mfano wa nchi ya kiafrika au nchi yoyote maskini ambayo imefanikiwa kwa kusimama yenyewe na kiongozi asiebebwa na mabeberu (akabakia hai)sio wakati wote, hata sisi waafrika lazima tujitathmini. Kwa Nini utawala kabla yake ilikuwa salama. Kwa Nini yeye? Lazima na yeye ana mapungufu yake. Viongozi wa Afrika ni wabinafsi, akiwepo Abby mwenyewe. Kama tukiwa na nia ya dhati kuendeleza afrika. Bila kuangalia wala kupendelea basi Afrika itaendelea.
Ila kuna mtu kanitoa nduki. I write with all confidence baada ya kupitia news. Nashukuru.Umenena point tupu mkuu.
Omba uraia au hata resident permit uende uchina. Utapokelewa sana kwa raha.Wagawe upaye kuwatawala simple yaani
Mpaka sasa, Jambo lilo wazi katika vita ya Ethiopia ni mkono wa nchi za magharibi katika mgogoro huo.
Baadhi ya viashiria vinavyoonyesha mkono wa nchi za magharibi katika vita hiyo:
Swali ni je, kwa nini nchi za magharibi zimewekeza sana katika kupindua utawala wa Ethiopia , na kuunga mkono vikundi vyengine vya waasi vilivyo na lengo la kujitenga barani Afrika??.
- matumizi ya magari ya FAO yaliyopeleka msaada wa vyakula na waasi wa TPLF.
- Ushahidi wa Marekani na washirika wake kuwapa taarifa za kisatelite waasi , zinazo onyesha mahali walipo wanajeshi wa Ethiopia.
- Social media ku ban akaunti za viongozi wa Ethiopia pamoja na wanaharakati wanaotetea nchi hiyo
- Kuzidi kwa propaganda dhidi ya serikali Ethiopia kutoka vyombo vya habari vya magharibi
- Uungaji mkono wa wazi, maadai ya kikundi cha waasi wa Tigray na nchi za magharibi
Wachambuzi wengi wa mambo ya Afrika wanaamini nchi nyingi za Afrika zitagawanywa ndani ya miaka 5 ijayo, je ni nini haswa lengo kuu la nchi za magharibi katika hili??
Wewe uwa ni propagandist, hakuna koment ya ukweli itatoka kinywani mwako.
Trump alisema :, UENDA misri ikashambulia ilo bwawa, wewe hapa unabwabwaja et alisema atatuma ndege kwenda kushambulia bwawa!!.
Shida ya Ethiopia ipo wazi ila kwasababu tushajijengea tabia ya kulaumu na kubebesha watu baki matatizo yetu ndiyo watu kama wewe wajuzi waku kutunga uwongo uwa ni comfort zone za mindsets za waafrica wengi.
Chief, uenda approach yangu ya kukusahihisha inakukwaza ila hilo haliondoi ukweli kuwa we ni mjuzi wa kuweka chumvi katika komenti zako.Nikwambie kitu, jifunze ku- agree to disagree without offending anyone hilo LA kwanza, la pili ambalo ni very crucial usitukane watu ovyo,we leta hoja mbadala zenye substance - don't think tunashindwa kutumia abrasive languages za vijiweni - bottom line,is: jifunze kuheshimu binadamu wenzako hata kama mna maoni tofauti.
Kwa taarifa yako Trump na like mind wenzake, notably: Pompeo na John Bolton ni binadamu ambao walikuwa driven na inbuilt rabid hatred ya everything Chinese, mara ngapi Bolton alikuwa anatumwa na Trump barani Africa ku-preach viongozi wa Afrika kuhusu ubaya wa ujio wa Wachina barani Africa, mpaka sasa wazungu specifically Uncle SAM wako overly obsessed na Wachina!!
Now back to the main point - binafsi niliwahi kumsikia Donald Trump kwenye forum fulani hivi, akizungumzia ubaya wa ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme la Ethiopia linalo tokana na msaada wa Wachina kiufundi, kifedha na ujenzi, alisema/tishia kwa kusema anaweza kuisadia Misri kwa kuvurumisha cruise missiles za kubomoa bwawa la kuzalisha umeme nchini Ethiopia, sasa sijui kama alikuwa anatania au alikuwa serious, si unajua tena mtu mwenye alikuwa unpredictable kama Tsunami tidal waves.
Kusisitiza maoni yangu, sina shaka jana uliona kwenye TV maelfu ya waandamanaji katika mji mkuu wa Ethiopia yaani Adis Ababa, je, walikuwa wanashutumu Taifa gani kwamba ndilo linalo chochea na ku-finance vurugu zinazo endelea nchini Ethiopia - ni wazi tunashuhudia kwa maranyingine tena yaliyo tokea Ukraine ndio yanajirudia hivi sasa huko Ethiopia - na kusema kweli huo ndio mwanzo kwa kile kitakacho kuja kutokea hapo mbeleni barani Afrika kama Viongozi wa Kiafrika wasipo lishtukia hilo nchi nyingi za Kiafrika zitakubwa na migogoro ya kupandikizwa na kutumia mwanya/vurugu hizo kusimika madarakani viongozi ma puppet watakao support bara la Afrika kuwa recolonised kwa mara nyingine tena kwa kutumia mbinu mpya ie plan "B" ya kutisha tisha viongozi wa Afrika kuhusu ujio wa Wachina Barani Afrika.
Look - binafsi sikulazimishi ukubaliane na maoni yangu,we toa maoni mbadala na sio unaishia ku-trade inept tirade. CHEERS.
Wapuuuz wakubwa wale na wabaguzi..shenz zao..walishawah kuwaita waafrica mbwaa wa kusini mwa jangwa la sahara. Wale hawapaswii kuwa katika umoja wa africaMisri pia ana mkono wako katika mgogoro huu. Naona juzi Egypt walitoa ombi rasmi la kuomba African Union ihamishe makao makuu kutoka Addis Ababa to Cairo. Jambo ambalo liliibua maswali mengi.
Ndo akili za wanyonge hizo [emoji1]Kila kitu mnawasingizia 'mabeberu'