Kwanini Nchi za Magharibi zinalenga kuzigawanya nchi nyingi za Afrika?

Hakuna mtu mshenzi kama mswahili.
 
Mbaazi zikikosa maua husingizia jua. Mawazo kama haya nimeyasikia tangu nikiwa shule ya msingi, sekondari na vyuo vikuu na sitaki niyasikie tena katika umri huu wa mtu mzima. Hii blame game haitatupeleka kokote. Kama tunajua nchi za magharibi zinatugawa au zina lengo la kutugawa Afrika, kwa nini tukubali kugawika? Tatizo ni wao au sisi?

Tusipojua tatizo letu liko wapi (tukiendelea kulitafuta tatizo kwa wengine) hatutaweza kuendelea/tutabakia kutawaliwa kifikira na materially. Tuondokane na kutafuta mchawi au kama tunamtafuta mchawi tumtafute withini us na siyo nje, tunapoteza muda bure!
 
Kwa TZ haitatokea sababu sisi ni makondoo na tunaaminishwa kuwa ni kisiwa cha ama [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] kwaiyi Tz kutokupigana ni ukondoo
 
DIVIDE AND RULE
 
Watigray endeleeni kuchapa kazi na huyo Abiy mkimpata hakikisheni mnapiga mboroh kabisa.
 
Nyinyi wenyewe mnajitengenezea migogoro na wananchi wenu na mnaanza kuwalaumu wazungu,,
 
Abiy Ahmed sio Muislam n mkristo wa madhehebu ya kilokole
 
Wakenya hawana adabu ndio maana tuwafanyia figisu. Wanakujaga humu na maneno ya dharau kuwa sisi hatuwezi fanya lolote kuwazidi wao wapo vema zaidi.

Wanatakiwa kuwa na adabu sana na taifa linalotumia bidhaa maana sisi ndo madon kwao why wanaleta dharau?!
 
Nyie mnajadili kishabiki sana Abey aliingia kichwakichwa tangiray na hakujua yapi yatakayotokea alikuwa na nafasi kubwa sana ya kumaliza huu mzozo Kwa njia ya mazungumzo toka mwanzo na Aya Mambo yasingefikia apa huwezi tatua mzozo WA ndani ya nchi Kwa kwendaa kupigana vita Kwa watu walioshika sehemu zote nyeti za nchii ni ujinga Tu alafu mnasema kuna mkono wa mzungu mzungu anaweza kuwepo Ila asilimia 90 huu mzozo aliukolezea Moto yeye mwenyewe Abey
 
Africa inateketezwa na waafrica wenyewe.
Think of madikteta wanavyowauwa wanavyowauwa wanaichi wao wenyewe?

Rais linachuki wazi wazi na kabila lingine?
Rais anachezea katiba atakavyo?
Shida ya Africa ni sisi wenyewe
 
Huu ni Ukosefu wa akili kudhani na kulaumu nchi za Magharibi!!Usiwe na dhana potofu kudhani kila kitu unahujumiwa!Jiulize kwanza!!Tusiwe kana nchi za kiarabu kudhani kila changamoto yao basi Israel inahusika!!Mchawi wa mwafrika ni mwafrika mwenzake tuache visingizio visivyokuwa na maana.
 
Na kwa nini kila anayeipinga serikali aitwe muasi, kwani lazima ukubaliane na serikali kwa kila kitu?
 
Kuwa na akili ni kuamini kwamba hakuna mkono wa nchi za magharibi kwenye mzozo wa Ethiopia.

Labda nikuulize kwanini tweets za government supporters zilipoanza kutrend twitter wakafuta lakini za TPLF wakaziacha? Vilevile ni mara ngapi unasikia vyombo vyao vikitangaza kuhusu Maikadra Massacre au Kombolcha Massacre, jibu ni mara chache au hata wakitangaza wanatangaza kwamba "serikali ya Ethiopia imesema TPLF wameua watu kadhaa" wakati kwa serikali inageuzwa kwamba "serikali inaua raia wasio na hatia hata kama ni TPLF members". Hayo magari yaliyobeba chakula hadi leo hayajarudi sasa jiulize yameenda wapi

Hawa TPLF wanaungwa mkono na Marekani sababu wao ni mabepari na ipo hivyo tangu wanachukua nchi toka kwa wajamaa, bila shaka Marekani hajapenda ushirikiano wa China(wajamaa) na Ethiopia hasa kuhusu lile bwawa lakini pia uhusiano ulioanza wa Ethiopia na Eritrea(kumbuka Eritrea sio mabepari lakini pia wana vikwazo lukuki toka Marekani). TPLF ni silaha ya Marekani kwa Abiy.

Meles Zenawi alikuwa anapanga mipango na Marekani jinsi ya kuiadhibu Eritrea kwa kuiwekea vikwazo na kupandikiza waasi lakini leo hii Abiy amewageuza marafiki kinyume na matakwa ya Marekani. Ushahidi huu hapa; paragraph 6 & 7(wikileaks cable)
Cable: 09ADDISABABA2817_a

Patrice Lumumba kauliwa na CIA na ipo wazi tu, mapinduzi ya Mali na Guinea unajua nini kipo nyuma yake au unaamini hizi stori ya mapinduzi yamefanyika kuleta demokrasia? Vitu havitokei kwa bahati mbaya tu.

Hata huko Middle East Israel, Marekani na Nato wamehusika kuharibu zile nchi ila hiyo ni topic ya siku nyingine.
 

Kumbuka Al Sisi ni myahudi na anapata nguvu kutoka kwa matajiri wakubwa na viongozi wenye asili hiyo huko USA
Naona uko sahihi kabisa
 
Kadri waafrika tutakavyo zidi kutafuta mchawi kwa matatizo yetu ndivyo tutakavyo endelea kuwa mafukara.

Tuna viongozi wa hovyo ambao hawapo popote duniani ila Afrika tu sasa kwa nini tusiwe hivi tulivyo. Kila uchao wazungu, wazungu wakati wazungu wenyewe wako makwao huko.

Wakati mataifa mengi ya Afrika yanapewa uhuru kuna wazungu walitabiri kuwa hawa kamwe hawataweza kujitawala na ndicho kilichotokea.
 
Ukabila/ ukanda ndio unaoitesa Ethiopia hakuna mkono wa mtu hapo.
 
Tatizo lilianza walipo gawa mipaka ya Nchi na kuweka Nchi za kiarabu kuwa pamoja na Nchi za Kiafrika asili.chochote kitakachofanyika na nchi za kiafrika jua fika Algeria,Egypt, Morocco, Libya na Tunisia watakuwa wanawachora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…