#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

We jamaa unaishi wapi, Tanzania hii au nga'ambo?
 
Unaiamini Serikali inayosema uongo wakati dhalimu magufuli yuko hoi bin taabani akikaribia kufa tukaambiwa yuko Ikulu anachapa kazi? 😳😳😳

 
haya mwanasayansi hujui mechanism ya generation ya virus before 72 hours, MAMA na mzee wapo sahihi, na wasingekuwa sahihi nani hakuona dalili za covid vipi amekufa? HOFU HOFU HOFU, bora niogope malaria au ukimwi si coromea hukohuko
Ulanzi
 
Upo sawa sawia mkuu👏!
 
Upo sawa sawia mkuu👏!
 
Hebu acha maswali ya kipuuzi!!! Mahali ninapoishi panahusu nini na ninachoandika humu?
Kama upo TZ utajua ninachokizungumza na sio NADHARIA za media na the so called viongozi wako.

Sisi mtaani hatuwaoni hao wagonjwa wala hatuna misiba ya mara kwa mara zaidi ya ajali sijui huko kwenu
 
Unaiamini Serikali inayosema uongo wakati dhalimu magufuli yuko hoi bin taabani akikaribia kufa tukaambiwa yuko Ikulu anachapa kazi? [emoji15][emoji15][emoji15] View attachment 1837123
Hawa hawa ndio wanakuambia kuna KORONA na unawaamini.

Kwa hili sipo na serikali maana itikadi yangu ni mabadiliko siungi mkono SERIKALI YA CCM maisha ila kwa KORONA upinzani na CCM MNAODAMKA NGOMA MOJA.

Hatupo pamoja kwa kweli
 
Hahahahahaha umewahi kuwasikia madaktari wakisema kwamba hawana uhuru wa kusema kuhusu hali halisi ya COVID-19 nchini? Unawaamini
hawa wanasiasa waongo!?

Kama upo TZ utajua ninachokizungumza na sio NADHARIA za media na the so called viongozi wako.

Sisi mtaani hatuwaoni hao wagonjwa wala hatuna misiba ya mara kwa mara zaidi ya ajali sijui huko kwenu
 
Hahahahahaha umewahi kuwasikia madaktari wakisema kwamba hawana uhuru wa kusema kuhusu hali halisi ya COVID-19 nchini? Unawaamini
hawa wanasiasa waongo!?
We jamaa bhana umewasahau hao madaktari wakati.wa Jiwe walivyoruhusu hadi NYUNGU MUHIMBILI[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]


HAWAHAWA NDIO WALIPIMA MAPAPAI NA MBUZI na kuwakuta na KORONA??

USIJISAHAULISHE
 
Huko Canada watu wanakufa kwa joto. Sisi Watanzania tumshukuru Mungu tu maana hata hiyo corona hatuchukui tahadhari yoyote. Unaowaona wamevaa barakoa kwenye mikutano wakitoka hapo wanavua wanapanda daladala

 
Waliruhusu kivipi? Hebu tumia akili zako banaaa! Acha KUDEMKA!!!!! Madaktari wapi walisomea kuhusu nyungu!? Kama walisomea kuhusu nyungu imekuwaje tena nyungu isitishwe? Na wewe unaamini eti mapapai yalipimwa hahahahahaha!!! Yule kubwa la waongo dhalimu mwendazake alikuwa anawakusanya Watanzania wengi sana kwa uongo wake.

We jamaa bhana umewasahau hao madaktari wakati.wa Jiwe walivyoruhusu hadi NYUNGU MUHIMBILI[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]


HAWAHAWA NDIO WALIPIMA MAPAPAI NA MBUZI na kuwakuta na KORONA??

USIJISAHAULISHE
 
Tanzania mbona watu wanadunda tu mtaani bila tahadhali yoyote na hatuone wagonjwa kama ilivyokuwa katika "wimbi" la kwanza?
Hao wimbi la kwanza ungewafahamu vipi kama sio kupitia takwimu zilizokuwa zinatolewa?!

Hizo nchi zingine umejuaje kwamba, pamoja na tahadhali zote wanazochukua lakini ndizo zinazoongoza kwa maambukizi kama sio kupitia takwimu wanazotoa kila siku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…