#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

Lakini si watu wanaoishi nchi za tropical ingawa wanatumia dawa, lakini wanafariki pia? Mfano, kwa mujibu wa www.severemalaria.org, Tanzania is among the ten countries with the highest malaria cases and deaths (3% of the global cases, 13.4% of cases in East and Southern Africa and 5% of global deaths).
Mkuu kuhusu malaria wala sina shida na UTAFITI.
 
Corona bongo haipo watuache tuendelee na uzalishaji haya mambo ya wanaharakati wa bongo kushadadia kila kitu cha kimagharibi ni upuuzi.
Kula GWARA MKUU[emoji1306][emoji1306][emoji1306]
 
Mimi niko Marekani hapa, we ni nani amekwambia hivyo? Kinga hizi zina kiwango cha efficacy yake na data ziko wazi. Hakuna kinga ambayo ni 100% na hizi hali kadhalika. Mfano Pfizer nadhani efficacy yake ni 96%. Hii ina maana kuna asilimia 4 ambao bado wanaweza kuambukizwa hata baada ya kuchanjwa. Na uzuri ni kwamba hata waliochanjwa wakiambukizwa mara nyingi severity ya ugonjwa ni ndogo na hata hawahitaji kulazwa labda kama ni wazee au kama wana compromised immune system kutokana na magonjwa kama kansa na mengineyo yanayoshambulia kinga ya mwili. Marekani hapa kila kitu kilikuwa kimefungwa nchi inapoteza mabilioni ya dola kila siku na sasa wamechanjana zaidi ya asilimia 60 kila kitu kimefunguliwa na maisha yanarudi kama kawaida. Sasa hizi stori za vijiweni huko sijui mnazipata wapi!
Watu wanapenda ku'rationalise' mambo hata kama hoja wanazotoa zinapingana na hitimisho wanalolilenga. Tuna hulka ya kuamini amini amini kauli za watu bila kuzi'critique' na hili ndilo tatizo la wachangiaji wengi. Let's be critical of ourselves first before we are critical of other people.
 
Mpumbavu mwingine huyu!!!



Hayati Magufuli hakuwa dhalimu kama ulivyo mwongelea hapo juu vibaya. Instead alikuwa mpenda haki, kipenzi cha wanyonge, mchapa kazi, asiyependa ufisadi na unyonyaji mwana mwema wa Africa. Wanao na wajukuu zako watasoma hivyo na wataelewa.
Mwenye chuki kama wewe ni muhanga wa matendo mema ya jpm. So sadist Pole.
 
Mkuu wimbi la kwanza kila.mgonjwa aliyefariki hakuambiwa amefariki na nini kama utakumbuka kuna waliolalamika ila pia kulitokea vifo vingi kiasi
Man, unless kama umesahau lakini walikuwa wanatoa takwimu za waliokufa! And REMEMBER, mwanzoni walikuwa wanabania bania kutoa takwimu na hivyo maambukizi yakaonekana machache sana!!

Kufika somewhere in April katikati, ndipo wakaanza kutoa takwimu rasmi, and by the time wagonjwa walikuwa less than 50!! Sasa walipoanza kutoa takwimu, ndo namba ika-shoot ghafla, na kufikia Mei mwanzoni, idadi ikawa imepanda from less than 50 to 509, huku vifo vikiwa 21!

Kuona hivyo, Magu akapiga marufuku utoaji wa takwimu!!
IMPACT YAKE ilionekana VIVID Mtaani ila sil Kwa kiwango cha nchi zingine LILIPOPITA tumekuwa shwari kabsaa ukiachana na vifo vya viongozi ila kitaa shwari tu
Mtaani ilikuwa inaonekana, na video kusambaa mitandaoni kwa sababu by the time tunatoa takwimu, maiti zilikuwa zinazikwa kwa utaratibu maalumu, na serikali ndiyo ilikuwa ina-handle hayo mazishi; na ndipo tukaanza kuona video za watu wakiwa wamevalia mavazi maalumu na kuzika!!

Magu alipopiga marufuku ya kutoa takwimu, marufuku hiyo pia ikahusu maiti kwamba zisizikwe na serikali jambo lililokuwa lina-attract attention na yale mavazi yao (tena walikuwa wanazika usiku)!

Kuanzia hapo, hata wale walioonekana wamefariki kwa corona, bado ndugu walipewa maiti, huku msamiati nao ukibadilika na kuwa ugonjwa wa changamoto ya kupumua!
 
Juzi Rais wa Rwanda katangaza kufunga vyuo na shule kuanzia 01.07.2021
Kenya curfew imekuwa extended for 60 more days
Uganda Ligi kuu imelazimishwa kumalizika coz ya Covid
Burundi, India, Brazil na nyingine mambo ni yaleyale.

Tanzania mbona watu wanadunda tu mtaani bila tahadhali yoyote na hatuone wagonjwa kama ilivyokuwa katika "wimbi" la kwanza?

Hatuoni Kila duka/ kibanda/ofisi kuwa na ndoo zenye maji na zinazotumiwa kikamilifu na kila mtumiaji.
Barakoa wanatumia watu wachache saaana
vitakasa mikono huvioni kama zani vilikuwa ninaning'inia kwenye luksi kama keyholder, mikono ya pochi za wanawake.

Ila matangazo kwa upande ya mataifa mbalimbali yamekomalia saana uwepo wa hii kitu hapa TZ

imagine MAMA juzi kasema TZ kuna wagonjwa 100 tu

100/50,000,000 = 0.0002%

DISCO, kama kawa, mwendokasi kama kawa, njumba za Ibada kama kawa full nyomi .

na kwa kuudhihirishia ulimwengu waje KWA MKAPA 03.07.2021 washangae

CORONA TZ HAMNA. kama mnataka fedha za COVAX fine ila MSITUTISHE!!!!!



KWA HILI NASIMAMA NA DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
=================================


Chanjo tunazopewa sasa bure ni weak and wao wenyewe hawazitumii ni kwa ajili ya kufubaza kinga zetu za asili ili the so called "NEXT WAVE" ikija tupukutike kama kuku wa mdondo and THEN CHANJO ZITAKUWA VERY EXPENSIVE.

HAPO NDIO TUTAKAPOPIGWA PESA MAANA ITAKUWA[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]


BUY OR DIE!!!!!
Wake up guys, hujiulizi kwanini tunabembelezwa kuchanjwa??
Mkuu uko sahihi na hata kama bado kuna wanaogua corona nchini basi ni idadi ndogo sana tajwa hapo juu kulinganisha na idadi ya wananchi.
 
Man, unless kama umesahau lakini walikuwa wanatoa takwimu za waliokufa! And REMEMBER, mwanzoni walikuwa wanabania bania kutoa takwimu na hivyo maambukizi yakaonekana machache sana!!

Kufika somewhere in April katikati, ndipo wakaanza kutoa takwimu rasmi, and by the time wagonjwa walikuwa less than 50!! Sasa walipoanza kutoa takwimu, ndo namba ika-shoot ghafla, na kufikia Mei mwanzoni, idadi ikawa imepanda from less than 50 to 509, huku vifo vikiwa 21!

Kuona hivyo, Magu akapiga marufuku utoaji wa takwimu!!

Mtaani ilikuwa inaonekana, na video kusambaa mitandaoni kwa sababu by the time tunatoa takwimu, maiti zilikuwa zinazikwa kwa utaratibu maalumu, na serikali ndiyo ilikuwa ina-handle hayo mazishi; na ndipo tukaanza kuona video za watu wakiwa wamevalia mavazi maalumu na kuzika!!

Magu alipopiga marufuku ya kutoa takwimu, marufuku hiyo pia ikahusu maiti kwamba zisizikwe na serikali jambo lililokuwa lina-attract attention na yale mavazi yao (tena walikuwa wanazika usiku)!

Kuanzia hapo, hata wale walioonekana wamefariki kwa corona, bado ndugu walipewa maiti, huku msamiati nao ukibadilika na kuwa ugonjwa wa changamoto ya kupumua!
Walizika wapi maana MOROGORO kuna watu.walisema maeneo ya MIZANI KUNA MAZISHI YA USIKU DK MKUU AKAENDA WAKAAMBIWA WAONESHE MAKABURI YALIPO WAKASHINDWA.
 
Mkuu uko sahihi na hata kama bado kuna wanaogua corona nchini basi ni idadi ndogo sana tajwa hapo juu kulinganisha na idadi ya wananchi.
Kweli mkuu hizi propaganda ndio hatuzitaki
 
Watu wanapenda ku'rationalise' mambo hata kama hoja wanazotoa zinapingana na hitimisho wanalolilenga. Tuna hulka ya kuamini amini amini kauli za watu bila kuzi'critique' na hili ndilo tatizo la wachangiaji wengi. Let's be critical of ourselves first before we are critical of other people.
Hoja yako ni ipi maana hapa kuna pande mbili jipambanue upo kundi gani
 
Walizika wapi maana MOROGORO kuna watu.walisema maeneo ya MIZANI KUNA MAZISHI YA USIKU DK MKUU AKAENDA WAKAAMBIWA WAONESHE MAKABURI YALIPO WAKASHINDWA.
Ingia Insta Account ya Wizara ya Afya May 03, 2020 utakuta hii taarifa ya wizara ikieleza mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na:-
Covid.png


Sasa kama maiti hazikuwa zinazikwa usiku, Mganga Mkuu wa Serikali alikuwa anapiga marufuku ya nini?!
 
Magufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa ,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi
View attachment 1836744
Mkuu umeongea point huyu mama anafanya kila jambo kavaa mabarakoa wananchi hawavai kasema kuna wagonjwa watu hata chembe ya hofu hawana ole wake aweke lockdown ndio tutapompinga hadharani R.I.Pmwendazake umeacha alama
 
Mkuu umeongea point huyu mama anafanya kila jambo kavaa mabarakoa wananchi hawavai kasema kuna wagonjwa watu hata chembe ya hofu hawana ole wake aweke lockdown ndio tutapompinga hadharani R.I.Pmwendazake umeacha alama
[emoji56][emoji56][emoji56][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom