#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

Haya Madaktari walitakiwa waongee hadharani bila woga lakini hawana uhuru huo. Acha ubishi wa KITOTO/KIPUMBAVU.

BE WARNED

Stay at Home

From: A DOCTORS' GROUP KMA

Tafsiri ya haraka na Isaac Mruma.

UNAONYWA

Baki Nyumbani

KUTOKA KWA: MADAKTARI

Kirusi kimerudi, na wakati huu kimekuja na nguvu zaidi, mbinu za ziada na kwa kificho.

Hatukohoi, hakuna homa: ni maumivu tu ya viungo, kuishiwa nguvu, kupoteza hamu ya chakula na homa ya mapafu (nimonia) ya UVIKO (COVID)!
Kiukweli, idadi ya wanaofariki ni kubwa zaidi; ina chukua muda mfumo zaidi ugonjwa kufikia hali mbaya.
Wakati mwingine hakuna dalili za ugonjwa.. tuwe makini.

Hii ya sasa haijitokezi kwenye sehemu za pua na koo!
Inaathiri mapafu, hivyo inachukua muda mfupi zaidi.

Kuna wagonjwa kadhaa wasio na homa; lakini taarifa za X-ray zinaonyesha wana nimonia ya kifua!
Kipimo cha kupitia puani hakionyeshi UVIKO 19 (COVID 19)!

Hii inaonyesha kirusi kina kwenda moja kwa moja kwenye mapafu. Ndio maana hiki cha sasa ni hatari na kinaua zaidi.

Kuwa makini na epuka sehemu zenye mikusanyiko; vaa Barakoa, Nawa mikono yako mara kwa mara.

WIMBI hili la kirusi ni la hatari kuliko la kwanza na la pili. Hivyo tunawajibika kuwa makini sana na kuchukua tahadhari zote.

Sambaza ujumbe huu kwa watu wengi iwezekanavyo, kwa marafiki na Familia.

Tafadhali chukua tahadhari na uwe salama!

Copied from another group


Wapi walizika usiku maana ilisemwkana KIHONDA Morogoro Dk mkuu akaenda akauliza wananchi makaburi yalipo wakashindwa kuonesha.

Pia kumbuka unaongelea wimbi la kwanza ambalo ilikuja ikatikisa ikasepa zake MaziMa
 


Wapi walizika usiku maana ilisemwkana KIHONDA Morogoro Dk mkuu akaenda akauliza wananchi makaburi yalipo wakashindwa kuonesha.

Pia kumbuka unaongelea wimbi la kwanza ambalo ilikuja ikatikisa ikasepa zake MaziMa
 
Haya Madaktari walitakiwa waongee hadharani bila woga lakini hawana uhuru huo. Acha ubishi wa KITOTO/KIPUMBAVU.

BE WARNED

Stay at Home

From: A DOCTORS' GROUP KMA

Tafsiri ya haraka na Isaac Mruma.

UNAONYWA

Baki Nyumbani

KUTOKA KWA: MADAKTARI

Kirusi kimerudi, na wakati huu kimekuja na nguvu zaidi, mbinu za ziada na kwa kificho.

Hatukohoi, hakuna homa: ni maumivu tu ya viungo, kuishiwa nguvu, kupoteza hamu ya chakula na homa ya mapafu (nimonia) ya UVIKO (COVID)!
Kiukweli, idadi ya wanaofariki ni kubwa zaidi; ina chukua muda mfumo zaidi ugonjwa kufikia hali mbaya.
Wakati mwingine hakuna dalili za ugonjwa.. tuwe makini.

Hii ya sasa haijitokezi kwenye sehemu za pua na koo!
Inaathiri mapafu, hivyo inachukua muda mfupi zaidi.

Kuna wagonjwa kadhaa wasio na homa; lakini taarifa za X-ray zinaonyesha wana nimonia ya kifua!
Kipimo cha kupitia puani hakionyeshi UVIKO 19 (COVID 19)!

Hii inaonyesha kirusi kina kwenda moja kwa moja kwenye mapafu. Ndio maana hiki cha sasa ni hatari na kinaua zaidi.

Kuwa makini na epuka sehemu zenye mikusanyiko; vaa Barakoa, Nawa mikono yako mara kwa mara.

WIMBI hili la kirusi ni la hatari kuliko la kwanza na la pili. Hivyo tunawajibika kuwa makini sana na kuchukua tahadhari zote.

Sambaza ujumbe huu kwa watu wengi iwezekanavyo, kwa marafiki na Familia.

Tafadhali chukua tahadhari na uwe salama!

Copied from another group
We baki nyumbani na KORONA YAKO sisi tunashonana kesho kwa Mkapa
 
[emoji881][emoji881][emoji881]vs[emoji196][emoji196][emoji196]View attachment 1838065
Kipindi kile Magufuli ndio anatangaza hakuna corona na kufungulia mashule na shughuli zengine basi watu wakawa wanasikilizia matokeo yatakuaje kwa kuruhusu hiyo mikusanyiko, ila siku zilizidi kwenda na hakuna kilichotokea. Sasa hivi hiyo mikusanyiko washaizoea wenye sababu zao ni kwamba hatuna takwimu na kwamba corona haina athari kwa vijana kwamba Tanzania wazee wachache ndio maana hatuoni watu hospitali kujaa wagonjwa kwa sababu ya corona kwa sababu wazee ndio waathirika wa corona.
 
Endelea kujiaminisha ujinga. Wajinga ndivyo walivyo!! Yule mjinga mwingine aliamini ujinga wake na hakuchukua tahadhari zozote leo wanamuita mwendazake.
Kwahiyo waliyokufa na corona ni wale tu ambao hawakuchukua tahadhari?
 
Haya Madaktari walitakiwa waongee hadharani bila woga lakini hawana uhuru huo. Acha ubishi wa KITOTO/KIPUMBAVU.

BE WARNED

Stay at Home

From: A DOCTORS' GROUP KMA

Tafsiri ya haraka na Isaac Mruma.

UNAONYWA

Baki Nyumbani

KUTOKA KWA: MADAKTARI

Kirusi kimerudi, na wakati huu kimekuja na nguvu zaidi, mbinu za ziada na kwa kificho.

Hatukohoi, hakuna homa: ni maumivu tu ya viungo, kuishiwa nguvu, kupoteza hamu ya chakula na homa ya mapafu (nimonia) ya UVIKO (COVID)!
Kiukweli, idadi ya wanaofariki ni kubwa zaidi; ina chukua muda mfumo zaidi ugonjwa kufikia hali mbaya.
Wakati mwingine hakuna dalili za ugonjwa.. tuwe makini.

Hii ya sasa haijitokezi kwenye sehemu za pua na koo!
Inaathiri mapafu, hivyo inachukua muda mfupi zaidi.

Kuna wagonjwa kadhaa wasio na homa; lakini taarifa za X-ray zinaonyesha wana nimonia ya kifua!
Kipimo cha kupitia puani hakionyeshi UVIKO 19 (COVID 19)!

Hii inaonyesha kirusi kina kwenda moja kwa moja kwenye mapafu. Ndio maana hiki cha sasa ni hatari na kinaua zaidi.

Kuwa makini na epuka sehemu zenye mikusanyiko; vaa Barakoa, Nawa mikono yako mara kwa mara.

WIMBI hili la kirusi ni la hatari kuliko la kwanza na la pili. Hivyo tunawajibika kuwa makini sana na kuchukua tahadhari zote.

Sambaza ujumbe huu kwa watu wengi iwezekanavyo, kwa marafiki na Familia.

Tafadhali chukua tahadhari na uwe salama!

Copied from another group
Kama idadi wanaokufa ni wengi basi pia wagonjwa nao ni wengi huko hospitali.
 
Juzi Rais wa Rwanda katangaza kufunga vyuo na shule kuanzia 01.07.2021. Kenya curfew imekuwa extended for 60 more days
Uganda Ligi kuu imelazimishwa kumalizika coz ya Covid. Burundi, India, Brazil na nyingine mambo ni yaleyale.

Japan wametangaza WIMBI LA TANO [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] they're always ahead of a time.

Tanzania mbona watu wanadunda tu mtaani bila tahadhali yoyote na hatuoni wagonjwa kama ilivyokuwa katika "wimbi" la kwanza?

Hatuoni Kila duka/ kibanda/ofisi kuwa na ndoo zenye maji na zinazotumiwa kikamilifu na kila mtumiaji.

Barakoa wanatumia watu wachache sana.

Vitakasa mikono huvioni kama zamani vilikuwa ninaning'inia kwenye luksi kama keyholder na kwenye mikono ya pochi za wanawake.

Ila matangazo kwa upande ya mataifa mbalimbali yamekomalia saana uwepo wa hii kitu hapa Tanzania.

Imagine MAMA juzi kasema Tanzania kuna wagonjwa 100 tu.

100/50,000,000 = 0.0002%

Disco kama kawa, Mwendokasi kama kawa, Nyumba za Ibada kama kawa full nyomi. Daladala nyakati za asubuhi na jioni tunashonana kama kawa.

Kwa kuudhihirishia ulimwengu Bongo KORONA HAIPO WAJE KWA MKAPA 03.07.2021 washangae. Tunacheki game bila BARAKOA halafu tunaenda home kulala kiroho safi[emoji28][emoji28]

CORONA TZ HAMNA!!!

Kama mnataka fedha za COVAX fine, ila MSITUTISHE!

KWA HILI NASIMAMA NA DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI.
===

Chanjo tunazopewa sasa bure ni weak and wao wenyewe hawazitumii ni kwa ajili ya kufubaza kinga zetu za asili ili the so called "NEXT WAVE" ikija tupukutike kama kuku wa mdondo and THEN CHANJO HALISI ZITAKUWA VERY EXPENSIVE.

HAPO NDIO TUTAKAPOPIGWA PESA MAANA ITAKUWA[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]

BUY IT OR DIE!

Wake up guys, hujiulizi kwanini tunabembelezwa kuchanjwa?

Mzigo ushawasili Bongo kazi kwenuView attachment 1837452
Mawazo yako yamejadiliwa kwa urefu sana jion ya leo BBC na yamefafanuliwa kwa undani kwa kua ni hofu zinazoenezwa kwanza kwa propaganda na pili ni kama kujengana hofu
 
Nijifukize ili iweje wakati ugonjwa haupo,

Mkuu sema UKWELI WE UNASHINDA NA BARAKOA??? SEMA UKWELI sio tunabishana mitandaoni tu

Ukweli unaujua ila unataka kupotosha tu , nenda mloganzila utapata idadi ya wagonjwa wa korona , uliona clip ya mama samia mwananyamala?
 
Ukweli unaujua ila unataka kupotosha tu , nenda mloganzila utapata idadi ya wagonjwa wa korona , uliona clip ya mama samia mwananyamala?
Ile clip Mama anaambiwa wale ni wagonjwa wa matatizo ya kupumua ila yeye analazimisha kuambiwa ni covid.
 
Kipindi kile Magufuli ndio anatangaza hakuna corona na kufungulia mashule na shughuli zengine basi watu wakawa wanasikilizia matokeo yatakuaje kwa kuruhusu hiyo mikusanyiko, ila siku zilizidi kwenda na hakuna kilichotokea. Sasa hivi hiyo mikusanyiko washaizoea wenye sababu zao ni kwamba hatuna takwimu na kwamba corona haina athari kwa vijana kwamba Tanzania wazee wachache ndio maana hatuoni watu hospitali kujaa wagonjwa kwa sababu ya corona kwa sababu wazee ndio waathirika wa corona.
Nchi ina vilaza wengi sana wenye akili za kushikiwa
 
Mawazo yako yamejadiliwa kwa urefu sana jion ya leo BBC na yamefafanuliwa kwa undani kwa kua ni hofu zinazoenezwa kwanza kwa propaganda na pili ni kama kujengana hofu
Aikusikiliza huo mjadala ila wako sahihi kwa mujibu wa ulichokieleza
 
Ukweli unaujua ila unataka kupotosha tu , nenda mloganzila utapata idadi ya wagonjwa wa korona , uliona clip ya mama samia mwananyamala?
Mkuu mi naishi maeneo hayo so naenda mara kwa mara pale NMB Mloganzila we ndio njoo kama utaona kosta zikiondoka na misiba kama mwaka jana "1wave"
 
Mkuu fuatilia nandy festival anawasha kila mkoa mpira kama kawaida watazamaji hakuna waziri mkuu wala makamu wa raisi anavaa mibarakoa yake labda aanze kuzika majeneza feki ndio atafanikiwa bila hivyo atuache tuu mama sisi hatuna shida nae kabisa hili taifa teule Mungu amelibariki
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️
 
Again. Wewe na watu wengi wenye mlengo wa Magufuli kuna details mnazi-mis. Hii ni kutokana na pengine kutokuelewa kiingereza sawasawa au uvivu wa kusoma makala na maelezo ya kitaalam kuhusu huu ugonjwa. Unaposikia vifo au hospital kuelemewa katika nchi kama USA au Ulaya kwa ujumla, wengi wa victims ni wazee wa miaka 65 na kuendelea. Sasa niambia, Bongo population ya wazee ipo kwa kiasi gani? Wazee wengi wenye miaka hiyo walishatangulia mbele ya haki. Kwa kuangalia demografia ya population ya nchi yetu, wengi ni miaka 35 kwenda chini, na huu umri kwa korona huwezi kuona effects zake kwa ukali. Bado nasisistiza statistics kama zingekuwa zinachukuliwa, Tanzania tumeshapoteza watu wengi tu kwa kulinganisha na umri wa population yetu. Nyie mnapiga bla bla bila na kulinganisha nchi inayoacha mambo yajiendee vs nchi zinazorekodi karibu kila mgonjwa na vifo.

Unajitahidi kupuyanga lakini bado una miss some point!!
Umri wa uzee ni kuanzia miaka 60 na kuendelea—-

Sasa kama ni hivo tuna wazee wangap wenye miaka ya 60-69 hapa
Tuje kwene 70-79
Unadhan nao n population ndogo kiasi kwamba wangekua wanakufa kama ulaya tusingeona impact?
Wazungu wenyewe wanakili kua africa corona haifanyi vizuri kwa death rate kama walivyo predict

Mwanzon walitabir corona ingeleta mamilion ya vifo africa kuliko bara lingine lolote!!! But africa has been a least
 
Unajua kuna dunia hii wainga hawaishi. Dunia yote kuanzia Uchina, Ujapani, India, Uarabuni, Urusi, Ulaya Magharabi, Mashariki ya Kati na Amerika wote wanazungumza lugha moja. Halafu wanatokea wajinga wachache wenye shahada za sayansi za uchochoroni wanawakosoa. Ujinga ulioje huu. Nilimsikia rais Samia juzi alipoulizwa maswali anasema anadhani mtu akijifukiza wakati virus ''wakiwa bado koooni'' kabla hawajaingia kwenye mapafu wanaweza kufa!!! Hii unaweza kuona kabisa ni sayansi ya vichakani na watu hawajui hata kidogo virus wanavyoambukiza na kusambaa ndani ya mwili. Magufuli hivyo hivyo alikuwa anasema ukijifukiza na mvuke wenye temperature 100 degraa cg eti virus hawa-survive!!!! Unaweza kuona kabisa hawajui jinsi virus wanavyoji-attach kwenye cells za mwili

Wao cyo wana sayansi ndo maana wakatumia neno nafikiri fanya research yako afu uje upinge kwa research!!cyo unabwata

Huu n ugonjwa mpya hamna nchi ambayo imeujulia sawa sawa !!bado wana explore!!
 
Back
Top Bottom