#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

Unajitahidi kupuyanga lakini bado una miss some point!!
Umri wa uzee ni kuanzia miaka 60 na kuendelea—-

Sasa kama ni hivo tuna wazee wangap wenye miaka ya 60-69 hapa
Tuje kwene 70-79
Unadhan nao n population ndogo kiasi kwamba wangekua wanakufa kama ulaya tusingeona impact?
Wazungu wenyewe wanakili kua africa corona haifanyi vizuri kwa death rate kama walivyo predict

Mwanzon walitabir corona ingeleta mamilion ya vifo africa kuliko bara lingine lolote!!! But africa has been a least
[emoji1756][emoji1306][emoji1320][emoji1320] wasitupange bhana
 
Wao cyo wana sayansi ndo maana wakatumia neno nafikiri fanya research yako afu uje upinge kwa research!!cyo unabwata

Huu n ugonjwa mpya hamna nchi ambayo imeujulia sawa sawa !!bado wana explore!!
Wasitufanye.sisi panya wa majaribio


NEVER!!!!!!!!!
 
CORONA ni biashara tena ya wale wafanya biashara wakubwa in T&C Applied. Mwananchi wa hali ya kawaida hawezi kuelewa kwa haraka swala hili. Bei ya Masks&sanitizer inauzwaje kwenu? Kipimo cha PCR je? Vaccine itakuja wanaohitaji wataipata bure bwerere, lakini itafika mahali utauziwa hapo baadae tunning inaenda pole pole tu. Itafika pahala kama huna vaccine hutaweza ku gain access kwenye mambo kama safari na sehemu nyingine kama vyuo and other leisure issues. Nchi zenye uchumi wa chini/kati viongozi wake ni wakuangaliwa kwa makini before it turn to worse situation. NI wazi nchi ikikataa kuchukua vaccine private hospital/medical centers watachukua na tutauziwa hii mambo
 
Maswali yako ni ya kipumbavu JIONGEZE ili ujue yanayojiri duniani siyo kuja hapa kuuliza maswali ambayo majibu yake yako wazi kabisa mtandaoni.

Kwa akili yako finyu unadhani walikurupuka tu from nowhere and recommend to the whole World that we should wear masks in order to prevent new cases of this killer virus!? 😳😳😳

View attachment 1837947
Kuvaa mask kunaunyima mwili nafasi ya kujijengea kinga. Bisha halafu tuendelee kuanzia hapo.
 
Inasemekana covid ya india inaambukiza waliochanjwa na wasichanjwa. Halafu variant ya india inayoitwa delta naua zaidi waliochanjwa 68asilimia waliochanjwa wakiipata wanakufa. Tathmini ni kuwa ukichanjwa unapoteza nguvu ya mwili kujipambania na hiyo sina au nyingine yoyote itakayokuja kwa hiyo unaweza poteza maisha kwa sina yoyote mpya ya covid. Sasa wataalamu wameshauri kule marekani wote waliochanjwa na wasichanjwa wavae barakoa na kutumia sanitizer kama zamani. Kuna siku tutamkumbuka kama nabii aliyebezwa lakini alikuwa sahihi sana kwa msimamo wake. Tena wanasema chanjo za mRNA za kule marekani ndio hivyo kabisa zinazuia mwili kuweza kujipigania na aina mpya za covid hata huko mbele. Hii taarifa imetangazea juzi na vyanzo vya kuaminika kwao.
Weka source ya hiyo habari . .Italy na Spain walikuwa wanakufa 3000 kwa siku covid 1st wave sasa wanaungia uwanjani kuangalia mpira then unasema chanjo haifanyi kazi...
 
Watanzania wengi bado mpo nyuma sana na habari za ulimwengu na hata kwenu,mnayojiuliza sasa yashajibiwa karibu mwaka sasa lakini bado mnarudia rudia yale yale.
1.Nchi ambazo zimechanja ugonjwa umepungua kwa kiasi kikubwa,maambukizi hayapeleki mtu hospital au kuua kumbuka hizi ni chanjo si dawa.
2.Chanjo kwa nchi nyingi zinatolewa bure na hata bongo washatangaza zitakuwa bure.
3.Huwezi kufananisha bongo na nchi nyingine kuhusu corona,kwa kusema bongo tunadunda ni upuuzi,Tunajua kuhusu taarifa za nchi nyingine sababu tunasoma takwimu zao,Bongo hamna takwimu ya corona,hatujui wangapi wamepimwa,hatujuia wangapi wapo hospitali,hatujui wangapi wanakufa kwa huu ugonjwa.hatujui,hatuwezi kujifananisha na nchi wanazojua.kusema tupo poa sababu hatuambiwi wangapi wanaumwa ni urofa,ni sawa na kusema usiku hakuna vumbi sababu tu hulioni.
 
Inasemekana covid ya india inaambukiza waliochanjwa na wasichanjwa. Halafu variant ya india inayoitwa delta naua zaidi waliochanjwa 68asilimia waliochanjwa wakiipata wanakufa. Tathmini ni kuwa ukichanjwa unapoteza nguvu ya mwili kujipambania na hiyo sina au nyingine yoyote itakayokuja kwa hiyo unaweza poteza maisha kwa sina yoyote mpya ya covid. Sasa wataalamu wameshauri kule marekani wote waliochanjwa na wasichanjwa wavae barakoa na kutumia sanitizer kama zamani. Kuna siku tutamkumbuka kama nabii aliyebezwa lakini alikuwa sahihi sana kwa msimamo wake. Tena wanasema chanjo za mRNA za kule marekani ndio hivyo kabisa zinazuia mwili kuweza kujipigania na aina mpya za covid hata huko mbele. Hii taarifa imetangazea juzi na vyanzo vya kuaminika kwao.
Mi mwenywe nimeongea na ndg yangu mmoja yupo European, anadai kabla ya kuchanjwa alikuwa vizuri sana kiafya.ila alipochanjwa tuu mwili ukawa dhaifu sana.anakuwa hana nguvu za kutosha mwilini.pia alipochanjwa anadai akiweka chuma chochote kinanasa.sasa hyo ni chanjo au kuuana.pia anadai waliochanjwa ndio hufa zaidi.inasikitisha sana
 
Mi mwenywe nimeongea na ndg yangu mmoja yupo European, anadai kabla ya kuchanjwa alikuwa vizuri sana kiafya.ila alipochanjwa tuu mwili ukawa dhaifu sana.anakuwa hana nguvu za kutosha mwilini.pia alipochanjwa anadai akiweka chuma chochote kinanasa.sasa hyo ni chanjo au kuuana.pia anadai waliochanjwa ndio hufa zaidi.inasikitisha sana
We muongo mkubwa! Muogopeni Mungu watanzania.Europe gani hiyo unayozungumzia.??!
 
CORONA ni biashara tena ya wale wafanya biashara wakubwa in T&C Applied. Mwananchi wa hali ya kawaida hawezi kuelewa kwa haraka swala hili. Bei ya Masks&sanitizer inauzwaje kwenu? Kipimo cha PCR je? Vaccine itakuja wanaohitaji wataipata bure bwerere, lakini itafika mahali utauziwa hapo baadae tunning inaenda pole pole tu. Itafika pahala kama huna vaccine hutaweza ku gain access kwenye mambo kama safari na sehemu nyingine kama vyuo and other leisure issues. Nchi zenye uchumi wa chini/kati viongozi wake ni wakuangaliwa kwa makini before it turn to worse situation. NI wazi nchi ikikataa kuchukua vaccine private hospital/medical centers watachukua na tutauziwa hii mambo
Yes this is typically a busimenss
 
Watanzania wengi bado mpo nyuma sana na habari za ulimwengu na hata kwenu,mnayojiuliza sasa yashajibiwa karibu mwaka sasa lakini bado mnarudia rudia yale yale.
1.Nchi ambazo zimechanja ugonjwa umepungua kwa kiasi kikubwa,maambukizi hayapeleki mtu hospital au kuua kumbuka hizi ni chanjo si dawa.
2.Chanjo kwa nchi nyingi zinatolewa bure na hata bongo washatangaza zitakuwa bure.
3.Huwezi kufananisha bongo na nchi nyingine kuhusu corona,kwa kusema bongo tunadunda ni upuuzi,Tunajua kuhusu taarifa za nchi nyingine sababu tunasoma takwimu zao,Bongo hamna takwimu ya corona,hatujui wangapi wamepimwa,hatujuia wangapi wapo hospitali,hatujui wangapi wanakufa kwa huu ugonjwa.hatujui,hatuwezi kujifananisha na nchi wanazojua.kusema tupo poa sababu hatuambiwi wangapi wanaumwa ni urofa,ni sawa na kusema usiku hakuna vumbi sababu tu hulioni.
Hatutaki TAKWIMU tunata kuona ATHARI za ugonjwa kwenye jamii tynapoishi.

VIFO HAVIFICHIKI.

Tuondolee UPUUZI WAKO
 
Mi mwenywe nimeongea na ndg yangu mmoja yupo European, anadai kabla ya kuchanjwa alikuwa vizuri sana kiafya.ila alipochanjwa tuu mwili ukawa dhaifu sana.anakuwa hana nguvu za kutosha mwilini.pia alipochanjwa anadai akiweka chuma chochote kinanasa.sasa hyo ni chanjo au kuuana.pia anadai waliochanjwa ndio hufa zaidi.inasikitisha sana
Duh amekuwa SUMAKU
 
Hatutaki TAKWIMU tunata kuona ATHARI za ugonjwa kwenye jamii tynapoishi.

VIFO HAVIFICHIKI.

Tuondolee UPUUZI WAKO
Ivo ukitembea unawaona wangapi wenye ukimwi?! Una akili za ajabu,ugonjwa unaonekana bila kupima? Au kama watu wanakufa we utajuaje? mfano kuna watu watatu wanakufa kwa corona mikoa kumi ya bongo we utapata habari vipi? Bila takwimu au maiti zinapimwa ?au unafikir hata uko kwenye idadi nyingi ya vifo maiti zinaonekna barabarani,
 
Ivo ukitembea unawaona wangapi wenye ukimwi?! Una akili za ajabu,ugonjwa unaonekana bila kupima? Au kama watu wanakufa we utajuaje? mfano kuna watu watatu wanakufa kwa corona mikoa kumi ya bongo we utapata habari vipi? Bila takwimu au maiti zinapimwa ?au unafikir hata uko kwenye idadi nyingi ya vifo maiti zinaonekna barabarani,
So the impact is insignificant sio??

Unang'ang'ana na TAKWIMU kama kipimo cha magnitute ya tatizo Huko Brazili na India huhitaji takwimu unaona watu wamejaa MAKABURINI WANAZIKANA.
 
Wazungu wamechanja sasa hivi wanaangalia mpira na mambo mengine yanaendelea...USA baada ya mwezi mmoja hii ishu wanadai itakua historia na Japan wamesema wana hofu itakuja covid mpaka level 5 sio kwamba kwao level 5 sasa hivi nadhani hapo ni tatizo la lugha kama ni level 5 ya japan taja na jina la 4 na hiyo 5 kama hii tatu wanaita delta..
 
Wazungu wamechanja sasa hivi wanaangalia mpira na mambo mengine yanaendelea...USA baada ya mwezi mmoja hii ishu wanadai itakua historia na Japan wamesema wana hofu itakuja covid mpaka level 5 sio kwamba kwao level 5 sasa hivi nadhani hapo ni tatizo la lugha kama ni level 5 ya japan taja na jina la 4 na hiyo 5 kama hii tatu wanaita delta..
Si umesikia pamoja na kuchanjwa ila maambuki yameongezeka kipindi hicha EURO 2021?
 
Juzi Rais wa Rwanda katangaza kufunga vyuo na shule kuanzia 01.07.2021.

Kenya curfew imekuwa extended for 60 more days

Uganda Ligi kuu imelazimishwa kumalizika coz ya Covid.

Burundi, India, Brazil na nyingine mambo ni yaleyale.

Japan wametangaza WIMBI LA TANO [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]good for them because they're always ahead of time.

Tanzania mbona watu wanadunda tu mtaani bila tahadhali yoyote na hatuoni wagonjwa kama ilivyokuwa katika "wimbi" la kwanza?

Hatuoni Kila duka/ kibanda/ofisi kuwa na ndoo zenye maji na zinazotumiwa kikamilifu na kila mtumiaji.

Barakoa wanatumia watu wachache sana.

Vitakasa mikono huvioni kama zamani vilikuwa ninaning'inia kwenye luksi kama keyholder na kwenye mikono ya pochi za wanawake.

Ila matangazo kwa upande ya mataifa mbalimbali yamekomalia saana uwepo wa hii kitu hapa Tanzania.

Imagine MAMA juzi kasema Tanzania kuna wagonjwa 100 tu wa Corona.

100/50,000,000 = 0.0002% decimal round off equal to 0.000 or 2×10^-4 [emoji28][emoji28][emoji28]

Disco kama kawa, Mwendokasi kama kawa, Nyumba za Ibada kama kawa full nyomi. Daladala nyakati za asubuhi na jioni tunashonana kama kawa.

Kwa kuudhihirishia ulimwengu Bongo KORONA HAIPO WAJE KWA MKAPA 03.07.2021 washangae. Tunacheki game bila BARAKOA halafu tunaenda home kulala kiroho safi[emoji28][emoji28]

CORONA TZ HAMNA!

Kama mnataka fedha za COVAX fine, ila MSITUTISHE!

KWA HILI NASIMAMA NA DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI.

===

Chanjo tunazopewa sasa bure ni weak and wao wenyewe hawazitumii ni kwa ajili ya kufubaza kinga zetu za asili ili the so called "NEXT WAVE" ikija tupukutike kama kuku wa mdondo and THEN CHANJO HALISI ZITAKUWA VERY EXPENSIVE.

HAPO NDIO TUTAKAPOPIGWA PESA MAANA ITAKUWA[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]

BUY IT OR DIE!

Wake up guys, hujiulizi kwanini tunabembelezwa kuchanjwa?

Mzigo ushawasili Bongo kazi kwenuView attachment 1837452
Kwani corona ipo basi, corona ni HOAX tu!
 
Back
Top Bottom