EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #321
Ndio uhuni wanaoufanya.Kwani corona ipo basi, corona ni HOAX tu!
Rais wa Madagaska walimpa $20M US aweke sumu kidogo kwenye dawa zao akakataa.
Ndio waka-attempt kumuua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio uhuni wanaoufanya.Kwani corona ipo basi, corona ni HOAX tu!
Unaweza kulinganisha takwimu za wale ambao mambo Yao yako wazi na ninyi ambao zaidi ya tanzia hatuoni chochoteJuzi Rais wa Rwanda katangaza kufunga vyuo na shule kuanzia 01.07.2021.
Kenya curfew imekuwa extended for 60 more days
Uganda Ligi kuu imelazimishwa kumalizika coz ya Covid.
Burundi, India, Brazil na nyingine mambo ni yaleyale.
Japan wametangaza WIMBI LA TANO [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]good for them because they're always ahead of time.
Tanzania mbona watu wanadunda tu mtaani bila tahadhali yoyote na hatuoni wagonjwa kama ilivyokuwa katika "wimbi" la kwanza?
Hatuoni Kila duka/ kibanda/ofisi kuwa na ndoo zenye maji na zinazotumiwa kikamilifu na kila mtumiaji.
Barakoa wanatumia watu wachache sana.
Vitakasa mikono huvioni kama zamani vilikuwa ninaning'inia kwenye luksi kama keyholder na kwenye mikono ya pochi za wanawake.
Ila matangazo kwa upande ya mataifa mbalimbali yamekomalia saana uwepo wa hii kitu hapa Tanzania.
Imagine MAMA juzi kasema Tanzania kuna wagonjwa 100 tu wa Corona.
100/50,000,000 = 0.0002% decimal round off equal to 0.000 or 2×10^-4 [emoji28][emoji28][emoji28]
Disco kama kawa, Mwendokasi kama kawa, Nyumba za Ibada kama kawa full nyomi. Daladala nyakati za asubuhi na jioni tunashonana kama kawa.
Kwa kuudhihirishia ulimwengu Bongo KORONA HAIPO WAJE KWA MKAPA 03.07.2021 washangae. Tunacheki game bila BARAKOA halafu tunaenda home kulala kiroho safi[emoji28][emoji28]
CORONA TZ HAMNA!
Kama mnataka fedha za COVAX fine, ila MSITUTISHE!
KWA HILI NASIMAMA NA DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI.
===
Chanjo tunazopewa sasa bure ni weak and wao wenyewe hawazitumii ni kwa ajili ya kufubaza kinga zetu za asili ili the so called "NEXT WAVE" ikija tupukutike kama kuku wa mdondo and THEN CHANJO HALISI ZITAKUWA VERY EXPENSIVE.
HAPO NDIO TUTAKAPOPIGWA PESA MAANA ITAKUWA[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]
BUY IT OR DIE!
Wake up guys, hujiulizi kwanini tunabembelezwa kuchanjwa?
Mzigo ushawasili Bongo kazi kwenuView attachment 1837452
==========================
Updates
Ujinga qa wazungu huu hapa
[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]View attachment 1882432View attachment 1882433
Wahi chanjo bado zipo teleUnaweza kulinganisha takwimu za wale ambao mambo Yao yako wazi na ninyi ambao zaidi ya tanzia hatuoni chochote
Tayari mimi siamini kama wazungu wakitaka kuniua watasubiri chanjo ya uviko ili Hali tuna machanjo kibao, sijui surua,ndui,pepopumba, mabusha,matende nk.Wahi chanjo bado zipo tele