Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,191
Reaction score
8,490
Inavyoeleweka huku angani kuna upepo wenye kasi kubwa (marekebisho kama siko sahihi).

Mara nyingi nimeona zile ndege zinazopita juu sana zamani tukiziita 'roketi' zinaacha mstari mweupe wa moshi na mstari huu unachukua muda kupotea/kutawanyika unaweza kuchukua hata dakika 10 au zaidi.

Je, kwa nini hali hiyo inatokea au inawezekana kuwa si kweli kuna upepo mkali huko angani?


Habari hii imetumika kwenye Kipindi cha JamiiLeo kinachorushwa kila siku jioni katika Channel ya JamiiForums kwenye mtandao wa YouTube.

Kuona kipindi hicho angalia video ifuatayo, acha maoni yako na kisha Subscribe kwenye Channel ya JamiiForums.


 
Nimekuwa nikijiuliza hizi ndege ambazo hupita juu sana kuliko ndege zingine za kawaida na hutoa moshi mweupe wenye njia mbili zinapokuwa angani ni Ndege za aina gani?

Huwa zinabeba abiria ama?

Na kwanini zinapita juu sana kuliko zingine na kutoa moshi mweupe kama roketi ziendazo sayari zingine

Naomba kujuzwa wadau
 
Nimekuwa nikijiuliza hizi ndege ambazo hupita juu sana kuliko ndege zingine za kawaida na hutoa moshi mweupe wenye njia mbili zinapokuwa angani ni Ndege za aina gani?

Huwa zinabeba abiria ama?

Na kwanini zinapita juu sana kuliko zingine na kutoa moshi mweupe kama roketi ziendazo sayari zingine

Naomba kujuzwa wadau

Ule siyo moshi kama moshi utokao kwenye magari barabarani kiuhalisia. Bali ni matokeo ya joto kali kutoka kwenye exhaust ya ndege (jet) iwapo angani na mgandamizo wa hewa uliochanganyika na mvuke wa maji, mithiri ya mtu kupumua awapo kwenye ukanda wa baridi kali. Unaweza kujisomea zaidi hapa: Why do jets leave a white trail in the sky? - Scientific American
 
Tulipokuwa wadogo tuliaminishwa kwamba hizo ndio roketi.

Tuliambiwa kwa afrika zinatua Misri na Afrika kusini tu.

Tuliambiwa kama kama umeiona ukiwa arusha(kwa mfano) ujue ipo misri.

Hata hivyo waliotuambia habari hizo hawakuwa na lengo la kutupotosha; huo ndio ulikuwa uelewa wao.

Nimewasamehe wote.
 
wengine walienda mbali kabisa na kututandika fix kwamba ndege aina ya concord haziwezi kutuwa dar maana nyumba zote zingebomoka.

fix hizi zilienda sambamba kila siku Swiss international ikituwa tunaambiwa ndio dege la nyonya damu wamekuja kuchukuwa damu.

Kwi kwi kwi ilikuwa fix za hatari mumiani wamekuja. Dah
 
wengine walienda mbali kabisa na kututandika fix kwamba ndege aina ya concord haziwezi kutuwa dar maana nyumba zote zingebomoka.

fix hizi zilienda sambamba kila siku Swiss international ikituwa tunaambiwa ndio dege la nyonya damu wamekuja kuchukuwa damu.
Nashukuru Mungu watoto wetu wa dotcom hawatapotoshwa kirahisi namna hii.Kila wanachokitilia mashaka wanaki-google.
 
Tulipokuwa wadogo tuliaminishwa kwamba hizo ndio roketi.Tuliambiwa kwa afrika zinatua Misri na Afrika kusini tu.Tuliambiwa kama kama umeiona ukiwa arusha(kwa mfano) ujue ipo misri.Hata hivyo waliotuambia habari hizo hawakuwa na lengo la kutupotosha;huo ndio ulikuwa uelewa wao.Nimewasamehe wote.

Ha ha ha, umenikumbusha mbali. Roketi na ule moshi ni mwingi mno.

wengine walienda mbali kabisa na kututandika fix kwamba ndege aina ya concord haziwezi kutuwa dar maana nyumba zote zingebomoka.

fix hizi zilienda sambamba kila siku Swiss international ikituwa tunaambiwa ndio dege la nyonya damu wamekuja kuchukuwa damu.
Ha ha ha ha, hizo damu sijui wanazitoa wapi.
 
Contrail_fourengined_airplane.jpg



Aviation smog (that's what it really is) is caused by air traffic at great heights. Each day, jet engines of airplanes dump vast amounts of water (ice), CO2, soot particles (condensation nuclei), aërosols and chemical substances. Air Traffic thus not only alters the properties of the higher regions of our troposphere but also all the regions below, right down to groundlevel. This extra layer of man-made high-altitude smog probably influences weather, climate and the quality and quantity of the sun's radiation that reaches the surface of Earth ("global dimming."). Aviation-smog is responsible for more clouds, rain, drought, bigger hailstones (megacryometeors), a stronger greenhouse effect (global warming), and, maybe, even gives extra power to hurricanes. Still, aviation-smog does not get the scientific and political attention it deserves


Contrails or vapor trails are condensation trails and artificial cirrus clouds made by the exhaust of aircraft engines or wingtip vortices which precipitate a stream of tiny ice crystals in moist, frigid upper air. Being composed of water, the visible white streams are not, in and of themselves, air pollution. However, contrails generated by engine exhaust are inevitably linked with typical fuel combustion pollutants.


Condensation from aircraft jet engine exhaust


The main products of hydrocarbon fuel combustion are carbon dioxide and water vapor. At high altitudes this water vapor emerges into a cold environment, and the local increase in water vapor can push the water content of the air past saturation point. The vapor then condenses into tiny water droplets and/or desublimates into ice. These millions of tiny water droplets and/or ice crystals form the contrails. The energy drop (and therefore, time and distance) the vapor needs to condense accounts for the contrail forming some way behind the aircraft's engines. The majority of the cloud content comes from water trapped in the surrounding air. At high altitudes, supercooled water vapor requires a trigger to encourage desublimation. The exhaust particles in the aircraft's exhaust act as this trigger, causing the trapped vapor to rapidly turn to ice crystals. Exhaust contrails usually occur at above 26,000 feet. where the temperature is below -40°C.


Condensation from decreases in pressure


The wings of an aircraft cause a drop in air pressure in the vicinity of the wing. This brings with it a drop in temperature, which can cause water to condense out of the air and form a contrail. This effect is commonly seen on humid days, on fighter jets performing high energy maneuvers or on airliners during takeoff and landing. Additionally, the area around a turbo-fan intake will be at a lower pressure than the surrounding air, and may result in a condensation fog forming there during high power settings.


Contrails and climate


Contrails, by affecting the Earth's radiation balance, act as a radiative forcing. Studies have found that contrails trap outgoing longwave radiation emitted by the Earth and atmosphere (positive radiative forcing) at a greater rate than they reflect incoming solar radiation (negative radiative forcing). Therefore, the overall net effect of contrails is positive, i.e. a warming. However, the effect varies daily and annually, and overall the magnitude of the forcing is not well known: globally (for 1992 air traffic conditions), values range from 3.5 mW/m² to 17 mW/m². Other studies have determined that night flights are most responsible for the warming effect: while accounting for only 25% of daily air traffic, they contribute 60 to 80% of contrail radiative forcing. Similarly, winter flights account for only 22% of annual air traffic, but contribute half of the annual mean radiative forcing.


September 11, 2001 climate impact study


It had been hypothesized that contrails may affect the weather, reducing solar heating during the day and radiation of heat during the night by increasing the albedo. The suspension of air travel for three days in the United States after September 11, 2001 provided an opportunity to test this hypothesis. Measurements did show that without contrails the local diurnal temperature range (difference of day and night temperatures) was about 1 degree Celsius higher than immediately before; however, it has also been suggested that this was due to unusually clear weather during the period.


Distrails


Where an aircraft passes through a cloud, it can clear a path through it; this is known as a distrail.


Aurora aircraft are hypothesized high-technology Black project aircraft which leave "donuts-on-a-rope" contrails.
 
Tena alipatikana olduvai Gorge. TZ raha sana.

yaani we acha, haya maukimwi yamesaidia hii dhana ya nyonya damu kutoweka.

mbaya zaidi hadi kwenye mitaala ya elimu tuliambiwa binadamu wa kwanza aliishi Tanzania!!
 
yaani we acha, haya maukimwi yamesaidia hii dhana ya nyonya damu kutoweka.

mbaya zaidi hadi kwenye mitaala ya elimu tuliambiwa binadamu wa kwanza aliishi Tanzania!!

Kweli hii ya binadamu wa kwanza ni mtanganyika bado ipo.. yaani kile kichwa cha homo habilis anayedate 1.8 m.. anasemwa ni binadamu wa kwanza wakati hafikii ata nyayo za Laetoli zinazodate 3.6 m yrs.. achilia mbali austarolopithecus tchadensis wa Chad anayedate 7 m yrs
 
Ule siyo moshi kama moshi
utokao kwenye magari barabarani kiuhalisia. Bali ni matokeo ya joto
kali kutoka kwenye exhaust ya ndege (jet) iwapo angani na mgandamizo wa
hewa uliochanganyika na mvuke wa maji, mithiri ya mtu kupumua awapo
kwenye ukanda wa baridi kali. Unaweza kujisomea zaidi hapa:
Why
do jets leave a white trail in the sky? - Scientific
American

Ni ndege za kawaida za abiria zinazopita katika anga la kimataifa. Kutokana na tabaka la hewa ya Nitrogen kuwa ndilo linalochukua sehemu kubwa ya anga hilo, moshi wenye mchanganyiko wa mafuta yenye joto, hufanya mawingu meupe kutokana na reaction on contact na Nitrogen.
 
Back
Top Bottom