doama
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 808
- 650
Ule sio moshi ile ile barafu inayeyushwa na joto linalotoka kwenye bomba la moshi, hakuna ndege inayotowa moshi vile alafu iwe mzima itakua mbovu hiyo.
Mkuu kama ni hivyo basi ndege ya jeshi la wananchi la Tanzania itakua mbovu sana sababu inapita maeneo ya ilala kiasi cha mita mia moja toka chini lakini inatoa moshi mweusi
Mkuu kama ni hivyo basi ndege ya jeshi la wananchi la Tanzania itakua mbovu sana sababu inapita maeneo ya ilala kiasi cha mita mia moja toka chini lakini inatoa moshi mweusi