Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

japokua wachangiaji hapo juu wameelezea vizuri but nijuavyo jamaa ameuliza juu ya ROCKET na rocket mara nyingi zina move perpendicular to the Earth na ule Moshi unaotoka ndio unaosaidia ku push up...na bila kuwepo kwa huo moshi isingeweze kupaa kwa namna hyo.

Combusion sio, nilisoma advance ila phys ilikuwa ngumu nishasahau
 
Kawaida ili ndege ipae angani inahitaji mafuta "fuel" na kisaidizi cha kuunguza mafuta"oxidizer",kwa ndege zinazoruka karibu na uso wa Dunia hubeba "fuel" tu,oygen iliyopo angani hutumika kama "oxidizer",ila anga za juu(high altitude) hakuna oxygen,hivyo basi ndege zilukazo anga za juu hulazimika kubeba "fuel" pamoja na "oxidizer"(note that fuel may be in the form of solid or liquid form,thus the internal combustion within a rocket engine of fuel together with the carried oxidizer accompanied together with the mist formed in high altitude is what we see as a thick smoke)

Wewe ndio umetuvuruga kabisa
kiufupi ule sio moshi
ile ni hali ambayo inatokea baada ya joto kali kupita kwenye baridi kali zile ndio effect zake
 
Tatizo watu wanachanganya habari, ndege jumbo jet wanaziita rocket, halafu wanasema zinatua south africa na cairo tu wakati uwanja wowote wa kimataifa zinatua, kia, dar na nairobi hizo ndege zinatua, ila kuna baadhi zinataka vifaa 'ngazi' za aina tofauti za kushushia abiria maana zina ghorofa, ndege zenye ghorofa ni airbus a 380 na boeing 747,
 
Kile unachoona kama moshi mweupe kinaelezewa na nadharia ya 'refraction' katika physikia ya mwanga.

Joto kali hotoka kwenye exhaust ya ndege/roketi hufanya joto la hewa kwenye njia inapopita ndege liwe juu kuliko maeneo ya pembeni yake. Kwa mujibu wa kanuni za Physikia, 'refraction' ya mwanga hutokea kutokana na tabaka la la hewa yenye joto kubwa katikati ya sehemu ya hewa yenye joto la chini, hivyo kufanya unapoangalia uona kama moshi mweupe.
Hali hii hupotea polepole jinsi joto la hewa linaporudia kwenye usawa wake.

Good explanation,big up bro!!
 
Copenhagen mkuu una uhakika gani kama lugha uliyotumia kujibu swali kama mtoa mada anaielewa..kama hayo maelezo uliyotoa umeyaelewa si ungeyaweka tu kwenye lugha aliyotumia kukuulizia swali

usisumbuke saaana mkuu huyu kaingia google kutafuta jibu kakuta kuna mada kama hii sasa alipoliona jibu kakopy na kupaste
 
Last edited by a moderator:
Unaju mtu anaekimbilia kukosoa neno moja ambalo mtu amekosea, na likiinyesha kabisa mwandishi alikusudi kuandika vile, unakua unajishusha. Kwenye kutamka maneno yanakosea nini kuandika.


Likiinyesha ndio nini mkuu??
 
Inavoeleweka huku angani.......!

Mkuu upo angani nini?
 
..............................kule kuna baridi sana kiasi cha kufikia -50 Centigrade au zaidi...................


Mkuu, hiyo ni baridi sana????? 50 degree centigrade katika hali ya hewa ni joto sana. Labda kama ulikua na maana tofauti na nilivyoelewa mimi.
 
ndege ni ndege na roketi ni roketi vitu viwili tofauti.roketi huwa zinatumika sana kwenda anga za juu.ndege haziwezi kwenda anga za juu.hii ni kutokana kwanza na material yaliyotumka kuzitengeneza yako tofauti.kuhusu Moshi wakuu hapo juu wamekueleza vizuri sana
 
The atmospheric pressure indulges in sequences of neutralise masses of massive gases called hydrogen enduring by a moving plane in ozone layer.

The impact of friction in midair collision between the moving plane at a very high supersonic speed equivalent to sound barrier irritate the ping sounds and leaves along trait of unusual gasses which amazes people like you in the grounds to contemplate and ask mediocre questions pertaining and embarking in this unsolved myths of long trail of gases left behind by big planes penetrating in an international flying zone.

I think have helped u
iweke kwa kiswahili,wengine kingereza majanga.:eyebrows:
 
Inavyoeleweka huku angani kuna upepo wenye kasi kubwa (marekebisho kama siko sahihi).

Mara nyingi nimeona zile ndege zinazopita juu sana zamani tukiziita 'roketi' zinaacha mstari mweupe wa moshi na mstari huu unachukua muda kupotea/kutawanyika unaweza kuchukua hata dakika 10 au zaidi.

Je, kwa nini hali hiyo inatokea au inawezekana kuwa si kweli kuna upepo mkali huko angani?

Hii kitu
 

Attachments

  • 1425625242975.jpg
    1425625242975.jpg
    19.6 KB · Views: 428
  • 1425625263638.jpg
    1425625263638.jpg
    16.8 KB · Views: 418
kwa hiyo ipo tofauti kati ya rocket na jet?
Ndege kama Air bus, na boeng haziwezi kuwa rocket?
Rocket ina utofauti gani na dege zingine?
 
Back
Top Bottom