Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

Wakuu naomba kuuliza,kuna kile chombo huwa kinapita juu kabisa ya anga inaacha moshi nyuma,tukiwa wadogo tuliambiwa ni rocket.kwa hapa africa inatua south africa na egypt tu.ss tumekua najua rocket ni ile iendayo nje ya dunia.naomba kujuzwa wakuu ni ni nini ile?
Mi nadhani zile ni ndege
Kuna aina nyingi ya ndege
Yangu ni hayo ngoja tuwasuburi wajuzi
 
Ile ni ndege ya kawaida kabisa. Ule unao ona kama moshi sio moshi ni mgandamizo wa hewa toka kwwnye xzost ya ndege. Kumbuka inapita juu sana hivyo hii hewa ya oxygen haipo huko inakopita. Huko kuna hydrogen kama nitakuwa sahihi.

Zamani hizo tulikuwa tukiita mrusi[emoji38][emoji38]
 
Bila shaka umeiona muda si mrefu, nipo Dar kawe na imepita muda si mrefu.
Ile ni ndege ya kawaida ya abiria ila haitui tanzania. Imetoka nchi nyingine na iko tu ktk njia (international airway) za ndege kuelekea huko iendako.
 
Kwa nini haitui Tanzania au hamna viwanja vyake kama ni ya kawaida basi tunaomba mwenye picha yake aiweke ili tujiridhishe
Naamini ni ndege ya kawaida tu ila kubwa, wali sio ndege spesho ila iko safarini. Nafikiri viwanja vya kutua vipi ila ktk ratiba yake labda inatua nchi nyingine ila si tanznia.
20180924_173408.png
 
Contrail_fourengined_airplane.jpg



Aviation smog (that's what it really is) is caused by air traffic at great heights. Each day, jet engines of airplanes dump vast amounts of water (ice), CO2, soot particles (condensation nuclei), aërosols and chemical substances. Air Traffic thus not only alters the properties of the higher regions of our troposphere but also all the regions below, right down to groundlevel. This extra layer of man-made high-altitude smog probably influences weather, climate and the quality and quantity of the sun's radiation that reaches the surface of Earth ("global dimming."). Aviation-smog is responsible for more clouds, rain, drought, bigger hailstones (megacryometeors), a stronger greenhouse effect (global warming), and, maybe, even gives extra power to hurricanes. Still, aviation-smog does not get the scientific and political attention it deserves



Contrails or vapor trails are condensation trails and artificial cirrus clouds made by the exhaust of aircraft engines or wingtip vortices which precipitate a stream of tiny ice crystals in moist, frigid upper air. Being composed of water, the visible white streams are not, in and of themselves, air pollution. However, contrails generated by engine exhaust are inevitably linked with typical fuel combustion pollutants.


Condensation from aircraft jet engine exhaust


The main products of hydrocarbon fuel combustion are carbon dioxide and water vapor. At high altitudes this water vapor emerges into a cold environment, and the local increase in water vapor can push the water content of the air past saturation point. The vapor then condenses into tiny water droplets and/or desublimates into ice. These millions of tiny water droplets and/or ice crystals form the contrails. The energy drop (and therefore, time and distance) the vapor needs to condense accounts for the contrail forming some way behind the aircraft's engines. The majority of the cloud content comes from water trapped in the surrounding air. At high altitudes, supercooled water vapor requires a trigger to encourage desublimation. The exhaust particles in the aircraft's exhaust act as this trigger, causing the trapped vapor to rapidly turn to ice crystals. Exhaust contrails usually occur at above 26,000 feet. where the temperature is below -40°C.


Condensation from decreases in pressure


The wings of an aircraft cause a drop in air pressure in the vicinity of the wing. This brings with it a drop in temperature, which can cause water to condense out of the air and form a contrail. This effect is commonly seen on humid days, on fighter jets performing high energy maneuvers or on airliners during takeoff and landing. Additionally, the area around a turbo-fan intake will be at a lower pressure than the surrounding air, and may result in a condensation fog forming there during high power settings.


Contrails and climate


Contrails, by affecting the Earth's radiation balance, act as a radiative forcing. Studies have found that contrails trap outgoing longwave radiation emitted by the Earth and atmosphere (positive radiative forcing) at a greater rate than they reflect incoming solar radiation (negative radiative forcing). Therefore, the overall net effect of contrails is positive, i.e. a warming. However, the effect varies daily and annually, and overall the magnitude of the forcing is not well known: globally (for 1992 air traffic conditions), values range from 3.5 mW/m² to 17 mW/m². Other studies have determined that night flights are most responsible for the warming effect: while accounting for only 25% of daily air traffic, they contribute 60 to 80% of contrail radiative forcing. Similarly, winter flights account for only 22% of annual air traffic, but contribute half of the annual mean radiative forcing.


September 11, 2001 climate impact study


It had been hypothesized that contrails may affect the weather, reducing solar heating during the day and radiation of heat during the night by increasing the albedo. The suspension of air travel for three days in the United States after September 11, 2001 provided an opportunity to test this hypothesis. Measurements did show that without contrails the local diurnal temperature range (difference of day and night temperatures) was about 1 degree Celsius higher than immediately before; however, it has also been suggested that this was due to unusually clear weather during the period.


Distrails


Where an aircraft passes through a cloud, it can clear a path through it; this is known as a distrail.


Aurora aircraft are hypothesized high-technology Black project aircraft which leave "donuts-on-a-rope" contrails.
Sifa sasa
 
Asa kama ni barafu izo ndege si zingerudi zimechubuka rangi kwa kugonga hizo barafu.?
Umewahi kuiona ambayo haijachubuka??? Yaani kila ikifanya safari moja ikirudi inapakwa rangi mpya tena wanapaka rangi ngumu za kuchanganywa na standard thinner sio solvent, sawa mkuu?
 
Wakuu naomba kuuliza,kuna kile chombo huwa kinapita juu kabisa ya anga inaacha moshi nyuma,tukiwa wadogo tuliambiwa ni rocket.kwa hapa africa inatua south africa na egypt tu.ss tumekua najua rocket ni ile iendayo nje ya dunia.naomba kujuzwa wakuu ni ni nini ile?
Zile ni ndege za kawaida za kubeba abiria au mizigo ambazo zinafanya masafa marefu, hivyo huwa zinaruka katika international space ambazo hazipo chini ya nchi yeyote, kutokana na umbali wa sehemu zinakotoka na kwenda unabidi waruke katika umbali ule
 
Zile ni ndege za kawaida za kubeba abiria au mizigo ambazo zinafanya masafa marefu, hivyo huwa zinaruka katika international space ambazo hazipo chini ya nchi yeyote, kutokana na umbali wa sehemu zinakotoka na kwenda unabidi waruke katika umbali ule
Good answer thank you
 
Ndiyo maana Enzi za Mwalimu wakati watanzania wengi walikuwa hawana fursa ya kusafiri kwenda Ng'ambo yeye alikuwa akienda na kurudi afu anaanza kupiga stori wakati wa kutoa hutuba zake hadhira ikawa inaona ni mambo ya ajabu sana.
Pombe na bhangi hazijawahi kumwacha mtu salama.wewe na mwlim nyerere.hata asipohusika unalazimisha tu kumingiza.kw taarifa yako dharau yyako kw nyerere haikuondelei ujinga kichwani mwako.
 
Bila shaka umeiona muda si mrefu, nipo Dar kawe na imepita muda si mrefu.
Ile ni ndege ya kawaida ya abiria ila haitui tanzania. Imetoka nchi nyingine na iko tu ktk njia (international airway) za ndege kuelekea huko iendako.
kwann hakitui bongo
 
What you see is not smoke- they are contrails- short for condensation trails. The air is extremely cold at that altitude, the exhaust is hot, and contains a great deal of water vapor. When it comes in contact with the cold air, it condenses, and becomes visible, like fog or clouds. Ever see the "steam" roll out of the bathroom after a hot shower? Same idea.
thanks ,mkuu kaingilishi kapo simple na kanaelewakaaa
 
Back
Top Bottom