Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

Ya unavyoelekea juu joto hupungua lakini hadi usawa fulani tu. Hapi ni baridi kiasi cha kutengeneza barafu na ndo maana mvuke hupoa kiasi cha kuganda kwa wingi hadi kufanya mvua kubwa. Ukienda juu zaidi kuna layer inaitwa Thermosphere. Hapo kuna joto la kutosha kuyeyusha chuma. Ukivuka hapo joto linapungua tena. Kwa ufupi Gravity inahusika sana katika kupelekea hali kami hii. Mfano rahisi ona jinsi ukanda wa pwani ulivyo na joto kuliko sehemu za miinuko kama Kilimanjaro , Iringa na Mbeya. Ona hadi Mlima Kilimanjaro una barafu ilihali upo ukanda wa Tropiki. Aisee ile barafu ya Kilimanjaro kwa mbali unaona kama kabarafu ka kawaida lakini siku nilipofika Uhuru peak nilishangaa maana kuna mabarafu yamejipanga na marefu kuliko magorofa ya posta.

Kweli kabisa. Ni kama exhaust ya gari wakati wa baridi hutoa mvuke pia na hata maji hutokea kwenye exhaust.
 
Inavyoeleweka huku angani kuna upepo wenye kasi kubwa (marekebisho kama siko sahihi).

Mara nyingi nimeona zile ndege zinazopita juu sana zamani tukiziita 'roketi' zinaacha mstari mweupe wa moshi na mstari huu unachukua muda kupotea/kutawanyika unaweza kuchukua hata dakika 10 au zaidi.

Je, kwa nini hali hiyo inatokea au inawezekana kuwa si kweli kuna upepo mkali huko angani?
Kinachofanya uuone ule mstari unabaki kwa muda mrefu ni umbali uliopo kutoka upeo wa macho yako mpaka ulipo ule moshi.. Na ndio maana hata ile ndege yenyewe unaiona kama ina enda mwendo wa kawaida sana lkn kumbe inaweza kuwa hata 700km/h hadi 1000km/h. Sasa kama ile ndege inaenda kwa kasi hivyo lakini ww unaona inaenda mwendo wa kawaida vile. Je moshi ambao speed yake ni ya kawaida sana, kwanini usiuone umekaa dakika zaidi ya kumi bila kusambaratika?/?? japo mpaka ww unakuwa na uwezo wa kuuona ule moshi kule, kuna uwezekano mkubwa sana kwamba ule moshi ni mwingi lakini pia ni mzito sana. Hayo ni mawazo yangu. Asante
 
NIMESTUKA SANA KUONA HUU UZI UMEKAA MUDA MREFU HIVI NA UMEKOSA JIBU SAHIHI, NGOJA NIANDAE NONDO NIRUDI KUTOA JIBU.
majibu mengi tu yametolewa sasa sijui kama wewe huoni au,ndio uvivu wa kusoma
 
majibu mengi tu yametolewa sasa sijui kama wewe huoni au,ndio uvivu wa kusoma

MKUU MAJIBU MENGI YAMEGUSIA ENGINE THRUST PEKEE NA JIBU SAHII LILITAKIWA KUGUSIA SHAPE YA NDEGE NA WINGS TIPS DESIGN PIA.
737winglets.jpg

 
Jet engine inapofanya kazi, hutoa gesi zenye joto Kali kwa spidi kubwa baada ya mafuta kuchomwa ndani ya engine (exhaust gas ) ambazo kasi yake huifanya ndege isogee mbele ( For every action there is egual and opposite reaction ) hizi gesi zenye joto Kali huchoma unyevunyevu ( humidity) ulioko angani na kugeuka kuwa mvuke wa maji. Hicho unachokiona ni mvuke wa maji na si moshi.
 
Asee kuna siku ilipita tukaambiwa eti inaenda kutua uwanjani( kuna shule ya secondary iko mbali kidogo na home!!)eti tukaambiwa tukimbie tukawahi kuona inavyotua asee tulikimbia umbali kama wa kilomita 20 eti yukaione..tulienda ila hakuna hata mmoja alofika maana ilifika sehemu tukawa hatuiioni tena hadi tukarudi kila mtu hoi
umeifanya weekend yangu kuwa perfect
 
Okay kwanza kitaalam ile haiiwi Rocket kama ulivyo iita
Bhahahaa...Hata mimi sijui kitu nimeweka comment ili uzi upande juu... Nitarudi badae kujua kinachoendelea
 
Kuna muda angani inapita rocket au ndege(sina uhakika kama ni plane)
Inakuwa inatoa moshi mwingi unaotengeneza kama njia ivi,
unakuta hata hiyo ndege yenyewe imeshapita na haionekani tena lakini ule moshi unabakia umechora njia,
Sasa wakuu hivi kile ni chombo gani?
Manake najiuliza katika karne hii wameshindwa kweli kubuni chombo kisichotoa moshi namna ile au ule moshi unaotoka unamaanisha nini?
Hebu mwenye Ufahamu atudadavulie ili tukifahamu zaidi,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwan Ndege/rocket hutumia mkaa au kuni...?

Ule sio moshi wala mstari, Bali ni wingu linalijichora kutokana na speed ya chombo kinachopita kwa kasi angani [emoji574]

Kumbuka hata gari, binadam, baiskel na wanyama n. K huacha alama barabaran baada ya kupita [emoji188] [emoji252]
 
Kuna muda angani inapita rocket au ndege(sina uhakika kama ni plane)
Inakuwa inatoa moshi mwingi unaotengeneza kama njia ivi,
unakuta hata hiyo ndege yenyewe imeshapita na haionekani tena lakini ule moshi unabakia umechora njia,
Sasa wakuu hivi kile ni chombo gani?
Manake najiuliza katika karne hii wameshindwa kweli kubuni chombo kisichotoa moshi namna ile au ule moshi unaotoka unamaanisha nini?
Hebu mwenye Ufahamu atudadavulie ili tukifahamu zaidi,



Kwanza kabisa lazima tujue kwamba kuna utofauti wa muundo wa engine za aeroplane na muundo wa rocket, rocket zinafanya Nazi kutokana na newton third law of motion, the law state that in every action there are equal and opposite reaction, katika rocket propagation when fuel in side the rocket engine zinapounguzwa zinakuwa forced kutoka nje kwa spidi kubwa kupitia nozzle zilizo nyuma ya rocket, hii huitwa action, action husababisha reaction, kumbuka kuwa reaction na action zipo katika opposite direction, hivo basi reaction itaipeleka rocket mbele wakati action itakuwa inaelekea nyuma. Mfano mzuri chukua puto lijaze upepo alafu liachie, litatoka kwa spidi kuelekea katika muelekeo furahi huku likitoa hewa kwa nyuma, hivyo ndivyo rocket inavyo fanya kazi. Katika ndege zingine newton third law haitumiki, bali fuel huunguzwa katika engine na energy hutengenezwa, energy hiyo ndiyo hutumika kuendesha engine za ndege husika.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwan Ndege/rocket hutumia mkaa au kuni...?

Ule sio moshi wala mstari, Bali ni wingu linalijichora kutokana na speed ya chombo kinachopita kwa kasi angani [emoji574]

Kumbuka hata gari, binadam, baiskel na wanyama n. K huacha alama barabaran baada ya kupita [emoji188] [emoji252]
Umenichekesha sana ila huu uzi umekuwa kama upo jukwaa la utani.
 
Kuna muda angani inapita rocket au ndege(sina uhakika kama ni plane)
Inakuwa inatoa moshi mwingi unaotengeneza kama njia ivi,
unakuta hata hiyo ndege yenyewe imeshapita na haionekani tena lakini ule moshi unabakia umechora njia,
Sasa wakuu hivi kile ni chombo gani?
Manake najiuliza katika karne hii wameshindwa kweli kubuni chombo kisichotoa moshi namna ile au ule moshi unaotoka unamaanisha nini?
Hebu mwenye Ufahamu atudadavulie ili tukifahamu zaidi,
Mkuu hawajashindwa kutengeneza vinavyoficha ile trail. Ndege za kivita au za kispy zinayo hiyo ant-stealth technology ila ni expensive kuweka ktk ndege za kawaida za abiria na za mizigo. Ni kama ukafunge kiyoyozi ktk trekta ya shamba au jikoni.
 
Those white streaks planes leave behind are actually artificial clouds. They're called contrails, which is a shortened version of the phrase “condensation trail." Airplane engines produce exhaust, just like car engines do. As hot exhaust gases escape from a plane, the water vapor in the fumes hits the air.(copy pasted from google link hii)Google
 
Ule siyo moshi kama moshi utokao kwenye magari barabarani kiuhalisia. Bali ni matokeo ya joto kali kutoka kwenye exhaust ya ndege (jet) iwapo angani na mgandamizo wa hewa uliochanganyika na mvuke wa maji, mithiri ya mtu kupumua awapo kwenye ukanda wa baridi kali. Unaweza kujisomea zaidi hapa: Why do jets leave a white trail in the sky? - Scientific American

si kweli umedanganya, ile ni ndege inapovuka speed of sound inatengeneza compressed air ndo ule moshi si issue ya exhaust kabisaaaa!!!
 
W
Kinachofanya uuone ule mstari unabaki kwa muda mrefu ni umbali uliopo kutoka upeo wa macho yako mpaka ulipo ule moshi.. Na ndio maana hata ile ndege yenyewe unaiona kama ina enda mwendo wa kawaida sana lkn kumbe inaweza kuwa hata 700km/h hadi 1000km/h. Sasa kama ile ndege inaenda kwa kasi hivyo lakini ww unaona inaenda mwendo wa kawaida vile. Je moshi ambao speed yake ni ya kawaida sana, kwanini usiuone umekaa dakika zaidi ya kumi bila kusambaratika?/?? japo mpaka ww unakuwa na uwezo wa kuuona ule moshi kule, kuna uwezekano mkubwa sana kwamba ule moshi ni mwingi lakini pia ni mzito sana. Hayo ni mawazo yangu. Asante
We jamaa unauelewa mkubwa sana umeniongezea jambo kichwani. Thanks
 
Jet engine inapofanya kazi, hutoa gesi zenye joto Kali kwa spidi kubwa baada ya mafuta kuchomwa ndani ya engine (exhaust gas ) ambazo kasi yake huifanya ndege isogee mbele ( For every action there is egual and opposite reaction ) hizi gesi zenye joto Kali huchoma unyevunyevu ( humidity) ulioko angani na kugeuka kuwa mvuke wa maji. Hicho unachokiona ni mvuke wa maji na si moshi.
Na wewe umeongea chenye mantiki Sana
 
Mkuu hawajashindwa kutengeneza vinavyoficha ile trail. Ndege za kivita au za kispy zinayo hiyo ant-stealth technology ila ni expensive kuweka ktk ndege za kawaida za abiria na za mizigo. Ni kama ukafunge kiyoyozi ktk trekta ya shamba au jikoni.
Umenichekesha
 
Back
Top Bottom