Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

Apana mm nakataa bana, sio km ulivyo sema km ni joto mbona moshi unatokea nyuma kwann usitokee mbele uje nyuma????? [emoji108]
Kumbuka hata mtu akijamba, moshi hutokea nyuma, inategemeana na mkao pia.
 
vifaa vinavyo paa na kuacha moshi angani wazungu wanasema ni chemtrails .na ndege za masafa marefu ndo uacha moshi according to google lakin tetesi ni kwamba ule moshi tunao uona ule unamadhara makubwa sana kwa afya ya binadamu wanyama na mimea pia huo moshi sio wa kawaida maana una affect mpaka weather ya hiyo sehemu,,,,,,na kwa taarifa zaidi zinasema ule moshi pia unapunguza life expectancy
Contrail.fourengined.arp.jpg
chemtrails-switzerland1.jpg
kegsonaplane-full.jpg
hqdefault.jpg
chemtrails2.jpg
images
 
Ule siyo moshi, bali ni mvuke. Mafuta yanapochomwa ndani ya injini hubadilika kuwa joto, linalosababisha hewa inayovutwa kutoka mbele kupanuka na "kulipuka" kwa kutokea kwenye exsozi nyuma huku ikisukuma ndege kwenda mbele. Kuungua kwa mafuta pia hutoa gesi ya Kaboni diokasaidi, na mvuke ambavyo vyote huchanganyika na kutokea kwenye eksozi. Mvuke ule unapokutana na baridi kali chini digrii sifuri huko je huganda mara moja na kuonekana kama moshi.
 
Kumbe hata wewe hukijui?
Inavyoeleweka huku angani kuna upepo wenye kasi kubwa (marekebisho kama siko sahihi).

Mara nyingi nimeona zile ndege zinazopita juu sana zamani tukiziita 'roketi' zinaacha mstari mweupe wa moshi na mstari huu unachukua muda kupotea/kutawanyika unaweza kuchukua hata dakika 10 au zaidi.

Je, kwa nini hali hiyo inatokea au inawezekana kuwa si kweli kuna upepo mkali huko angani?
 
This needs the very cold, very dry air at higher altitudes between 6000m and 12000m. These trails can form condensation cores for humidity already present, so the trail grows over time and stays in place for hours. They are called condensation trails or "contrails

Most aircraft that leave trails aren't leaving smoke. It's condensed water vapour; essentially, clouds. These are called contrails. This can be caused by the water in the engine exhaust condensing, or by the disruption of the air by the passage of the aircraft triggering the condensation of water that was already present.

Natumai itasaidia kidogo.. kwa hiyo ile kitu siyo moshi
 
Tulipokuwa wadogo tuliaminishwa kwamba hizo ndio roketi.

Tuliambiwa kwa afrika zinatua Misri na Afrika kusini tu.

Tuliambiwa kama kama umeiona ukiwa arusha(kwa mfano) ujue ipo misri.

Hata hivyo waliotuambia habari hizo hawakuwa na lengo la kutupotosha; huo ndio ulikuwa uelewa wao.

Nimewasamehe wote.
Asee kuna siku ilipita tukaambiwa eti inaenda kutua uwanjani( kuna shule ya secondary iko mbali kidogo na home!!)eti tukaambiwa tukimbie tukawahi kuona inavyotua asee tulikimbia umbali kama wa kilomita 20 eti yukaione..tulienda ila hakuna hata mmoja alofika maana ilifika sehemu tukawa hatuiioni tena hadi tukarudi kila mtu hoi
 
Ule siyo moshi, bali ni mvuke. Mafuta yanapochomwa ndani ya injini hubadilika kuwa joto, linalosababisha hewa inayovutwa kutoka mbele kupanuka na "kulipuka" kwa kutokea kwenye exsozi nyuma huku ikisukuma ndege kwenda mbele. Kuungua kwa mafuta pia hutoa gesi ya Kaboni diokasaidi, na mvuke ambavyo vyote huchanganyika na kutokea kwenye eksozi. Mvuke ule unapokutana na baridi kali chini digrii sifuri huko je huganda mara moja na kuonekana kama moshi.
Tudadavulie basi ile ndege huwa inabeba watu mizigooo au nini na mbona inapita mbali sana
 
Hiyo ndege unayoisema inaitwa jet aircraft.
Na hiko kitu kama moshi kinaitwa contrails yaani condensation trails.
Wengi tunadhani huo ni moshi unaotoka kwenye injini.They are not smoke from the engines,they are contrails,formed when the water in jet exhaust.
Jibu lako ni sahihi zaidi kuliko mengine yaliyotolewa, ule sio moshi bali ni water vapour inayotokana na kuungua kwa hydrocarbons ndani ya combustion chambers za jet engine, jet aircraft karibu zote zinatumia paraffin fuel ambayo ni kerosene ya kawaida tu. Unapounguza hydrocarbon matokeo ni carbondioxide (colourless) and water vapour (visible) hayo ma-exhaust gases ndio yanayoisukuma ndege iende mbele na kwa sababu ya baridi kule juu mvuke unatengeneza mawingu meupe tunayoyaona. Advantage ya jet ni kwamba inaweza kuruka hata kwenye outer space.
 
Kwanza mkuu inaweza kuwa ndege yoyote yenye engine aina ya jet. Pili ule sio moshi ila ni sawa na kitendo cha wewe uwe sehemu yenye hali ya ubaridi utoe hewa kuptia mdomo utaona kama moshi moshi au wingu jepesi.

So jet engine ikiwa inapita juu kama ujuavyo jinsi unavyopanda joto linapungua na kuna unyevu nyevu kwente hewa.

Na jet engine inafanya kaz kwa kuvuta hewa kiasi kikubwa ndani kisha kuigandamiza, ikaichanganya na mafta kisha ikaiunguza na kuachia itoke kwa nyuma ikiwa n speed kubwa na joto.

Kwa hiyo inapotokea nyuma inakuwa pia na joto kubwa na unyevunyevu ikikutana na ubaridi wa nje ndipo inatengeneza ka wingu hilo unaloliona ndege inaaca nyuma.

Nimejitahidi kueleza japo kiswahili kigumu unapojaribu ongelea mambo technical
ule sio
moshi bali ni water vapour
inayotokana na kuungua kwa
hydrocarbons ndani ya
combustion chambers za jet
engine, jet aircraft karibu zote
zinatumia paraffin fuel
ambayo ni kerosene ya
kawaida tu. Unapounguza
hydrocarbon matokeo ni
carbondioxide (colourless)
and water vapour (visible)
hayo ma-exhaust gases ndio
yanayoisukuma ndege iende
mbele na kwa sababu ya baridi
kule juu mvuke unatengeneza
mawingu meupe tunayoyaona.
Advantage ya jet ni kwamba
inaweza kuruka hata kwenye
outer space.
 
Inavyoeleweka huku angani kuna upepo wenye kasi kubwa (marekebisho kama siko sahihi).

Mara nyingi nimeona zile ndege zinazopita juu sana zamani tukiziita 'roketi' zinaacha mstari mweupe wa moshi na mstari huu unachukua muda kupotea/kutawanyika unaweza kuchukua hata dakika 10 au zaidi.

Je, kwa nini hali hiyo inatokea au inawezekana kuwa si kweli kuna upepo mkali huko angani?
ule sio
moshi bali ni water vapour
inayotokana na kuungua kwa
hydrocarbons ndani ya
combustion chambers za jet
engine, jet aircraft karibu zote
zinatumia paraffin fuel
ambayo ni kerosene ya
kawaida tu. Unapounguza
hydrocarbon matokeo ni
carbondioxide (colourless)
and water vapour (visible)
hayo ma-exhaust gases ndio
yanayoisukuma ndege iende
mbele na kwa sababu ya baridi
kule juu mvuke unatengeneza
mawingu meupe tunayoyaona.
Advantage ya jet ni kwamba
inaweza kuruka hata kwenye
outer space.
 
Oh, shukrani mkuu,
Sasa kwanini watumie engine ya jet tuseme ndio madhubuti sana, au ni bei nafuu au hakuna aina ya engine inayoweza kufunction kwa umbali huo?
Hata ndege nyingine zinapita (international air area) Anga ya kimataifa tatizo hauzioni kwa sababu hazitoi moshi
 
Hata ndege nyingine zinapita (international air area) Anga ya kimataifa tatizo hauzioni kwa sababu hazitoi moshi
Internatonal airspaces ni anga z juu za international waters( seas ), juu ya anga la kila nchi duniani ni sehemu ya nchi husika no matter ni juu kiasi gani kwa hiyo hakuna ndege inayoweza/kuruhusiwa kupita hapo bila kibali cha mwenye eneo.
 
Back
Top Bottom