Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Jet engine ni more powerful na inaeezesha chombo kwenda speed kali sana hata ukitaka kiende super sonic speed kwa propeller ngumu.Oh, shukrani mkuu,
Sasa kwanini watumie engine ya jet tuseme ndio madhubuti sana, au ni bei nafuu au hakuna aina ya engine inayoweza kufunction kwa umbali huo?
Pia inatumika kupeleka chombo sehemu kusiko na hewa la msingi chombo kibebe fuel yake mfano hydrogen