Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

Kama sikosei hii kitu ilishawahi kujadiliwa humu mda mrefu kidogo uliopita! Jaribu kufukunyua unaweza kuipata, kama vipi jaribu kuomba msaada kwa mods wakupe link!
 
Ule sio moshi ni kwamba kile chombo kinapita juu sana ambapo kuna baridi sana.

Engine yake inapofanya mlipuko basi kinakua na joto zaidi na kupelekea kuonekana kama moshi. Mfano mzuri ni maeneo yenye baridi sana ukipumua kwa mdomo utaona moshi unatoka mdomoni. Ila sio moshi ni joto tuu.

Sina uhakika sana kuhusu kile chombo ila niliwahi kusikia kwamba watafiti na mamlaka za hali ya hewa ndio huwa wanatumia kupata taarifa maeneo mbalimbali. Ndio maana kinaeza pita hata mara nne tuu tano utaona kinapita tuu.
 
Kwanza mkuu inaweza kuwa ndege yoyote yenye engine aina ya jet. Pili ule sio moshi ila ni sawa na kitendo cha wewe uwe sehemu yenye hali ya ubaridi utoe hewa kuptia mdomo utaona kama moshi moshi au wingu jepesi.

So jet engine ikiwa inapita juu kama ujuavyo jinsi unavyopanda joto linapungua na kuna unyevu nyevu kwente hewa.

Na jet engine inafanya kaz kwa kuvuta hewa kiasi kikubwa ndani kisha kuigandamiza, ikaichanganya na mafta kisha ikaiunguza na kuachia itoke kwa nyuma ikiwa n speed kubwa na joto.

Kwa hiyo inapotokea nyuma inakuwa pia na joto kubwa na unyevunyevu ikikutana na ubaridi wa nje ndipo inatengeneza ka wingu hilo unaloliona ndege inaaca nyuma.

Nimejitahidi kueleza japo kiswahili kigumu unapojaribu ongelea mambo technical
 
Ule sio moshi ni kwamba kile chombo kinapita juu sana ambapo kuna baridi sana. Engine yake inapofanya mlipuko basi kinakua na joto zaidi na kupelekea kuonekana kama moshi. Mfano mzuri ni maeneo yenye baridi sana ukipumua kwa mdomo utaona moshi unatoka mdomoni. Ila sio moshi ni joto tuu. Sina uhakika sana kuhusu kile chombo ila niliwahi kusikia kwamba watafiti na mamlaka za hali ya hewa ndio huwa wanatumia kupata taarifa maeneo mbalimbali. Ndio maana kinaeza pita hata mara nne tuu tano utaona kinapita tuu.
Sasa mbona kuna baaadhi ya ndege zinapita juu sana lakini hazito huo mvuke? Au ndi hivo vyombo vya hao watafiti tu ndo vyenye mtindo huo?
 
Why do jets leave a white trail in the sky?
Contrail_fourengined_airplane.jpg
 
Kwanza mkuu inaweza kuwa ndege yoyote yenye engine aina ya jet.
Pili ule sio moshi ila ni sawa na kitendo cha wewe uwe sehemu yenye hali ya ubaridi utoe hewa kuptia mdomo utaona kama moshi moshi au wingu jepesi .
So jet engine ikiwa inapita juu kama ujuavyo jinsi unavyopanda joto linapungua na kuna unyevu nyevu kwente hewa.
Na jet engineinafanya kaz kwa kuvuta hewa kiasi kikubwa ndani kisha kuigandamiza, ikaichanganya na mafta kisha ikaiunguza na kuachia itoke kwa nyuma ikiwa n speed kubwa na joto.
Kwa hiyo inapotokea nyuma inakuwa pia na joto kubwa na unyevunyevu ikikutana na ubaridi wa nje ndipo inatengeneza ka wingu hilo unaloliona ndege inaaca nyuma.
Nimejitahidi kueleza japo kiswahili kigumu unapojaribu ongelea mambo technical
Oh, shukrani mkuu,
Sasa kwanini watumie engine ya jet tuseme ndio madhubuti sana, au ni bei nafuu au hakuna aina ya engine inayoweza kufunction kwa umbali huo?
 
Ni ndege zinazopita katika anga la kimataifa kule anakopita aulizi njia kwa nchi husika...pia kule kuna mgandamizo wa hewa baridi inayokaribia kuganda inapopita ndege zile Jet engine zikitoa moshi wake unachoma hewa baridi inayokaribia kuganda na mwisho wake inatendeneza mawingu kama tumavyo yaona....

Kwa uelewa wangu.
 
Ni ndege zinazopita katika anga la kimataifa kule anakopita aulizi njia kwa nchi husika...pia kule kuna mgandamizo wa hewa baridi inayokaribia kuganda inapopita ndege zile Jett engine zikitoa moshi wake unachoma hewa baridi inayokaribia kuganda na mwisho wake inatendeneza mawingu kama tumavyo yaona....kwa uelewa wangu.
Duuh, sasa kama kule inapopita haitoi taarifa, hiyo haiwezi kuteteresha usalama wa nchi endapo watakapoamua kudondosha mabomu au sumu?
Au hiyo sheria ni kwa nchi za africa tu?
Cuz sidhani kama hadi marekani unaweza ukakatiza bila taarifa
 
Apana mm nakataa bana, sio km ulivyo sema km ni joto mbona moshi unatokea nyuma kwann usitokee mbele uje nyuma????? [emoji108]
 
Hiyo ndege unayoisema inaitwa jet aircraft.
Na hiko kitu kama moshi kinaitwa contrails yaani condensation trails.
Wengi tunadhani huo ni moshi unaotoka kwenye injini.They are not smoke from the engines,they are contrails,formed when the water in jet exhaust.
 
Sasa mbona kuna baaadhi ya ndege zinapita juu sana lakini hazito huo mvuke? Au ndi hivo vyombo vya hao watafiti tu ndo vyenye mtindo huo?
Hiyo ni tabia ya jet engine na inategemea humidity iliyopo kwenye atmosphere na altitude kilipo muda huo.
 
Back
Top Bottom