Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ kwanza na anko maba mliishia wapi?? Niliwaacha mko kwenye penzi moto motoHeheheheee πππππ mwenzio nimeolewa mwaka wa saba huu, thubutuuu ππππ
Fungua chuo cha ukungwi umuajiri pacha wako mabakuli awe mkufunzi mwenza Hehehee π€£
KATAA NDOA. NDOA NI UTAPELIKati ya sekta huria ambazo kila kinyangarika yumo basi ni NDOA.
Hii "sekta" ya ndoa huwezi kujua mtaalamu ni yupi wala majnuni ni yupi. Kila mtu kawaka moto anajitia mjuvi, hapoi wala haboi.
Ukiingia mitandaoni na penginepo, kila Tom na Jeri anafundisha kuhusu ndoa. Hata wachungaji nao ati ni walimu wa ndoa.
Kila aliye kwenye ndoa naye anajifanya mwalimu wa ndoa. Hata kama ndoa imemshinda lakini bado anang'ang'ana kuwa kungwi wa ndoa na kujifanya anagawa nasaha uchwara za ndoa.
Nashauri sasa serikali iunde VETA MAALUMU ambamo watapikwa makungwi wa ndoa na wapewe vyeti kabisa vya kitaaluma ili kwamba tunapohitaji ushauri wa KITAALAMU kuhusu ndoa tuwafuate hao.
Hatutaki huu utaratibu wa kila kanjanja anayejiita padri au pasta au mtu aliye kwenye ndoa kujifanya anatoa mawaidha ya ndoa wakati sote tunajua hana huo ujuzi wala maarifa. Ni kujitutumua tu.
Huwezi kukuta kila mtu akijifanya wakili au injinia. Huko kuna utaalamu hapataki Toms and jerries.
Lakini kwenye ndoa kila mtu ni fundi na rabi. Alaaah!
MY TAKE: Hili nalo mkalitazame.
YeahNdoa ni overrated , wala haina ukubwa na maana yoyote kama inavyovumishwa.
Penzi moto moto la nyoko πππ pacha wako mlaku sanaππππ kwanza na anko maba mliishia wapi?? Niliwaacha mko kwenye penzi moto moto
Umeanza...Nakuona na babe wako πππ
Hatimae wamefikiwaKati ya sekta huria ambazo kila kinyangarika yumo basi ni NDOA.
Hii "sekta" ya ndoa huwezi kujua mtaalamu ni yupi wala majnuni ni yupi. Kila mtu kawaka moto anajitia mjuvi, hapoi wala haboi.
Ukiingia mitandaoni na penginepo, kila Tom na Jeri anafundisha kuhusu ndoa. Hata wachungaji nao ati ni walimu wa ndoa.
Kila aliye kwenye ndoa naye anajifanya mwalimu wa ndoa. Hata kama ndoa imemshinda lakini bado anang'ang'ana kuwa kungwi wa ndoa na kujifanya anagawa nasaha uchwara za ndoa.
Nashauri sasa serikali iunde VETA MAALUMU ambamo watapikwa makungwi wa ndoa na wapewe vyeti kabisa vya kitaaluma ili kwamba tunapohitaji ushauri wa KITAALAMU kuhusu ndoa tuwafuate hao.
Hatutaki huu utaratibu wa kila kanjanja anayejiita padri au pasta au mtu aliye kwenye ndoa kujifanya anatoa mawaidha ya ndoa wakati sote tunajua hana huo ujuzi wala maarifa. Ni kujitutumua tu.
Huwezi kukuta kila mtu akijifanya wakili au injinia. Huko kuna utaalamu hapataki Toms and jerries.
Lakini kwenye ndoa kila mtu ni fundi na rabi. Alaaah!
MY TAKE: Hili nalo mkalitazame.
Watashauri wenye komwe wote wakatwe visimiHahaha. Hii ni VETA MAALUMU ya UKUNGWI.
πππππππππ TuliA weweNakuona na babe wako πππ
Mkuu nimecoment kabla hata sijasoma itoshe tu kusema nimechekaKati ya sekta huria ambazo kila kinyangarika yumo basi ni NDOA.
Hii "sekta" ya ndoa huwezi kujua mtaalamu ni yupi wala majnuni ni yupi. Kila mtu kawaka moto anajitia mjuvi, hapoi wala haboi.
Ukiingia mitandaoni na penginepo, kila Tom na Jeri anafundisha kuhusu ndoa. Hata wachungaji nao ati ni walimu wa ndoa.
Kila aliye kwenye ndoa naye anajifanya mwalimu wa ndoa. Hata kama ndoa imemshinda lakini bado anang'ang'ana kuwa kungwi wa ndoa na kujifanya anagawa nasaha uchwara za ndoa.
Nashauri sasa serikali iunde VETA MAALUMU ambamo watapikwa makungwi wa ndoa na wapewe vyeti kabisa vya kitaaluma ili kwamba tunapohitaji ushauri wa KITAALAMU kuhusu ndoa tuwafuate hao.
Hatutaki huu utaratibu wa kila kanjanja anayejiita padri au pasta au mtu aliye kwenye ndoa kujifanya anatoa mawaidha ya ndoa wakati sote tunajua hana huo ujuzi wala maarifa. Ni kujitutumua tu.
Huwezi kukuta kila mtu akijifanya wakili au injinia. Huko kuna utaalamu hapataki Toms and jerries.
Lakini kwenye ndoa kila mtu ni fundi na rabi. Alaaah!
MY TAKE: Hili nalo mkalitazame.
Mkuuππππ nimecoment kabla hata sijasoma itoshe tu kusema NDOA NI UTAPELIKati ya sekta huria ambazo kila kinyangarika yumo basi ni NDOA.
Hii "sekta" ya ndoa huwezi kujua mtaalamu ni yupi wala majnuni ni yupi. Kila mtu kawaka moto anajitia mjuvi, hapoi wala haboi.
Ukiingia mitandaoni na penginepo, kila Tom na Jeri anafundisha kuhusu ndoa. Hata wachungaji nao ati ni walimu wa ndoa.
Kila aliye kwenye ndoa naye anajifanya mwalimu wa ndoa. Hata kama ndoa imemshinda lakini bado anang'ang'ana kuwa kungwi wa ndoa na kujifanya anagawa nasaha uchwara za ndoa.
Nashauri sasa serikali iunde VETA MAALUMU ambamo watapikwa makungwi wa ndoa na wapewe vyeti kabisa vya kitaaluma ili kwamba tunapohitaji ushauri wa KITAALAMU kuhusu ndoa tuwafuate hao.
Hatutaki huu utaratibu wa kila kanjanja anayejiita padri au pasta au mtu aliye kwenye ndoa kujifanya anatoa mawaidha ya ndoa wakati sote tunajua hana huo ujuzi wala maarifa. Ni kujitutumua tu.
Huwezi kukuta kila mtu akijifanya wakili au injinia. Huko kuna utaalamu hapataki Toms and jerries.
Lakini kwenye ndoa kila mtu ni fundi na rabi. Alaaah!
MY TAKE: Hili nalo mkalitazame.
Nakuona wizo πππUmeanza...
π€£π€£π€£π€£ wee na yee bam bam bamPenzi moto moto la nyoko πππ pacha wako mlaku sana
Bado ujachekaMkuuππππ nimecoment kabla hata sijasoma itoshe tu kusema NDOA NI UTAPELI
Kwani wanaruhusu kuimba humuπ€£π€£π€£π€£ wee na yee bam bam bam
Yani penzi lenu tamu tamu tamtam
Wee ndo hawa yee adamu dam dam
Wanaruhusu chochote kinachokufurahisha kutype kasoro matusiKwani wanaruhusu kuimba humu
π€π€π€π€
πππππππππ Jamani weeehWanaruhusu chochote kinachokufurahisha kutype kasoro matusi