Kwanini ndoa zina washauri wengi?

Heheheheee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mwenzio nimeolewa mwaka wa saba huu, thubutuuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Fungua chuo cha ukungwi umuajiri pacha wako mabakuli awe mkufunzi mwenza Hehehee 🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwanza na anko maba mliishia wapi?? Niliwaacha mko kwenye penzi moto moto
 
KATAA NDOA. NDOA NI UTAPELI
 
Halafu Kuna kitu Cha kuchekesha washauri wengi wa ndoa Huwa wanaume wakishauri jinsi mke Bora anavyotakiwa kuwa!!!!! KuanziΓ  mashehe,wachungaji na ma Padre .Wote wanaume ndio hujitia watoa ushauri nasaha kuwa mke mwema aweje
 
Hatimae wamefikiwa
 
Mkuu nimecoment kabla hata sijasoma itoshe tu kusema nimecheka
 
MkuuπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† nimecoment kabla hata sijasoma itoshe tu kusema NDOA NI UTAPELI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…