Kwanini NECTA haitangazi matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili!?

Kwanini NECTA haitangazi matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili!?

Kila kitu kina ratiba yake sio siasa mwaka jana matokeo yalitangazwa tarehe 15/01/2021.

Kwa sasa matokeo ya darasa la nne,kidato cha pili na kidato cha nne yanatangazwa pamoja.

May be leo yatatangazwa.
 
Kila kitu kina ratiba yake sio siasa mwaka jana matokeo yalitangazwa tarehe 15/01/2021.

Kwa sasa matokeo ya darasa la nne,kidato cha pili na kidato cha nne yanatangazwa pamoja.

May be leo yatatangazwa.
Acheni mbwembwee....tangazeni matokeo.
 
Inawezekana wamefuta huu mtihani.
tangu mwezi wa 9 mwaka jana hadi leo hakuna matokeo wala hakuna maelezo ya nini kimetokea!!
hapo ndipo huwa nawashangaa sana viongozi wetu walio pewa dhamana, yaani hawajui au wamepuuzia au nini?

Darasa la 4 walifanya mitihani hata kabla ya kidato cha 4 na cha 2, wao matokeo yao yametoka darasa la 4 hakuna kitu! kuna nini kimetokea?
 
Tangu walipombambikizia Mbowe kesi ya UONGO laana ipo inawatafuna.
 
Back
Top Bottom