Kwanini nembo ya kenya ina picha ya madume ya simba mawili tu

Hili swali halina mbele wala nyuma, kwanini nembo yenu ina pembe za ndovu halafu nchi yenu inaongoza kwenye uharamia wa hizo hizo pembe.
Halafu nembo mumeweka mashoka na mikuki, mwenge na mazagazaga mengi duh!!


Majibu na Kilicho ulizwa Mbali mbali
Hovyo kabisa!!
 
simba koko hao wametoka kula nyumbu then wanamendea jogoo. jogoo nae kajihami kwa shoka 😱😱😱😱😱
 
Eti? Ya nini tena? Si tayari ipo hapa? Wewe chagua ile inayokupendeza alafu kaa ukijua ndio hiyo. 😎
Sasa nahitaji explanation kuhusu nembo zenu hizo. Nipatie maana ya kila kitu.
 
Nikimaliza kazi hiyo ntalipwa shilingi ngapi? Au ni kazi ya kupuliza tu gunia?[emoji15][emoji15][emoji15]
Unahitaji? Chukua basi! 😎
Vijana wa kenya hamna uelewa kuhusu nchi yenu. Mmekalia wizi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…