Kwanini nembo ya kenya ina picha ya madume ya simba mawili tu

Kwanini nembo ya kenya ina picha ya madume ya simba mawili tu

Hili swali halina mbele wala nyuma, kwanini nembo yenu ina pembe za ndovu halafu nchi yenu inaongoza kwenye uharamia wa hizo hizo pembe.
Halafu nembo mumeweka mashoka na mikuki, mwenge na mazagazaga mengi duh!!

ngao.png

Majibu na Kilicho ulizwa Mbali mbali
Hovyo kabisa!!
 
government-of-kenya-logo-77AF616AE1-seeklogo.com.png


Nembo yenyewe ndio hii!
Yaani hamna mirangi rangi ya ajabu ajabu wala shoka mbili, sijui ya kukatia miti na ingine ya kutoa watu roho, mara sijui jike na dume. Cheki kucha za simba, yaani unaona kabisa ndio wametoka kuua na kula nyumbu wa kitanzania! [emoji38] Mungu ibariki nchi yangu tukufu ya Kenya!!!
simba koko hao wametoka kula nyumbu then wanamendea jogoo. jogoo nae kajihami kwa shoka 😱😱😱😱😱
 
Eti? Ya nini tena? Si tayari ipo hapa? Wewe chagua ile inayokupendeza alafu kaa ukijua ndio hiyo. 😎
Sasa nahitaji explanation kuhusu nembo zenu hizo. Nipatie maana ya kila kitu.
 
Nikimaliza kazi hiyo ntalipwa shilingi ngapi? Au ni kazi ya kupuliza tu gunia?[emoji15][emoji15][emoji15]
Unahitaji? Chukua basi! 😎
Vijana wa kenya hamna uelewa kuhusu nchi yenu. Mmekalia wizi tu.
 
Back
Top Bottom