Kwa namma yalivyo makubwa nimefananisha πHapana. Hayo ndo maumbile yake. Laiti ingewezekana nguruwe dume rijali akasimama/akasimamishwa kwa miguu yake miwili ya nyuma peke yake, Me, tungelielewa zaidi.
Wala hakuna watekaji?Pale ni Tanganyika unajiachia tu hakuna kificho
Siyo sababu ni haramu, hata binadΓ mu hauzwi mnadani si kwa kuwa ni haramu.Kwa sababu nguruwe ni haram
Umechemka hapo broo. Kumbuka huyo Mwamba shughuli yake ni pevu na ili ikamilike huchukua Nusu saa nzima (30 mins) jamaa yupo Top na mzigo wake (Total complete ejaculate) ni NUSU LITA na anaweza kurudia mara mbili kwa siku bila afya kutetereka.Kwa namma yalivyo makubwa nimefananisha π
Sawa mkuuPale ccm na pale jeshini
Ah bhana! Mambo mengine ni kuyanyamazia tuu kwa sababu hao-hao wanaosema hichi Haram kile ni najis hii ni sunn'ah etc ndo hao hao waliokuwa wanaendesha ule mnada pale Bagamoyo karibu na deep sea pembeni ya lile kanisa (wanapokaanga samaki) huku babu zetu wakiwa na ile minyororo miguuni wamefungwa kwenye yale matofali ya zege na wanunuzi wakiwapekenyua watumwa hao mdomoni na etc kuona kama meno yote yapo intact n.k. Ni Aibu yao milele- ndo mana sijui kama itakaa itokee siku niwapende hao majamaa.Siyo sababu ni haramu, hata binadΓ mu hauzwi mnadani si kwa kuwa ni haramu.
Allah Subhanahu Wa TaβalaKwa nani na nani huo uharamu?
Ukiwapa pombe wanatulia.Kwa zile kelele zake huko mnadani mtasikilizana kweli!
Ndo nasikia Leo.Njoo hapa Mkako Songea wanauzwa kama njugu
Nazungumzia minada kama ya pugu nkA-Aaa,Mkuu; Umesema "Tangu nianze kutembelea minada mikubwa" halafu tena hujataja ni wapi. Kumbe ww ulilenga made in hapa-hapa? Hukunyoosha maneno broo.
Ng'ombe na mbuzi hawajitambui ndiyo sababu muda wote wameinama wanasubiri kuswagwa, jaribu kumswaga nguruwe utaona chamoto.Kwani ng'ombe na mbuzi ndo rafiki zetu?
Usinikumbushe wavuvi walimpa Zed (pombe ya kiroba) ndege John alipolewa ilikuwa habari nyingine ππUkiwapa pombe wanatulia.
Sababu kuu ni dini, kwa kuheshimu baadhi ya wananchi wenye imani zao ambao zinawakataza kutotumia hao wanyama hata kama nchi haina dini. Na tunashukuru kwa watanzania kwa ujumla wao wameweza kuvumiliana na kushirikiana katika mambo yao ya kijamii bila kujali imanai au itikadi zao.Tukiondoa sababu za Imani Kuna sababu nyingine Nje na hapo maana Nchi hii Haina Dini.
Hata kwenye maonyesho ya nanenane Huwa tunawaona mkuu
Daaaah wee jamaa ππππOh! Nyama yote inaisha pale pale machinjioni. Siku ikiwa nyingi kidogo inamalizikia njiani hata haifiki pale kwa mangi.
Mkuu lekebisha hapo..Hakuna MTU anae Mpendwa Nguruwe,Bali Nguruwe upendwa na Nguruwe wenzio...Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
NdioKwahiyo u special wake ndo unamfanya asiingie mnadani?
Wewe ni muislamu mkuu?kwasababu
sisi waislam ,tumejivicha kwenye uchinjaji wa ng'ombe ,minada ya wazi hiyo ni ngao yetu
Kelele sio sababu hata punda anakelele vilevile hata ngo'mbe hasa mafahari yanapenda kutambiana sana.Kwa hyo kwa akili zenu jibu tayari kwa nn kuku ana keleΔΊe na yupo mnadani