Kama Toka enzi za nabii Musa ni najisi kwanini ngamia mnakula Ili Hali nae ni najisi vilevile?Huyo mnyama ni najis tangu enzi za nabii musa, mwenye masikio na asikie
Kelele sio sababu hata kidogo. Hawajui kanga huyo wakiwa Saba tu kelele za hapo ni shidaau beberu yn mbuzi dume ni kelele mwanzo mwisho lakini yupo mnadani. Ila Sijasikia wakisemwa watu ambao ndo wenye kelele nyingi zaidi ya mifugo inayouzwa hapo japokuwa watu hao hawauzwi.
😂😂😂Haya banaUlishaona mwanamke wa thamani anajiuza Bar?Kitimoto ni nyama ya heshima na thamani maalum kwa wateule wa Duniani na Mbinguni,(Prince/princess of earth and heaven)haiwezi uzwa ovyo ovyo...
Hii ni kweli kwamba biashara huishia shamban tuKama mnaitaka mali mtaipata shambani
Sahihi mkuu lakini hapo hapo mnadani ukienda sehem ya nyama choma ukiuliza kitimoto Unapata.Sababu kuu ni dini, kwa kuheshimu baadhi ya wananchi wenye imani zao ambao zinawakataza kutotumia hao wanyama hata kama nchi haina dini. Na tunashukuru kwa watanzania kwa ujumla wao wameweza kuvumiliana na kushirikiana katika mambo yao ya kijamii bila kujali imanai au itikadi zao.
Nguruwe ni zaidi ya nyama mkuu.Mkuu lekebisha hapo..Hakuna MTU anae Mpendwa Nguruwe,Bali Nguruwe upendwa na Nguruwe wenzio...
Najua mkuuKwani hujui kama kizuri kinajiuza kibaya kinajitembeza
Mkuu una Manisha manii yake (shahawa )ni kanusu Lita?Umechemka hapo broo. Kumbuka huyo Mwamba shughuli yake ni pevu na ili ikamilike huchukua Nusu saa nzima (30 mins) jamaa yupo Top na mzigo wake (Total complete ejaculate) ni NUSU LITA na anaweza kurudia mara mbili kwa siku bila afya kutetereka.
Wazee wetu nao walikuwa Walpole sana Ile unaing'ata then unaitemaAh bhana! Mambo mengine ni kuyanyamazia tuu kwa sababu hao-hao wanaosema hichi Haram kile ni najis hii ni sunn'ah etc ndo hao hao waliokuwa wanaendesha ule mnada pale Bagamoyo karibu na deep sea pembeni ya lile kanisa (wanapokaanga samaki) huku babu zetu wakiwa na ile minyororo miguuni wamefungwa kwenye yale matofali ya zege na wanunuzi wakiwapekenyua watumwa hao mdomoni na etc kuona kama meno yote yapo intact n.k. Ni Aibu yao milele- ndo mana sijui kama itakaa itokee siku niwapende hao majamaa.
Wanaogopa haramu😂Wala hakuna watekaji?
Mazao mengi hununuliwa shambani na walanguzi na madalaliHii ni kweli kwamba biashara huishia shamban tu
Ngamia mimi sili kwa sheria ile ile iliyoanzia kwa musa na ipo kwenye quran na kama ukila unatakiwa utawadhe, utakula kama hakuna chakula kingine, na kama ukikosa itapekea kufaKama Toka enzi za nabii Musa ni najisi kwanini ngamia mnakula Ili Hali nae ni najisi vilevile?
Turudi kwenye Uzi husika achana na Imani.
Ndio kitimoto yenyewrBro tuheshimianeView attachment 3140381
Anawahi mnadani au?Mmemsahau ngoja apite kidogoView attachment 3140391
Hawa kulungu Huwa siwajui kabisa mkuu. Nimeona Kitimoto kashika No1👏👏Ijue Top 10 ya nyama pendwa duniani
10: VENISON (FAMILIA YA KULUNGU) Hawa Ni Swala na Familia Nzima Ya Kulungu. Pia Nyama Yoyote iliyowindwa Pia Inaitwa Venison. Hii Ndo Nyama Namba 10 kwa Kuliwa Sana Duniani. 9: RABBIT (SUNGURA) Watu Mara Nyingi Hawachagui Nyama Ya Sungura kama Chaguo la Kwanza. Lakini Ni Nyama Yenye Ladha isio...www.jamiiforums.com
Mbona huko kwenye uislamu ni nyama pendwa kabisa?Ngamia mimi sili kwa sheria ile ile iliyoanzia kwa musa na ipo kwenye quran na kama ukila unatakiwa utawadhe, utakula kama hakuna chakula kingine, na kama ukikosa itapekea kufa
Anabebeka tu hata kwenye boda mkuuMtiti wa kumpandisha nguruwe kwenye gari sio wakitoto