Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

 
au beberu yn mbuzi dume ni kelele mwanzo mwisho lakini yupo mnadani. Ila Sijasikia wakisemwa watu ambao ndo wenye kelele nyingi zaidi ya mifugo inayouzwa hapo japokuwa watu hao hawauzwi.
Kelele sio sababu hata kidogo. Hawajui kanga huyo wakiwa Saba tu kelele za hapo ni shida
 
Sababu kuu ni dini, kwa kuheshimu baadhi ya wananchi wenye imani zao ambao zinawakataza kutotumia hao wanyama hata kama nchi haina dini. Na tunashukuru kwa watanzania kwa ujumla wao wameweza kuvumiliana na kushirikiana katika mambo yao ya kijamii bila kujali imanai au itikadi zao.
Sahihi mkuu lakini hapo hapo mnadani ukienda sehem ya nyama choma ukiuliza kitimoto Unapata.

Pia kwenye nanenane wapo nguruwe wengi tu. Hapo ndo napata ukakasi kwanini mnadani tu?
 
Umechemka hapo broo. Kumbuka huyo Mwamba shughuli yake ni pevu na ili ikamilike huchukua Nusu saa nzima (30 mins) jamaa yupo Top na mzigo wake (Total complete ejaculate) ni NUSU LITA na anaweza kurudia mara mbili kwa siku bila afya kutetereka.
Mkuu una Manisha manii yake (shahawa )ni kanusu Lita?
 
Ah bhana! Mambo mengine ni kuyanyamazia tuu kwa sababu hao-hao wanaosema hichi Haram kile ni najis hii ni sunn'ah etc ndo hao hao waliokuwa wanaendesha ule mnada pale Bagamoyo karibu na deep sea pembeni ya lile kanisa (wanapokaanga samaki) huku babu zetu wakiwa na ile minyororo miguuni wamefungwa kwenye yale matofali ya zege na wanunuzi wakiwapekenyua watumwa hao mdomoni na etc kuona kama meno yote yapo intact n.k. Ni Aibu yao milele- ndo mana sijui kama itakaa itokee siku niwapende hao majamaa.
Wazee wetu nao walikuwa Walpole sana Ile unaing'ata then unaitema
 
Kama Toka enzi za nabii Musa ni najisi kwanini ngamia mnakula Ili Hali nae ni najisi vilevile?

Turudi kwenye Uzi husika achana na Imani.
Ngamia mimi sili kwa sheria ile ile iliyoanzia kwa musa na ipo kwenye quran na kama ukila unatakiwa utawadhe, utakula kama hakuna chakula kingine, na kama ukikosa itapekea kufa
 
Hawa kulungu Huwa siwajui kabisa mkuu. Nimeona Kitimoto kashika No1👏👏
 
Back
Top Bottom