Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

wazee wa kazi wapo 'mlangali ulayasi' kama unaelekea ludewa njombe kila tar 16 ya kila mwezi, wao ni kuuza nyama ya nguruwe tu tena wanakata nyama nyekundu tu na ile nyama nyeupe wanayeyusha mafuta wanayauza kwenye chupa. Mnyama ni mtamu sana aisee...ni ku enjoy tu!.
Nikifika minadani kitu cha kwanza ni kutafuta chimbo la nyama ya nguruwe kabla ya shughuli zilizonipeleka 😛 😛
 
Mhhh! Unaweka na "matosan" kwa pembeni au ivo ivo.
 
Anzisha tu mnada wa nguruwe, wala nguruwe wengi sana, hukosi wala nguruwe.
 
Kama Kuna machinjio nguruwe Kwa Sasa afadhari Sasa siku si nyingi hakika tutaanza ona nguruwe minadani. Ahsantee sana Kwa jibu zuri la kina mkuu🙏🙏🙏
 
Kuna mnada niliwahi uliza mbona kwenye list ya wanyama wanauzwa kwenye kibali hiki nguruwe hayupo nikaambiwa nguruwe hauzwi mnadani nilijiuliza sababu hasa ni nn Hadi asiuzwe. Leo nimepata majawabu!
 
Sah
Sahihi mkuu
 
Sasa ikiwa nyama choma ya kitimoto unapata na wanapatikana hadi nanenane, sidhani kama wanahitaji kupatikana hadi mnadani. Wangu maisha ni mafupi na kuna mambo mengi hebu tujadili vipi tunaweza kuwarithisha kizazi kijacho Tanzania yenye matumaini.
Tukemee uchawa na ufisadi mkuu then katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…