wazee wa kazi wapo 'mlangali ulayasi' kama unaelekea ludewa njombe kila tar 16 ya kila mwezi, wao ni kuuza nyama ya nguruwe tu tena wanakata nyama nyekundu tu na ile nyama nyeupe wanayeyusha mafuta wanayauza kwenye chupa. Mnyama ni mtamu sana aisee...ni ku enjoy tu!.
Nikifika minadani kitu cha kwanza ni kutafuta chimbo la nyama ya nguruwe kabla ya shughuli zilizonipeleka 😛 😛
Nikifika minadani kitu cha kwanza ni kutafuta chimbo la nyama ya nguruwe kabla ya shughuli zilizonipeleka 😛 😛