Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Kuelekea mnadani tabu tupu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguruwe nyama yake inauzwa kwenye mabanda machafu machafu pembeni kuna mfereji wa majitaka.Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Ni hivi, KIZURI CHAJIUZA, KIBAYA CHAJITEMBEZA. Over 😂Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Huyu kiumbe Kwa hakika ni mtamu sana. Imagine ukiwa na kachumbari,ndizi,na kapilipili Kwa mbali halafu mzinga wa nyagi upo pale daaah mkuu kama hujawahi jaribu fanya usisubiri kusimuliwa Kila na ulete mrejesho hapa.Nguruwe nyama yake inauzwa kwenye mabanda machafu machafu pembeni kuna mfereji wa majitaka.
Hastahili kupelekwa mnadani macha atatuchafulia mazingira
🙌Ni hivi, KIZURI CHAJIUZA, KIBAYA CHAJITEMBEZA. Over 😂
Hata walao nyama za punda na fisi hutoa sifa mujarrabu km hizoHuyu kiumbe Kwa hakika ni mtamu sana. Imagine ukiwa na kachumbari,ndizi,na kapilipili Kwa mbali halafu mzinga wa nyagi upo pale daaah mkuu kama hujawahi jaribu fanya usisubiri kusimuliwa Kila na ulete mrejesho hapa.
Sio sehemu zote wanazouza kitimoto ni kuchafu, labda huko changanyikeni.Nguruwe nyama yake inauzwa kwenye mabanda machafu machafu pembeni kuna mfereji wa majitaka.
Hastahili kupelekwa mnadani macha atatuchafulia mazingira
Majogoo ya bata mzinga yana kelele sanaMbona Punda anauzwa na Ana kelele🤣🤣
Au Ushawahi kusikia Kelele xa Kanga au Yale Maturkey Bird Wale Bata Mzinga
SaaanaMajogoo ya bata mzinga yana kelele sana
Kwani fisi na punda kuliwa ni maajabu? Mimi niliona binadamu anakula binadamu mwenzie ndo nitashangaa lkn Kwa habar za wanyama ale tuHata walao nyama za punda na fisi hutoa sifa mujarrabu km hizo
Namuona iddy katika Angle makini kabisa😂😂😂
Siyo sababu mkuuHawapendi vumbi
Nchi Haina Dini hii waache hizoNg'ombe,Mbuzi,Kuku ,kondoo nk, hawa viumbe hawana dini ila Nguruwe ni Mdini wa Kikristo lkn Upande wa pili wapo wanaomnunua
Sijasema ni ajabu, bali nimesema hata wala fisi na punda huwa wanasifu utamuwe kama wamavyosifu wala nguruwe!Kwani fisi na punda kuliwa ni maajabu? Mimi niliona binadamu anakula binadamu mwenzie ndo nitashangaa lkn Kwa habar za wanyama ale tu
Maana yangu ni kwamba huwezi kuuza nyama ya ng'ombe au mbuzi mazingira machafu. Lazima upate leseni na mamlaka husika zikague na kukupa masharti.Sio sehemu zote wanazouza kitimoto ni kuchafu, labda huko changanyikeni.
Sio kweli, katafiti vizuri ukipata mudaMaana yangu ni kwamba huwezi kuuza nyama ya ng'ombe au mbuzi mazingira machafu. Lazima upate leseni na mamlaka husika zikague na kukupa masharti.
Lakini kuuza nyama ya nguruwe wala huhitaji leseni na hakuna masharti hata yale ya formal dressing