Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

Jf saalam.

Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.

Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?

Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.

Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Nguruwe nyama yake inauzwa kwenye mabanda machafu machafu pembeni kuna mfereji wa majitaka.
Hastahili kupelekwa mnadani macha atatuchafulia mazingira
 
Jf saalam.

Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.

Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?

Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.

Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Ni hivi, KIZURI CHAJIUZA, KIBAYA CHAJITEMBEZA. Over 😂
 
Nguruwe nyama yake inauzwa kwenye mabanda machafu machafu pembeni kuna mfereji wa majitaka.
Hastahili kupelekwa mnadani macha atatuchafulia mazingira
Huyu kiumbe Kwa hakika ni mtamu sana. Imagine ukiwa na kachumbari,ndizi,na kapilipili Kwa mbali halafu mzinga wa nyagi upo pale daaah mkuu kama hujawahi jaribu fanya usisubiri kusimuliwa Kila na ulete mrejesho hapa.
 
Screenshot_20230927-191237.png


Mmh!
 
Sio sehemu zote wanazouza kitimoto ni kuchafu, labda huko changanyikeni.
Maana yangu ni kwamba huwezi kuuza nyama ya ng'ombe au mbuzi mazingira machafu. Lazima upate leseni na mamlaka husika zikague na kukupa masharti.
Lakini kuuza nyama ya nguruwe wala huhitaji leseni na hakuna masharti hata yale ya formal dressing
 
Maana yangu ni kwamba huwezi kuuza nyama ya ng'ombe au mbuzi mazingira machafu. Lazima upate leseni na mamlaka husika zikague na kukupa masharti.
Lakini kuuza nyama ya nguruwe wala huhitaji leseni na hakuna masharti hata yale ya formal dressing
Sio kweli, katafiti vizuri ukipata muda
 
Back
Top Bottom