Bongo senior
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 757
- 1,526
Mkuu sawa bana
Karibu tena mkuu.Mkuu sawa bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sawa bana
Karibu tena mkuu.Mkuu sawa bana
Uvumilivu ni kipaji Kama vipaji vingineKweli kabisa mkuu. Ila tunaomba na wao watuvumilie tu kama sisi tunavyo wavumilia kutuchinjia mifugo yetu.
Hawapatikani kwa wingi ndio maana, kama wangekuwa wanafugwa kwa kama ng'ombe au mbuzi au kuku sidhani kama wangekuwa adimu.Your lost
Wale hawana cha sokoni wananunuliwa moja kwa moja mabandani jinsi walivyo na thamani
Uko sawaUvumilivu ni kipaji Kama vipaji vingine
Usiwaze mkuuKaribu tena mkuu.
Uhakika mkuu. Jambo jema ni kuwa Hana Sumu.Sijasema ni ajabu, bali nimesema hata wala fisi na punda huwa wanasifu utamuwe kama wamavyosifu wala nguruwe!
Utafiti simple kabisa.Sio kweli, katafiti vizuri ukipata muda
Kwako brainwashedNguruwe ni halamu
Kabisa,nilenda mnada mmoja karagwe,nilikuta kuna mtaa mzima ni wakuuzq na kukaanga nyama ya nguruwe,kitimoto inaliwa mitaa ile sio mchezo na bia za kutosha.Nchi ina waislam na waislam hawapendi nguruwe ndio maana hauzwi minadani kama wanyama wengine. Ila hapohapo mnadani utakuta kuna eneo nyama za nguruwe zinauzwa na kuliwa hadharani
Kwanini unapenda kula nguruwe mkuuKwako brainwashed
na fujo nyingi sanaKwa zile kelele zake huko mnadani mtasikilizana kweli!
Kidumu chama cha tlp na maendeleo😃😃Kizuri Chajiuza kibaya chajitembeza
Tembea ujionee, acha kujifungia magetoniJf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
hizi picha huwa mnazitoa wapi wakuu?Tembea ujionee, acha kujifungia magetoni

Vipi bei yake ni ileile kama huku kg1kwa 11k?Kabisa,nilenda mnada mmoja karagwe,nilikuta kuna mtaa mzima ni wakuuzq na kukaanga nyama ya nguruwe,kitimoto inaliwa mitaa ile sio mchezo na bia za kutosha.
Nguruwe ni kama iphone inauzika akiwa bandani.Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Nguruwe ni kama iphone inauzika akiwa bandani.
Hamia Burundi ukale Najisi.Sawa mkuu,, lakini hii sio sawa.
Kwa Nini Imani yao itupe shida sisi wengine?