Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

Your lost
Wale hawana cha sokoni wananunuliwa moja kwa moja mabandani jinsi walivyo na thamani
Hawapatikani kwa wingi ndio maana, kama wangekuwa wanafugwa kwa kama ng'ombe au mbuzi au kuku sidhani kama wangekuwa adimu.
Ila mavi yao yananuka hatari kwa hiyo kufuga maeneo ya mijini ni shida.
 
Sio kweli, katafiti vizuri ukipata muda
Utafiti simple kabisa.
We pita mitaa ya Mbeya huko Iyunga, Uyole... ni mabanda ya kuuza nguruwe chini inapita mifereji ya majitaka. Huhitaji leseni.
Lkn jirani tu Bucha za nyama ng'ombe lazima uwe na leseni, ukaguzi wa mara kwa mara kuhakikisha usafi unazingatiwa
 
Nchi ina waislam na waislam hawapendi nguruwe ndio maana hauzwi minadani kama wanyama wengine. Ila hapohapo mnadani utakuta kuna eneo nyama za nguruwe zinauzwa na kuliwa hadharani
Kabisa,nilenda mnada mmoja karagwe,nilikuta kuna mtaa mzima ni wakuuzq na kukaanga nyama ya nguruwe,kitimoto inaliwa mitaa ile sio mchezo na bia za kutosha.
 
Tembea ujionee, acha kujifungia magetoni
 

Attachments

  • 20241103_143845.jpg
    138.4 KB · Views: 2
Nguruwe ni kama iphone inauzika akiwa bandani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…