Gabeji
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 1,530
- 1,903
Mm nilitegemea NYERERE kwa exposure yako kubwa hiyo, ungefanya analysis vizuri kabisa mazuri na mabaya ya lisu na mbowe hivyo hivyo, I'li kuwachia wanachadema wachague wao, nimesikitika sana ww kuonesha uchawa wako hapa, ivi wewe ndio ulie chukua tunzo za uwandishi bora afrika? Sijajua vigezo wanavyotumia. Mm nilitegemea ww utoe mwanga kwa watanzania juu cha ya nani ni bora Kati ya lisu na mbowe? Ulichokifanya umeonyesha ushabiki (uchawa) na sio mwandishi wa kutoa elimu. Frankly speaking l disvalued u. Japo na ww ni maoni Yako na unabenefiti kutoka kwa Mbowe.