Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hivi Marais na mawaziri wa Marekani huwa hawajihusishi na vitendo vya rushwa wakiwa madarakani au wanafanya kijanja sana? Huwa nasikia viongozi hawa wakitajwa kwenye skendo mbalimbali lakini ni nadra sana na sijawahi kusikia kabisa Rais au waziri Marekani anatuhumiwa kwa rushwa zinazohusu pesa za wa Marekani. Njoo Africa sasa, ni kama kunywa maji tu!