Kwanini ni Ngumu sana kuwa na Pesa ndani ya umri huu (20-29)

Kwanini ni Ngumu sana kuwa na Pesa ndani ya umri huu (20-29)

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Najiuliza hasa ni nini kipo nyuma ya sayansi ya pesa na umri, naangalia na Kuona na naendelea kujiuliza Nini kipo nyuma hasa ya kupata mafanikio na umri.

Vijana wengi Huwa wanaanza kutafuta pesa wakiwa na Miaka 18, lakini pia wengine huanza kutafuta pesa katika umri wa Miaka 22 akiwa Amemaliza chuo.

Cha kushangaza ni vijana wachache mno wenye umri kati ya Miaka 20 na 29 utakuta anamiliki pesa au angalau amefikia kipato Cha kati, Nini hasa mbinu ya utajiri au kujikwamua kiuchumi.

Watu wengi wenye pesa umri wao Huwa unaanzia Miaka 30 na kuendelea, ambao Hawa wanaitwa wazee na watoto wa 2000, Sasa wataalamu tunaomba mtudadavulie sayansi hii, angalia hata kina GSM , Kusaga, Diamond, Laswai, Hawa wote Wana pesa na hawako age range hiyo.

Je, ndiyo Kusema ni vigumu kutoboauliwa 20s
 
Mimi nilitoboa nikiwa na miaka 25. Nikawa na m7 ya biashara nakujenga nishajega. Dunia huku kila mtu na mizimu yake, ikimbariki mapema unatusua mapema wengine mizumu yao inawasubiri hadi wawe watu wazima. mganga wangu fundi iliniambia kununua nguo nyeusi ninunuliwe na baba yangu au babu. Kwel nikafanya hivyo aisee dunia hii ina siri sana
 
Mimi nilitoboa nikiwa na miaka 25. Nikawa na m7 ya biashara nakujenga nishajega. Dunia huku kila mtu na mizimu yake, ikimbariki mapema unatusua mapema wengine mizumu yao inawasubiri hadi wawe watu wazima. mganga wangu fundi iliniambia kununua nguo nyeusi ninunuliwe na baba yangu au babu. Kwel nikafanya hivyo aisee dunia hii ina siri sana
Mkuu hapa tunazungumzia mtu kufanikiwa kwa jasho lake na kwa uhalali.
 
Nazan ukiingia mtaan mapema ukiwa na 18 yrs unaweza toboa mapema,sema pesa nyingi na umri mdogo napo ni shida kuimeneji ni tatzo

Nafikiria hata hao wakina Yamal wanawezaje
Uko sahihi sana, Mi siku soma, nimeanza kushika Pesa Niko na Miaka 13 Lakini nilipofika Miaka 16 Kila chup navua, na nilianza kutulia baada ya 27-30
 
Najiuliza hasa ni hasa kipo nyuma ya sayansi ya pesa na umri, naangalia na Kuona na naendelea kujiuliza Nini kipo nyuma hasa ya kupata mafanikio na umri.

Vijana wengi Huwa wanaanzia kutafuta pesa wakiwa na Miaka 18, lakini pia wengine huanza kutafuta pesa katika umri wa Miaka 22 akiwa Amemaliza chuo.

Cha kushangaza ni vijana wachache mno wenye umri kati ya Miaka 20 na 29 utakuta anamiliki pesa au angalau amefikia kipato Cha kati, Nini hasa mbinu ya utajiri au kujikwamua kiuchumi.

Watu wengi wenye pesa umri wao Huwa unaanzia Miaka 30 na kuendelea, ambao Hawa wanaitwa wazee na watoto wa 2000, Sasa wataalamu tunaomba mtudadavulie sayansi hii, angalia hata kina GSM , Kusaga, Diamond, Laswai, Hawa wote Wana pesa na hawako age range hiyo.

Je, ndiyo Kusema ni vigumu kutoboauliwa 20s
Uki Hustle kwa jasho lako from scratch basi mpaka ufikishe 30s
Chini ya hapo upate za urithi au nguvu ya pesa na jicho la 3
 
Mimi nilitoboa nikiwa na miaka 25. Nikawa na m7 ya biashara nakujenga nishajega. Dunia huku kila mtu na mizimu yake, ikimbariki mapema unatusua mapema wengine mizumu yao inawasubiri hadi wawe watu wazima. mganga wangu fundi iliniambia kununua nguo nyeusi ninunuliwe na baba yangu au babu. Kwel nikafanya hivyo aisee dunia hii ina siri sana
NI kweli jamaa katoboa namuonaga FORBES na kina MO
 
Mimi nilitoboa nikiwa na miaka 25. Nikawa na m7 ya biashara nakujenga nishajega. Dunia huku kila mtu na mizimu yake, ikimbariki mapema unatusua mapema wengine mizumu yao inawasubiri hadi wawe watu wazima. mganga wangu fundi iliniambia kununua nguo nyeusi ninunuliwe na baba yangu au babu. Kwel nikafanya hivyo aisee dunia hii ina siri sana
7m na kujenga ndio kutoboa🤣🤣🤣🤣
Are you kidding me?
 
Mimi nilitoboa nikiwa na miaka 25. Nikawa na m7 ya biashara nakujenga nishajega. Dunia huku kila mtu na mizimu yake, ikimbariki mapema unatusua mapema wengine mizumu yao inawasubiri hadi wawe watu wazima. mganga wangu fundi iliniambia kununua nguo nyeusi ninunuliwe na baba yangu au babu. Kwel nikafanya hivyo aisee dunia hii ina siri sana
Eee bhanaa 😂
 
Najiuliza hasa ni nini kipo nyuma ya sayansi ya pesa na umri, naangalia na Kuona na naendelea kujiuliza Nini kipo nyuma hasa ya kupata mafanikio na umri.

Vijana wengi Huwa wanaanza kutafuta pesa wakiwa na Miaka 18, lakini pia wengine huanza kutafuta pesa katika umri wa Miaka 22 akiwa Amemaliza chuo.

Cha kushangaza ni vijana wachache mno wenye umri kati ya Miaka 20 na 29 utakuta anamiliki pesa au angalau amefikia kipato Cha kati, Nini hasa mbinu ya utajiri au kujikwamua kiuchumi.

Watu wengi wenye pesa umri wao Huwa unaanzia Miaka 30 na kuendelea, ambao Hawa wanaitwa wazee na watoto wa 2000, Sasa wataalamu tunaomba mtudadavulie sayansi hii, angalia hata kina GSM , Kusaga, Diamond, Laswai, Hawa wote Wana pesa na hawako age range hiyo.

Je, ndiyo Kusema ni vigumu kutoboauliwa 20s
Kuwa na pesa ndani ya umri wa miaka 20-29 ni changamoto kwa wengi, na kuna sababu kadhaa zinazofanya iwe ngumu sana.

1. Kuanza Maisha na Kazi

Wengi wanapokuwa wameanza kazi rasmi au kujitegemea, huwa hawana uzoefu mkubwa wa maisha wala kipato cha juu.

Malipo yao yanaweza kuwa ya chini na wakati huohuo wanajifunza kuhusu uwajibikaji wa kifedha. Jambo ambalo ni gumu.

2. Matarajio na Shinikizo la Kijamii
Kwa kawaida katika umri huu, huwa kuna matarajio mengi kutoka kwa familia, marafiki, na jamii kuhusu mafanikio yao.

Hali hiyo huwafanya nao wajaribu kuendana na mtindo wa maisha wa kukidhi kiu za wanaowazunguka, hali ambayo inaweza kuwa na gharama kubwa.

3. Mikopo ya Elimu
Watu wengi wanamaliza shule na kuingia kwenye soko la ajira huku wakiwa na mzigo mkubwa wa mikopo ya elimu.

Hivyo, Malipo ya mikopo hii huathiri kwa kiasi fulani uwezo wa kuwekeza au kujiwekea akiba.

4. Gharama za Kujitegemea Kujitegemea kunakuja na gharama kadhaa za lazima, kama vile kodi ya nyumba, chakula, usafiri, na mahitaji mengine ya msingi.

Haya yote yanahitaji bajeti pamoja na mipango mizuri, ikiwa ni kitu ambacho kinaweza kuchukua muda fulani kwa kujifunza kuvikabili kikamilifu.

5. Kukosa Mipango na Maarifa ya Kifedha
Watu wengi hawajui jinsi ya kudhibiti fedha zao vizuri wakiwa katika kipindi hicho, kama vile kuweka akiba, kuwekeza, au kupanga bajeti.

Mambo haya yanahitaji maarifa ambayo huenda wengi hawana katika umri huu.

6. Maendeleo Binafsi na Uwekezaji
Katika umri huu, watu wengi wanajikuta wakiwekeza katika elimu, kozi za ziada, au mitaji midogo midogo kwa matumaini ya kuboresha maisha yao.

Ingawa ni muhimu, lakini mara nyingi mambo haya huwa yanachukua muda hadi kuona faida.

Ni ngumu, lakini kwa kujifunza kupanga bajeti, kuweka malengo ya kifedha, na kujifunza kuhusu uwekezaji, unaweza kuanza kuimarisha hali zao za kifedha taratibu.

Ova
 
lakini kuna huyu binti niffer kashakuwa milionea na bado hata miaka 27 hana
 
Back
Top Bottom