Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
PENDEKEZO
Ili kuleta Mabadliko ya Kisiasa ni lazima tume ya Uchaguzi iandae electronic Voting system inayoruhusu mtanzania kupiga kura popote alipo..Japo kuwa Chance ya Serikali Kuchakachua Matokeo ya kielectronic ni Kubwa lakini hiyo ni DHAMBI ya serikali na mimi nitakuwa nimetimiza HAKI yangu. Mifumo hii imefanikiwa nchi nyingine na haijaleta malalamiko
Nasikitika Kwamba harakati za kutafuta Maisha zimenifanya nipoteze haki yangu ya kupiga Kura.
Haya yote siyo kweli kwa sababu hata CCM wanashangaa kinachoendelea kwa sababu walitegemea wangelishinda kilaini. Kwa hiyo, CCM hawakuwa na muda wa kupanga njama zozote zile.
Katika karatasi za kupigia kura Tanzania kamwe haziwezi kuwa na huo upuuzi wa vijikaratasi laini kwa mgombea mmoja tu..............for what?
Ikifanyika hivyo hata Mahakama Kuu itatengua matokeo hayo kwa sababu za "biasness".............Please grow up in this 21st Century......................or you will be outgrown.....................