Kwanini ni vigumu sana kukutana na mtu mtakaependana kwa kiwango sawa?

Kwanini ni vigumu sana kukutana na mtu mtakaependana kwa kiwango sawa?

Ewe msoma mada jiulize wewe mwenyewe nafsini kwako, huyo mpenzi ulie nae unampenda kweli? (Ni dream partner wako tangu siku ya kwanza ulivomuona), au upo nae ili muda uende, nahis kwenye mahusiano watu wengi wameamua kuridhika na wenza walio nao, ila kiuhalisia tangu mwanzo hawakufurahia uwepo wa wenza wao.

Kwa mfano ukiona mwanaume anampenda sana mdada kwa kumgharamikia Pesa nyingi Na kumfukuzia kwa muda mrefu, ujue huyo mdada yuko hapo ilimradi tu apate hela siku ziende, au hatongozwi na aina ya wanaume anaowataka, na ukiona mdada anampenda sana mwanaume, ujue kinachomweka huyo mwanaume Kwenye huo uhusiano ni utelezi tu, au utakuta kinachomweka mwanaume kwenye huo uhusiano ni kuwa ameshindwa kupata Aina ya wadada anaowataka

Nahisi hii ni moja ya sababu wanandoa wengi na couples kuishia kupigana na vitu vizito, ila kwa wenye uvumilivu wakikutana na Hali hii, ingawa mmojawapo hampendi mwenzie, mmoja atavumilia, na ndoa itadumu hata miaka 60 hadi kifo kiwatenganishe.
Ni vigumu kwasababu upendo unahitaji commitment sasa hiki kizazi ni cha kususa hata kama mtu anajua akiomba msamaha atasamehewa kunapokuwa na malumbano anaogoma.. sababu ya ego n.k

Kwa kifupi unaweza pendwa hata na shetani.. mradi tu uoneshe commitment

Mfano mzuri Harmonize watu walimcheka sana kipindi anasumbuka kumrudisha kajala.. saa hii anakula mema ya nchi [emoji23]

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Ewe msoma mada jiulize wewe mwenyewe nafsini kwako, huyo mpenzi ulie nae unampenda kweli? (Ni dream partner wako tangu siku ya kwanza ulivomuona), au upo nae ili muda uende, nahis kwenye mahusiano watu wengi wameamua kuridhika na wenza walio nao, ila kiuhalisia tangu mwanzo hawakufurahia uwepo wa wenza wao.

Kwa mfano ukiona mwanaume anampenda sana mdada kwa kumgharamikia Pesa nyingi Na kumfukuzia kwa muda mrefu, ujue huyo mdada yuko hapo ilimradi tu apate hela siku ziende, au hatongozwi na aina ya wanaume anaowataka, na ukiona mdada anampenda sana mwanaume, ujue kinachomweka huyo mwanaume Kwenye huo uhusiano ni utelezi tu, au utakuta kinachomweka mwanaume kwenye huo uhusiano ni kuwa ameshindwa kupata Aina ya wadada anaowataka

Nahisi hii ni moja ya sababu wanandoa wengi na couples kuishia kupigana na vitu vizito, ila kwa wenye uvumilivu wakikutana na Hali hii, ingawa mmojawapo hampendi mwenzie, mmoja atavumilia, na ndoa itadumu hata miaka 60 hadi kifo kiwatenganishe.
Halafu hii inatokea zaidi sikuhizi, ila zamani wapenzi walipendana sana mpaka inafikia mmoja anakufa kwaajili ya mwenzie

Wanasikolojia wa Mapenzi wanasema yule mpenzi wako ''wa kwanza'' kumfahamu ndiye uliyempenda kutoka moyoni.
 
Yaani kiufupi nikila mbususu moja mara mbili mara tatu nakinai huo mda wa kupenda sijui nitatoa wapi
Nakubaliana na mzabzab alisema kupenda ni ugonjwa wa akili

Kwa mwanamume hata uwe na pisi kali gani ukishasuuza rungu mara 2 au 3 unakinai unatafuta mbususu nyingine mpya ya kuipelekea moto

Ndo hapo mara nyingi jamii huwa inauliza mbona jamaa ana mke mzuri sana na mrembo lakini bado kachepuka? Issue ni kukinai kwa hiyo unatafuta utamu mpya
 
Kwenye mahusiano lazima awepo Mmoja wa kubeba gharama za mahusiano Ili yafike mbali awe ni mwanamke au mwanaume, hamuwezi mkapendana, Upendo wa kiwango sawa lazima mzidiane, hata mtakapo korofishana inakuwa rahisi kupatana
 
Kwenye mahusiano lazima awepo Mmoja wa kubeba gharama za mahusiano Ili yafike mbali awe ni mwanamke au mwanaume, hamuwezi mkapendana, Upendo wa kiwango sawa lazima mzidiane, hata mtakapo korofishana inakuwa rahisi kupatana
Huyo mbeba gharama ndio mwisho wa siku akigundua mwenza wake kachepuka anaamua kumuua. Hivyo visa vimeongezeka sana saivi hapa Tz.

Utasikia kauawa kutokana na wivu wa kimapenzi
 
Huyo mbeba gharama ndio mwisho wa siku akigundua mwenza wake kachipuka anaamua kumuua. Hivyo visa vimeongezeka sana saivi hapa Tz.

Utasikia kauawa kutokana na wivu wa kimapenzi
Sasa hapo inategemeana, lakini wivu ni moja ya chachu muhimu katika ukuaji wa mahusiano, pasipokuwepo na wivu hakuna mapenzi hapo, kinachohitajika wivu usizidi kiasi, ukizidi kiasi ndio hayo ya kuuana yanazaliwa
 
Sasa hapo inategemeana, lakini wivu ni moja ya chachu muhimu katika ukuaji wa mahusiano, pasipokuwepo na wivu hakuna mapenzi hapo, kinachohitajika wivu usizidi kiasi, ukizidi kiasi ndio hayo ya kuuana yanazaliwa
Wivu sio mzuri na ili kuukomesha ni bora kuwa kwenye mahusiano ambayo mnakubaliana na mwenza wako kwamba kila mtu anakuwa huru kutoka nje akijisikia
 
Back
Top Bottom