Halafu hao damaged women huwa wanajua sana kufanya subbotage kwa wanawake wenzao pamoja na kutekenya ego ya mwanaume hili ajae kwenye mfumo wao.
Kwanza huwa wanaanza na kuponda mabinti wenye umri mdogo na ambao Badollp hawajazaa.... Unakuta huyo damaged woman tayari ni single mother halafu Yuko 30+ basi haishi kuwakandia mabinti walioko kwenye 20s na hawapajui leba kwamba hawajitambui, hawana akili za maisha na kubwa zaidi eti mabinti hao ni mama wa marehemu yaani ni watoa mimba sugu,
halafu anawapondea hivyo huku yeye akijivika utakatifu kwamba kitendo Cha kuzalishwa mapema tena bila ndoa kimemletea baraka pamoja na akili za maisha na hivyo basi yeye ndio chaguo Bora kuliko hao mabinti.... Na bahati mbaya au nzuri kwao Kuna wanaume wengi sana washamba(nice guys) huwa wanajaa kwenye hii manipulation na hatimae wanawachagua hao damaged women huku wakiwaacha mabinti.
Halafu wakishaingia kwenye mahusiano rasimi/ndoa, vinaanza vikauli kama "mwanaume kujiamini, hautakiwi uishi kwa wasi wasi" hapo unakuta huyo damaged woman anamjenga kisaikolojia huyo nice guy kwamba hatakiwi kuhisi chochote kibaya kuhusu uhusiano wake na baba mtoto wake kwa hiyo hata siku akimuaga anampeleka mtoto wake kuonana na baby daddy wake na akalala huko huko basi huyo nice guy achukulie kawaida tu Kwan ndio uanaume huo.
Damaged/soiled women ni wanawake ambao wamesha master the art of manipulation, ni nadra sana nice guy kutoka kwenye mitego yao otherwise awe karibu na mtu wa kumpa ushauri sahihi